Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
We taasisi watu paperwork wanataka zifanyike manually hawatiki mambo yawe computerised unategemea nini? Pana mambo ya kipumbavu kwelikweli pale. Mtu ukiwa na ndugu yako pale ujue ni sehemu ya wapumbavu.pale kuna poor port performance kutokana na ufinyu wa eneo basi wanarundika mizigo basi wanachaji gharama juu ila sorry nataka kujua izi ghrama ni za mda sana au