Wewe taahira kweli misaada misaada itakusaidia nini? Mwisho wa siku utaolewa tu!Tabia za kishetani za jiwe ndio zilitukosesha misaada, acha kupotosha wewe, mliishi kwa shida vipi wakati mlikuwa mnajitapa pesa ipo, mnanunua ndege kwa cash, kwani mlikuwa mnahitaji misaada?!!!
Alikuwa anawatia ujinga jiwe!!mbona mama sasa hivi anaendesha nchi kiulaini, kwakuwa anajua kuwa anaongoza binadamu, wanaojitambua, na anakubali kuwa na yeye ni binadamu, lakini lile daaa, alikuwa anajiona kuwa nchi nzima ndiye mwenye akili tu!!
Mama ndio kiongozi sasa na ataiweka nchi vizuri, MUNGU FUNDI SANA.
Mkuu yeye kasema ni pounds, hajasema dollars. Lakini bado point gharama ni kubwa. Inabidi tupitishie Mombasa tu.Ukimsikiliza huyo bwana hapo analalamikia gharama za kusafirisha container 40 fit umefikia mpaka US dollar 2300-2500 wakati bandari ya Mombasa ni US dollar 1300 anasema kuna hatari ya wateja kukimbia kama serkali haitachukua maamzi kuzuia hiyo hali!
Tatizo sera za kijamaa za CCM zinahofu zitasalitiwa na kvamiwa.umesahau kitukimoja, kwamba ni raia wa Uingereza, aliukana utanzania. ila nina mawazo kwamba tz tukubaliane tu na uraia pacha kwasababu hauna madhara yeyote kwetu, wengi wanafikiri mtu akiwa na uraia pacha ataisaliti nchi au atakuwa loyal kwa nchi zingine, wanasahau kuwa hata raia wenye uraia wa nchi moja kama kina Tundu Lisu wameisaliti nchi kuliko hata wenye uraia pacha. mtu yeyote awe raia moja au raia pacha anaweza kuisaliti nchi. tujifunze nchi zingine kama rwanda, kenya, israel etc, wana uraia pacha, wamedhurika nini? zaidi sana wale walio nje wanarudi kuwekeza nchini kwao kwasababu sheria zinawalinda na wanaonekana ni raia halali. hao ni damu yetu tu, wengine wamefanya hivyo ili kupata pesa zisaidie hata hawa waliobaki huku ndugu zake, lakini moyoni yeye bado ni mtanzania. achilia mbali hao mercenaries waliojiunga jeshi la marekani, hao wamepitiliza.
1000$Kwamba miambili ndio itawakimbizia Mombasa au?
Hoja iwe kwa nini bei yetu iko juu mara mbili zaidi kuliko Mombasa? Competitiveness yetu iko wapi?
Wadanganyika🤣😂Wakimbie tu. Maana watawala tayari wana uhakika na hela za mikopo chefu chefu ya IMF, WB na TOZO zisizo na jasho kutoka kwa Wadanganyika.
Fafanua vizuri 2,300? Au 23,300?Ukimsikiliza huyo bwana hapo analalamikia gharama za kusafirisha container 40 fit umefikia mpaka US dollar 2300-2500 wakati bandari ya Mombasa ni US dollar 1300 anasema kuna hatari ya wateja kukimbia kama serkali haitachukua maamzi kuzuia hiyo hali!
umesahau kitukimoja, kwamba ni raia wa Uingereza, aliukana utanzania. ila nina mawazo kwamba tz tukubaliane tu na uraia pacha kwasababu hauna madhara yeyote kwetu, wengi wanafikiri mtu akiwa na uraia pacha ataisaliti nchi au atakuwa loyal kwa nchi zingine, wanasahau kuwa hata raia wenye uraia wa nchi moja kama kina Tundu Lisu wameisaliti nchi kuliko hata wenye uraia pacha. mtu yeyote awe raia moja au raia pacha anaweza kuisaliti nchi. tujifunze nchi zingine kama rwanda, kenya, israel etc, wana uraia pacha, wamedhurika nini? zaidi sana wale walio nje wanarudi kuwekeza nchini kwao kwasababu sheria zinawalinda na wanaonekana ni raia halali. hao ni damu yetu tu, wengine wamefanya hivyo ili kupata pesa zisaidie hata hawa waliobaki huku ndugu zake, lakini moyoni yeye bado ni mtanzania. achilia mbali hao mercenaries waliojiunga jeshi la marekani, hao wamepitiliza.
acha umalaya. lisu alitusemea kwa wazungu tukose misaada na kwa miaka 6 ya jiwe tuliishi kwa shida kwasababu ya Lisu. ajabu, yeye aliendelea kunywa bia ulaya wakati ndugu zake kule ikungi walipigwa na umasikini hadi waliomba misaada. sasa sijui alikuwa anamkomoa magufuli au raia wa Tanzania.
Policy zao kwenye mafuta sio sawa na sisi,Tzn tumeweka Kodi nyingi hapo kwa ajili ya kugharamia mambo ya msingiHata dizeli zambia, Malawi Ipo chini kuliko Tza
Tuliambiwa Mwendazake alipanua gati za bandari ya Dar sasa inakuaje congestion kubwa kiasi hicho?Ukimsikiliza huyo bwana hapo analalamikia gharama za kusafirisha container 40 fit umefikia mpaka US dollar 2300-2500 wakati bandari ya Mombasa ni US dollar 1300 anasema kuna hatari ya wateja kukimbia kama serkali haitachukua maamzi kuzuia hiyo hali!
Sio uzembe, bandari imeshazidiwa,tuliambiwa na Mwendazake amepanua gati kadhaa sasa hizo gati ziko wapi?Mama akitaka aharibu kweli kweli aruhusu huu uzembe uendelee hapo bandarini, anachosema Lukosi ndio uhalisia sasa hivi tunachajiwa hiyo waiting charge ni balaa tupu.
Kariakoo Watu wanalia gharama za usafiri zimeongezeka sana na ni kwa Dar port tu
Kwani wanakuwa hawajui? Intelligence inafanya Kazi gani?Naamini serikali itafanyia kazi hili
Aendelee kuuza screper aachane na mapato yetu yeye anataka ishushwe bei ili aingize screper zake kiunafuu apate hela?Ukimsikiliza huyo bwana hapo analalamikia gharama za kusafirisha container 40 fit umefikia mpaka US dollar 2300-2500 wakati bandari ya Mombasa ni US dollar 1300 anasema kuna hatari ya wateja kukimbia kama serkali haitachukua maamzi kuzuia hiyo hali!
Naona ni tik taka tu kwa tusiielewa.wanaharibu ili wakiboresha tuone ufanisi au ndio wakenya wanaforce mizigo ipite mombasa /lamu ili wateke soko la africa mashariki.
Nilishasikia wanaosafirisha mizigo kutokea bandari ya dar wanaambia nafasi hakuna sijui mawaziri na watendaji wanajua haya yanayoendeleA?
eddy, TUNA NGUMBARO WENGI SANA TANZANIA HAWASOMI WAKAELEWA WAO WANAJIBU HA HA HA WHAT'S SHITS IS IT,Fungua video kwanza, yan wabongo tuna tabu sana!
Ukimkuta anasifia nyani wenzie CCM huwezi amini anacholalamikia hapa.... Lukosi ni mtu wa hovyo sana.