Chris Lukosi: Gharama za kusafirisha kontena kwenda Bandari ya Dar es Salaam zimepanda sana

Chris Lukosi: Gharama za kusafirisha kontena kwenda Bandari ya Dar es Salaam zimepanda sana

Tabia za kishetani za jiwe ndio zilitukosesha misaada, acha kupotosha wewe, mliishi kwa shida vipi wakati mlikuwa mnajitapa pesa ipo, mnanunua ndege kwa cash, kwani mlikuwa mnahitaji misaada?!!!
Alikuwa anawatia ujinga jiwe!!mbona mama sasa hivi anaendesha nchi kiulaini, kwakuwa anajua kuwa anaongoza binadamu, wanaojitambua, na anakubali kuwa na yeye ni binadamu, lakini lile daaa, alikuwa anajiona kuwa nchi nzima ndiye mwenye akili tu!!
Mama ndio kiongozi sasa na ataiweka nchi vizuri, MUNGU FUNDI SANA.
Wewe taahira kweli misaada misaada itakusaidia nini? Mwisho wa siku utaolewa tu!
 

Ukimsikiliza huyo bwana hapo analalamikia gharama za kusafirisha container 40 fit umefikia mpaka US dollar 2300-2500 wakati bandari ya Mombasa ni US dollar 1300 anasema kuna hatari ya wateja kukimbia kama serkali haitachukua maamzi kuzuia hiyo hali!

Mkuu yeye kasema ni pounds, hajasema dollars. Lakini bado point gharama ni kubwa. Inabidi tupitishie Mombasa tu.
 
umesahau kitukimoja, kwamba ni raia wa Uingereza, aliukana utanzania. ila nina mawazo kwamba tz tukubaliane tu na uraia pacha kwasababu hauna madhara yeyote kwetu, wengi wanafikiri mtu akiwa na uraia pacha ataisaliti nchi au atakuwa loyal kwa nchi zingine, wanasahau kuwa hata raia wenye uraia wa nchi moja kama kina Tundu Lisu wameisaliti nchi kuliko hata wenye uraia pacha. mtu yeyote awe raia moja au raia pacha anaweza kuisaliti nchi. tujifunze nchi zingine kama rwanda, kenya, israel etc, wana uraia pacha, wamedhurika nini? zaidi sana wale walio nje wanarudi kuwekeza nchini kwao kwasababu sheria zinawalinda na wanaonekana ni raia halali. hao ni damu yetu tu, wengine wamefanya hivyo ili kupata pesa zisaidie hata hawa waliobaki huku ndugu zake, lakini moyoni yeye bado ni mtanzania. achilia mbali hao mercenaries waliojiunga jeshi la marekani, hao wamepitiliza.
Tatizo sera za kijamaa za CCM zinahofu zitasalitiwa na kvamiwa.
 

Ukimsikiliza huyo bwana hapo analalamikia gharama za kusafirisha container 40 fit umefikia mpaka US dollar 2300-2500 wakati bandari ya Mombasa ni US dollar 1300 anasema kuna hatari ya wateja kukimbia kama serkali haitachukua maamzi kuzuia hiyo hali!
Fafanua vizuri 2,300? Au 23,300?
Hii kutokea wapi?
Mbona 2,300 ni ndogo sana?
 
umesahau kitukimoja, kwamba ni raia wa Uingereza, aliukana utanzania. ila nina mawazo kwamba tz tukubaliane tu na uraia pacha kwasababu hauna madhara yeyote kwetu, wengi wanafikiri mtu akiwa na uraia pacha ataisaliti nchi au atakuwa loyal kwa nchi zingine, wanasahau kuwa hata raia wenye uraia wa nchi moja kama kina Tundu Lisu wameisaliti nchi kuliko hata wenye uraia pacha. mtu yeyote awe raia moja au raia pacha anaweza kuisaliti nchi. tujifunze nchi zingine kama rwanda, kenya, israel etc, wana uraia pacha, wamedhurika nini? zaidi sana wale walio nje wanarudi kuwekeza nchini kwao kwasababu sheria zinawalinda na wanaonekana ni raia halali. hao ni damu yetu tu, wengine wamefanya hivyo ili kupata pesa zisaidie hata hawa waliobaki huku ndugu zake, lakini moyoni yeye bado ni mtanzania. achilia mbali hao mercenaries waliojiunga jeshi la marekani, hao wamepitiliza.

Issue Ni bandari wewe unamuongelea Lissu. Tofautisha Mambo binafsi na Mambo ya kitaifa.
 
acha umalaya. lisu alitusemea kwa wazungu tukose misaada na kwa miaka 6 ya jiwe tuliishi kwa shida kwasababu ya Lisu. ajabu, yeye aliendelea kunywa bia ulaya wakati ndugu zake kule ikungi walipigwa na umasikini hadi waliomba misaada. sasa sijui alikuwa anamkomoa magufuli au raia wa Tanzania.

Acha uongo Kwa hivyo Lissu ana nguvu kuliko Rais?. Akisema Jambo anasikilizwa?.

Kipindi Cha jiwe Misaadaa ilikuwa inakuja Kama kawaida na mikopo juu. Tena Jiwe alipokea misaada mingi sana na alikopa pia.
 

Ukimsikiliza huyo bwana hapo analalamikia gharama za kusafirisha container 40 fit umefikia mpaka US dollar 2300-2500 wakati bandari ya Mombasa ni US dollar 1300 anasema kuna hatari ya wateja kukimbia kama serkali haitachukua maamzi kuzuia hiyo hali!

Tuliambiwa Mwendazake alipanua gati za bandari ya Dar sasa inakuaje congestion kubwa kiasi hicho?

Tzn iache mambo ya kijinga,ijenge haraka bandari ya Bagamoyo kwenye long ran na pia kwa short term iongeze Kasi ya kupakua mizigo kwa sababu hili ndio tatizo.
 
Mama akitaka aharibu kweli kweli aruhusu huu uzembe uendelee hapo bandarini, anachosema Lukosi ndio uhalisia sasa hivi tunachajiwa hiyo waiting charge ni balaa tupu.
Kariakoo Watu wanalia gharama za usafiri zimeongezeka sana na ni kwa Dar port tu
Sio uzembe, bandari imeshazidiwa,tuliambiwa na Mwendazake amepanua gati kadhaa sasa hizo gati ziko wapi?

Watu wa meli wako sahihi kuhamishia gharama kwa importers
 

Ukimsikiliza huyo bwana hapo analalamikia gharama za kusafirisha container 40 fit umefikia mpaka US dollar 2300-2500 wakati bandari ya Mombasa ni US dollar 1300 anasema kuna hatari ya wateja kukimbia kama serkali haitachukua maamzi kuzuia hiyo hali!
Aendelee kuuza screper aachane na mapato yetu yeye anataka ishushwe bei ili aingize screper zake kiunafuu apate hela?
 
Huyu mama na madelu wanachojua ni kukata matozo kila mahala kwa wananchi, hadi kutoa pesa benki kwenye savings account unakatwa VAT jambo ambalo haliingii akilini, JPM aliweza kuthibiti ujanja ujanja kwenye hiyo bandari lakini kwa huyu mama mchwa wanaendelea kufanya yao........
 
Naona ni tik taka tu kwa tusiielewa.wanaharibu ili wakiboresha tuone ufanisi au ndio wakenya wanaforce mizigo ipite mombasa /lamu ili wateke soko la africa mashariki.
Nilishasikia wanaosafirisha mizigo kutokea bandari ya dar wanaambia nafasi hakuna sijui mawaziri na watendaji wanajua haya yanayoendeleA?

Ile bandari pale ni ndogo ata ule upanuzi hauja saidia kitu pale. Nasikia kuna project ya kuongeza gari nyingine upande huu wa kigamboni tusubiri tuone ila ufanisi wa ile bandari ni 25%
 
Fungua video kwanza, yan wabongo tuna tabu sana!
eddy, TUNA NGUMBARO WENGI SANA TANZANIA HAWASOMI WAKAELEWA WAO WANAJIBU HA HA HA WHAT'S SHITS IS IT,
CONGESTIONS IMEKUWA KUBWA KATIKA BANDARI YETU KIASI INAWATIA HASARA LINEAR #SSH ALISIKIE HILI AIDHA BIDII YA RAIS WETU INAWEZA KUWA YA BURE KABISA, FAST MODERN EQUIPMENT ZINAHITAJIKA,. AIDHA KWA DHARURA BAADHI YA MELI ZIWE ZINAELEKEZWA TANGA NA MTWARA.
 
Sema mama nae ana madharau knoma mtu mwenye kiburi utamjua tu hata anavyojibu hoja, juzi kwa kikeke ndo kathibitisha ni jeuri
 
Back
Top Bottom