umemuacha flora mbashaUtafiti unaonesha Waimbaji wa kike mara nyingi ndoa zao either zina viraka au zimevunjika kabisa
1) Beatrice muhone
2)Rose Muhando
3)Bahati Bukuku
4)Martha Mwaipaja na sasa
5)Angel Bernad
6) Christina Shusho
Hii sio Coincidence kuna shida mahali.
Kuoa ukaacha je? doesn't apply?Uliwahi kuolewa ukaachika nini?
itabidi tuanze kupitia mafaili ya waimbaji wote wa nyimbo za injili kuona kama wana ndoa na hizo ndoa ziko hai au zimekufa. Hatutavumilia kuimbiwa/kuhubiriwa na watu wasio na ushuhuda mzuri wa ndoa zao. Kama watalizimisha kuimba/kuhubiri tutawaona ni wahuni fulani wanaojikwezaumemuacha flora mbasha
itakuwa ibilisi anawatumiaUtafiti unaonesha Waimbaji wa kike mara nyingi ndoa zao either zina viraka au zimevunjika kabisa
1) Beatrice muhone
2)Rose Muhando
3)Bahati Bukuku
4)Martha Mwaipaja na sasa
5)Angel Bernad
6) Christina Shusho
Hii sio Coincidence kuna shida mahali.
Ila ndio ivo kavurugwa.au kavurugikiwa.Nazikubali sana nyimbo zake huyu.
Kuna Mahali YESU aliteua mtume mwanamke?Hamna mtu anayeweza muelewa Christina kwakuwa ukiitwa na Mungu Kuna vitu unatakiwa uache ..
Hata wanafunzi wa Yesu waliacha hata kazi wakamfuata Yesu...
Mambo ya Rohoni na mwilini ni tofauti kabisa...
Baada ya miaka mingapi tuje kuwauliza kama mmetimiza malengo yenu “makubwa”?Ndoa ni kwa ajili ya watu 'mediocre' wasio na malengo makubwa.
Ni maisha yake binafsi mkuu, mimi kitu bora toka kwake ni kazi zakeIla ndio ivo kavurugwa.au kavurugikiwa.
Yaani Mungu amempa ndoto ya kumtoa kwenye ndoa. 🙆Alipata ndoto katikati ya ndoa 😂
Kiufupi mwanaume ndiye aliyepewa jukum la kutawala au kuongoza au mamlaka kwaiyo kwasababu ni kitu kipo ndani yake hakiwezi kumvua utu wake na kwa mwanamke ni kinyume chake.Asirudi kuanza kulialia..!!
Unapoolewa au unapoowa, kuna mambo utayaacha. Sasa yeye alitaka aendelee na mambo yake kama bachela..!!?? Atoe ujinga wake..!!!
Katika vitu vinayowashinda wanawake, baadhi ni hivi;
1. Umaarufu
Wengi wa wanawake maarufu ndoa zao zina shida sana. Huwa wakishakuwa maarufu wanaona ndoa ni utumwa. Anataka awe popote muda wowote. Hii inakwenda hadi namna anavyowalea watoto wake.
2. Fedha
Mwanaume, anaweza akaishi na mwanamke asiye na kitu kwa maisha yao yote, lakini kwa wanawake walio wengi mwenye hela kuishi na mwanaume asiye na kitu, ikizidi sana wiki..!!
3. Cheo
Kuwa na cheo nako baadhi ya wanawake wameshindwa kujizuia kuwanyanya waume zao kwa vyeo vyao.
Huyu umaarufu tu unamsumbua..!!
Kwa hiyo kanisa lake litakuwa la ma single mom pekee!Mwimbaji nguli wa nyimbo za injili ambaye kwa sasa amegeukia kazi ya uchungaji, mchungaji Christina Shusho, amesema aliamua kuachana na mume wake ili atimize ndoto zake. Haya sio maneno yangu bali amenukuliwa akitamka maneno hayo na mtandao wa "5newsTZ"
View attachment 2959387
"Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia. Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake"
"Na mimi siogopi watu nasema ukweli, haya ninayoyasema ndiyo yapo kichwani kwangu, huyu ndio mimi, kwanini niendelee kudanganya watu. Kwanza mimi licha ya kuwa Mchungaji lakini sipendi watu waniite Mchungaji Christina Shusho, sipendi na sitaki"-Christina Shusho Mwimbaji nguli wa muziki wa Injili
MAONI YANGU
Mimi namuunga mkono mchungaji kwa asilimia 100 kwani mume sio ndugu yako bali ni kama rafiki mliyekutana ili kuunda familia. Ukiona mume/mke anasababisha malengo yako yasitimie, achana naye mara moja. Nawashauri wanaume msiwe vikwazo kwenye ndoto za wake zenu. Namtakia kila la kheri mchungaji Shusho kwenye kazi yake mpya ya kueneza injili ya Bwana.
Mungu ambariki sana.
walokeli feki, walokole og hawasikilizi nyimbo zaoHalafu walokole..!!
Kwenye sita kwa sita auAnaimba vizuri
mwenzio kawa mzuri, kanona na anavutia upyaKataa ndoa wote wakiongozwa na mwenyekiti christina shusho.....wanawatakia eid njema