Optimist_Tz
JF-Expert Member
- Jan 11, 2024
- 1,543
- 1,860
Kama Masanja ameweza kuwa Mchungaji hilo siyo tatizo hata kidogo.
Ila watu wanapaswa kuelimishwa hayo siyo Makanisa (Churches) bali ni huduma (Ministries).
unadhani kila kahana anazunguka mitaani kujiuzaJe uliwahi mkuta Mitaa ipi akifanya ukahaba?
Ch
Christina aliondoka siku nyingi sana kwa mumewe kabla ya haya mahojiano. Tangu membe rip akiwa waziri.
Watu mnahasira na Christina aiseeh!
Kwani ndoa ni lazima ?
Haya Yesu alimuoa nani ?
Hao watawa, mapadre wameoa na kuolewa na nani ?
Ndio akambatane na Diamondi !Hamna mtu anayeweza muelewa Christina kwakuwa ukiitwa na Mungu Kuna vitu unatakiwa uache ..
Hata wanafunzi wa Yesu waliacha hata kazi wakamfuata Yesu...
Mambo ya Rohoni na mwilini ni tofauti kabisa...
Malaya tu huyo
Ndio a
Ndio akambatane na Diamondi !
Mwimbaji nguli wa nyimbo za injili ambaye kwa sasa amegeukia kazi ya uchungaji, mchungaji Christina Shusho, amesema aliamua kuachana na mume wake ili atimize ndoto zake. Haya sio maneno yangu bali amenukuliwa akitamka maneno hayo na mtandao wa "5newsTZ"
View attachment 2959387
"Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia. Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake"
"Na mimi siogopi watu nasema ukweli, haya ninayoyasema ndiyo yapo kichwani kwangu, huyu ndio mimi, kwanini niendelee kudanganya watu. Kwanza mimi licha ya kuwa Mchungaji lakini sipendi watu waniite Mchungaji Christina Shusho, sipendi na sitaki"-Christina Shusho Mwimbaji nguli wa muziki wa Injili
MAONI YANGU
Mimi namuunga mkono mchungaji kwa asilimia 100 kwani mume sio ndugu yako bali ni kama rafiki mliyekutana ili kuunda familia. Ukiona mume/mke anasababisha malengo yako yasitimie, achana naye mara moja. Nawashauri wanaume msiwe vikwazo kwenye ndoto za wake zenu. Namtakia kila la kheri mchungaji Shusho kwenye kazi yake mpya ya kueneza injili ya Bwana. Mungu ambariki sana.
Ni dhambi kumshudia mtumishi wa mzungu au mtu yeyote uongo.
Unless unaweza kuthibitisha pasina shaka!
Kwa hukumu zenu kumbe ndio maana wanawake wengine hung’ang’ania kwenye ndoa hadi kuuliwa, kuumizwa, kudhalilishwa kwa sababu wanaogopa kują kudhalilishwa na kutikanwa na wana jamii.
Badolini namna zenu za mitazamo.
What if kuondoka kwake ndio pina yake na salama yake kwa mfano?
Umeshamkuta akihisiana na wanaume wangapi na wapi hadi umwite malaya?
Huyo sio mwimbaji wa nyimbo za injiliHawa waimbaji wa nyimbo za injili na ndoa ni vitu viwiki tofauti.
Mhh, sawa bwana, ngojea tuone!Kuna ubaya gani
Si katika namna ya kuifikisha injili kwa wale ambao hawaendagi kanisani.!
Beatrice Muhine nilikula kimasihara sanaaa.Utafiti unaonesha Waimbaji wa kike mara nyingi ndoa zao either zina viraka au zimevunjika kabisa
1) Beatrice muhone
2)Rose Muhando
3)Bahati Bukuku
4)Martha Mwaipaja na sasa
5)Angel Bernad
6) Christina Shusho
Hii sio Coincidence kuna shida mahali.
Uko sahihi...Yule alishajiunga kwenye chama chetu kile cha wajenzi na mwenzie..
Kwenye lile tamasha la wasafi ndo ilikuwa kuwatambulisha rasmi.
Uko sahihi zaidi...Huyo dada yupo sawa kabisa kwa sababu hata mwanzo kabisa dini iliingia kimchongo tu kwa hyo jambo la kimchongo lazima liwe kimchongo ,bado hamjaona mengi yanakuja.
Hazipo kisheria ya kidini. Ni umalaya tu. UsipotosheChap kwa haraka na ndiyo maana huko kuna ndoa za mkeka..!! Binafsi sizipendi. Utaratibu wao mzima wa kufungisha ndoa na urahisi wa talaka unamfanya mtu aichukulie ndoa kimasihara sana..!!
BTW,kuna ndoa za mwezi mtukufu halafu baada ya hapo mtu anaachwa..!!