Chris Lukosi: Gharama za kusafirisha kontena kwenda Bandari ya Dar es Salaam zimepanda sana

Chris Lukosi: Gharama za kusafirisha kontena kwenda Bandari ya Dar es Salaam zimepanda sana


Ukimsikiliza huyo bwana hapo analalamikia gharama za kusafirisha container 40 fit umefikia mpaka US dollar 2300-2500 wakati bandari ya Mombasa ni US dollar 1300 anasema kuna hatari ya wateja kukimbia kama serkali haitachukua maamzi kuzuia hiyo hali!

Kwamba miambili ndio itawakimbizia Mombasa au?

Hoja iwe kwa nini bei yetu iko juu mara mbili zaidi kuliko Mombasa? Competitiveness yetu iko wapi?
 
Mama akitaka aharibu kweli kweli aruhusu huu uzembe uendelee hapo bandarini, anachosema Lukosi ndio uhalisia sasa hivi tunachajiwa hiyo waiting charge ni balaa tupu.
Kariakoo Watu wanalia gharama za usafiri zimeongezeka sana na ni kwa Dar port tu
 
Mama akitaka aharibu kweli kweli aruhusu huu uzembe uendelee hapo bandarini, anachosema Lukosi ndio uhalisia sasa hivi tunachajiwa hiyo waiting charge ni balaa tupu.
Kariakoo Watu wanalia gharama za usafiri zimeongezeka sana na ni kwa Dar port tu
Hajali wala nini, kwani yeye yana muhusu haya? Maisha yakipanda, bandari inahujumiwa hana habari Mtajua wenyewe sisi tunawaza uchaguzi 2025 tunapitaje na wiki ijayo twende nchi gani.
 
We msikilize kwanza pia **** issue ya meli kuchelewa sana zikiwa nje ya bandari na kuchukua mda mrefu sana!
pale kuna poor port performance kutokana na ufinyu wa eneo basi wanarundika mizigo basi wanachaji gharama juu ila sorry nataka kujua izi ghrama ni za mda sana au
 
Wakimbie tu. Maana watawala tayari wana uhakika na hela za mikopo chefu chefu ya IMF, WB na TOZO zisizo na jasho kutoka kwa Wadanganyika.
 
Daa ila hapa kuna jambo hapo naona Watu wanasifia tu kila kitu! Kwa kweli serkali ifanyie kazi malalamiko haya Aese!
 
Juzi kasema anataka kuleta mbia ili kuiendesha bandari! Inamaana inaonekana hata yeye anajua kabisa kuwa serkali yake haiwezi kufanya kazi hiyo kwa ufanisi wakati juzi tu hapa wamesema wamepanua bandari na kuongeza gati!
 
Juzi kasema anataka kuleta mbia ili kuiendesha bandari! Inamaana inaonekana hata yeye anajua kabisa kuwa serkali yake haiwezi kufanya kazi hiyo kwa ufanisi wakati juzi tu hapa wamesema wamepanua bandari na kuongeza gati!

Bandari yetu ina eneo dogo kama shule ya sekondari matokeo yake utoaji mizigo unakua wa kuchelewa kodi inapaa tunaoumia ni wananchi kupata vitu kwa bei
 
Fungua video kwanza, yan wabongo tuna tabu sana!
Chawa wajengewe mkataba kwakweli maana si kwa kuupiga mwingi namna hii kutuchelewesha kufika kwenye nchi ya asali na maziwa kuliko ufisadi, ujinga, maradhi na umaskini [emoji4]
 

Ukimsikiliza huyo bwana hapo analalamikia gharama za kusafirisha container 40 fit umefikia mpaka US dollar 2300-2500 wakati bandari ya Mombasa ni US dollar 1300 anasema kuna hatari ya wateja kukimbia kama serkali haitachukua maamzi kuzuia hiyo hali!

hivi serikali yetu ina nini? wapelekwe siku moja kwenye nchi zingien wakajifunze wenzao wanafanyaje. wanakamua hadi damu. kwani kama wakipunguza hizo garama hawajui kuwa watapata wateja wengi zaidi na watapunguza maumivu kwa raia wake?
 
Back
Top Bottom