Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Hamna mtu anayeweza muelewa Christina kwakuwa ukiitwa na Mungu Kuna vitu unatakiwa uache ..

Hata wanafunzi wa Yesu waliacha hata kazi wakamfuata Yesu...

Mambo ya Rohoni na mwilini ni tofauti kabisa...
Kuna Mahali YESU aliteua mtume mwanamke?

Na mitume wote wa YESU hatusomi popote kuwa walivunja NDOA zao.

Walienda kutumika, na walirudi Kwa wake zao.
 
Kiufupi mwanaume ndiye aliyepewa jukum la kutawala au kuongoza au mamlaka kwaiyo kwasababu ni kitu kipo ndani yake hakiwezi kumvua utu wake na kwa mwanamke ni kinyume chake.
 
Kwa hiyo kanisa lake litakuwa la ma single mom pekee!
 
Ameshakichuna kibabu cha watu sasa anaropoka kama anaharisha.Anzisha kanisa tuje kuabudu sintaacha kufika ibada hata siku moja na mkoba wako nitaubeba mimi nitakuwa karibu yako hadi ushangae kipenzi, alisikika muumini mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…