Chris Lukosi: Gharama za kusafirisha kontena kwenda Bandari ya Dar es Salaam zimepanda sana

Chris Lukosi: Gharama za kusafirisha kontena kwenda Bandari ya Dar es Salaam zimepanda sana

imagine unatoa tuhuma halafu hutaki kuzielezea, hujioni kama mjinga?
Kwa wanaomjua Lukosi binafsi hawatashangaa hizi tuhuma kuwa ni mtu wa hovyo... unless wewe ndiye Lukosi maana nimeona dalili za akili kufanana.
 
acha umalaya. lisu alitusemea kwa wazungu tukose misaada na kwa miaka 6 ya jiwe tuliishi kwa shida kwasababu ya Lisu. ajabu, yeye aliendelea kunywa bia ulaya wakati ndugu zake kule ikungi walipigwa na umasikini hadi waliomba misaada. sasa sijui alikuwa anamkomoa magufuli au raia wa Tanzania.
Tabia za kishetani za jiwe ndio zilitukosesha misaada, acha kupotosha wewe, mliishi kwa shida vipi wakati mlikuwa mnajitapa pesa ipo, mnanunua ndege kwa cash, kwani mlikuwa mnahitaji misaada?!!!
Alikuwa anawatia ujinga jiwe!!mbona mama sasa hivi anaendesha nchi kiulaini, kwakuwa anajua kuwa anaongoza binadamu, wanaojitambua, na anakubali kuwa na yeye ni binadamu, lakini lile daaa, alikuwa anajiona kuwa nchi nzima ndiye mwenye akili tu!!
Mama ndio kiongozi sasa na ataiweka nchi vizuri, MUNGU FUNDI SANA.
 
Kwa wanaomjua Lukosi binafsi hawatashangaa hizi tuhuma kuwa ni mtu wa hovyo... unless wewe ndiye Lukosi maana nimeona dalili za akili kufanana.
hii ni public discussion, ukileta mada au tuhuma unatakiwa kufafanua vizuri ili umpe mtuhumiwa nafasi ya kijitetea tujue kama wewe ni muongo au mkweli. akili ya kawaida inaelekeza hivyo tu. wanaomjua, sasa wale wasiomjua ambao wapo humu unawaweka fungu gani kama haufafanui tuhuma yako? hujioni mjinga hadi sasa hivi aisee?
 
Kila siku tunasema hapa kwamba shetani hana rafiki, yeye ndugu Lukosi aendelee tu kupamba na kusifia hawa wahalifu wa CCM. Malipo ndio hayo sasa.
 
umesahau kitukimoja, kwamba ni raia wa Uingereza, aliukana utanzania. ila nina mawazo kwamba tz tukubaliane tu na uraia pacha kwasababu hauna madhara yeyote kwetu, wengi wanafikiri mtu akiwa na uraia pacha ataisaliti nchi au atakuwa loyal kwa nchi zingine, wanasahau kuwa hata raia wenye uraia wa nchi moja kama kina Tundu Lisu wameisaliti nchi kuliko hata wenye uraia pacha. mtu yeyote awe raia moja au raia pacha anaweza kuisaliti nchi. tujifunze nchi zingine kama rwanda, kenya, israel etc, wana uraia pacha, wamedhurika nini? zaidi sana wale walio nje wanarudi kuwekeza nchini kwao kwasababu sheria zinawalinda na wanaonekana ni raia halali. hao ni damu yetu tu, wengine wamefanya hivyo ili kupata pesa zisaidie hata hawa waliobaki huku ndugu zake, lakini moyoni yeye bado ni mtanzania. achilia mbali hao mercenaries waliojiunga jeshi la marekani, hao wamepitiliza.
Uraia pacha upo ..sema kwa watu wachache ..yaani..wale first class...

Na royal family...
 
Kwani jiwe si alisema nchi tajiri sasa mlitesekaje kwa kukosa misaada ya wazungu?

Siku nyingine ukome ku quote watu wasio size yako changudoa wa kimboka wewe.
Huyo tu.mbili bila ya kumtaja Lissu nafsi yake inakosa burudani kabisa. Mwendazake alifanya vijana wengi wawe wa hovyo sana.
 
Uraia pacha upo ..sema kwa watu wachache ..yaani..wale first class...

Na royal family...
kwenye katiba mpya waweke kabisa. angalia kwamfano, Abromovic Tajiri wa chelsea ni raia wa Urusi, lakini pia ni raia wa Israel na anatambulika kama citizen wa both countries. wahindi wengi sana wameficha passport nyumbani ila wengi wana uraia pacha. Rais is Ukraine ni raia wa Israel pia.
 
Ni nchi za kimasikini tu ndio utakuta wanawasifia viongozi wao ingali ni haki yao
Wenzetu wanapata matibabu bure, Elimu bure (ya uhakika) wakistaafu wanapata haki yao bila mzunguko wala kuibiwa,
Nyumba wanalipiwa kama hawana kazi na posho juu ila huwasikii wakisifia mtu maana ni hela zao za kodi na sio za Rais wala Chama

Sasa sisi mlo wa kutafuta tena mmoja nikikosa kazi nikaombe kwa washkaji wakati nilipokuwa nafanya kazi nimekatwa kodi kibao

Lazima alalamike kwanini kila sehemu sisi bei zetu ni kubwa?
Tozo kubwa na bado wanajiona wakitengeneza barabara wanajisifia utafikiri Urithi wa Baba zao
 
B
Tabia za kishetani za jiwe ndio zilitukosesha misaada, acha kupotosha wewe, mliishi kwa shida vipi wakati mlikuwa mnajitapa pesa ipo, mnanunua ndege kwa cash, kwani mlikuwa mnahitaji misaada?!!!
Alikuwa anawatia ujinga jiwe!!mbona mama sasa hivi anaendesha nchi kiulaini, kwakuwa anajua kuwa anaongoza binadamu, wanaojitambua, na anakubali kuwa na yeye ni binadamu, lakini lile daaa, alikuwa anajiona kuwa nchi nzima ndiye mwenye akili tu!!
Mama ndio kiongozi sasa na ataiweka nchi vizuri, MUNGU FUNDI SANA.
Bora umeliona, awali niliona kama ana akili alipoingia kichwa kichwa ndipo nikamdharau.
 
hii ni public discussion, ukileta mada au tuhuma unatakiwa kufafanua vizuri ili umpe mtuhumiwa nafasi ya kijitetea tujue kama wewe ni muongo au mkweli. akili ya kawaida inaelekeza hivyo tu. wanaomjua, sasa wale wasiomjua ambao wapo humu unawaweka fungu gani kama haufafanui tuhuma yako? hujioni mjinga hadi sasa hivi aisee?
We changu ushatoka chato?
 
Ni nchi za kimasikini tu ndio utakuta wanawasifia viongozi wao ingali ni haki yao
Wenzetu wanapata matibabu bure, Elimu bure (ya uhakika) wakistaafu wanapata haki yao bila mzunguko wala kuibiwa,
Nyumba wanalipiwa kama hawana kazi na posho juu ila huwasikii wakisifia mtu maana ni hela zao za kodi na sio za Rais wala Chama

Sasa sisi mlo wa kutafuta tena mmoja nikikosa kazi nikaombe kwa washkaji wakati nilipokuwa nafanya kazi nimekatwa kodi kibao

Lazima alalamike kwanini kila sehemu sisi bei zetu ni kubwa?
Tozo kubwa na bado wanajiona wakitengeneza barabara wanajisifia utafikiri Urithi wa Baba zao
Ukimkuta anasifia nyani wenzie CCM huwezi amini anacholalamikia hapa.... Lukosi ni mtu wa hovyo sana.
 
Mama akitaka aharibu kweli kweli aruhusu huu uzembe uendelee hapo bandarini, anachosema Lukosi ndio uhalisia sasa hivi tunachajiwa hiyo waiting charge ni balaa tupu.
Kariakoo Watu wanalia gharama za usafiri zimeongezeka sana na ni kwa Dar port tu
Wengine walipigwa zengwe wakatolewa bandarini... sijui uchunguzi unaendeleaje
 
Juzi kasema anataka kuleta mbia ili kuiendesha bandari! Inamaana inaonekana hata yeye anajua kabisa kuwa serkali yake haiwezi kufanya kazi hiyo kwa ufanisi wakati juzi tu hapa wamesema wamepanua bandari na kuongeza gati!
Mbona enzi za magufuli hii haikuwepo
 
Wanatengeneza tatizo kutafuta justifications ya kuanza ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo.

Tatizo linaweza kua solved kwa kupanua bandari ya Mtwara na ya Tanga. Mtwara ika deal na mizigo ya kusini na nchi za kusini

Tanga ya kasikazini na kanda ya ziwa

Dar es salaam ika deal na mengine

Bagamoyo hata wakijenga special economic zone which is a very good idea wanaweza link tu na bandari ya dar kwa reli
 
Back
Top Bottom