Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Umeandika ujinga
 
Kuna uchungaji wa kusoma na uchungaji wa kuitwa na Mungu mwenyewe.
 
Kuna uchungaji wa kusoma na uchungaji wa kuitwa na Mungu mwenyewe.
tunaongelea uchungaji hapa Tanzania, tangu mbarikiwa atibue mambo, hauwezi kusajili kanisa au hata kuitwa mchungaji wa kupata leseni ya kufungisha ndoa kama huna cheti. uliza walioenda kusajili watakuambia hili. although technically, uchungaji hautakiwi kuwa wa kusomea, unatakiwa uwe wa kuitwa na Mungu, wapo wachungaji wakubwa sana walishapita duniani hawakuwa wasomi.
 
Kwamba unamwacha mume Ili ukashirikiane na mondi kuandaa matamasha?
 
Hayo yote wanayoringia ni ujana tu ,huo umaarufu kuna kipind unaisha kabisa maana hata mvuto unatoweka.

Walikuwepo wakina Luiza Mbutu kweny dansi wapo wapi sasa? Washakuwa wazee hata kupiga picha ni mtihani.

Ujana unapita tu ,wengi waliamua kutulia na kuolewa ila wana pesa zao maana mda wa kuringa hautakuwepo tena .
 
Kwamba unamwacha mume Ili ukashirikiane na mondi kuandaa matamasha?
atuambie, tendo la ndoa kwa umri wake huu, anafanya na nani? na tunamwona anazungukwa na vijana watanashati, kina diamond na wenzake. au hana hamu kabisa? manake sisi tuliookoka huwa tunafanya tendo kwenye ndoa tu, yeye anapomwacha mumewe ambaye ndiye mwenye haki kumfanya, anafanya na nani?
 
Kuna chombo kinachofuatilia kama ana cheti au hana?.
 
Acha samaki wavuliwe, ni njia tu ya kuwafikia watu wa Mungu...

Acheni kuhukumu watu...

Hata Yesu hakuna kwaajili ya wasio na dhambi alikuja kwaajili ya wenye dhambi.
YESU kamwe hawezi kukuita na kukuelekeza uachane na mumeo ambaye ni mtumishi wa Mungu.

Huyo hayo anayoongea ni dalili ya makubwa zaidi yanakuja ya kulichafua Kanisa.

Ameshakengeuka huyo.
 
Nazikubali sana nyimbo zake huyu.
nyimbo zake nzuri sana, na alikuwa na karama hiyo mno, ajabu shetani kwasababu hapendi aendelee kuhudumia mioyo ya watu, amemwingia na anataka kumteketeza kabisa kipawa chake alichopewa na Mungu pamoja na yeye. hatajua hili hadi yamkute, Mungu amsaidie aelewe. kiburi na jeuri iliyomjaa anahitaji kuombewa, wala sio yeye, amepagawa. wenye macho ya kiroho wanajua hili. hakuna aliyepandisha mabega baada ya kuinuliwa ambaye hajawahi kushushwa kwa aibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…