Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Kama Masanja ameweza kuwa Mchungaji hilo siyo tatizo hata kidogo.

Ila watu wanapaswa kuelimishwa hayo siyo Makanisa (Churches) bali ni huduma (Ministries).

Na mc pilipili na mkewe lakini huduma imebuma Sijui?! 😀🤦‍♀️
 
Ndio a
Hamna mtu anayeweza muelewa Christina kwakuwa ukiitwa na Mungu Kuna vitu unatakiwa uache ..

Hata wanafunzi wa Yesu waliacha hata kazi wakamfuata Yesu...

Mambo ya Rohoni na mwilini ni tofauti kabisa...
Ndio akambatane na Diamondi !
 
Mwimbaji nguli wa nyimbo za injili ambaye kwa sasa amegeukia kazi ya uchungaji, mchungaji Christina Shusho, amesema aliamua kuachana na mume wake ili atimize ndoto zake. Haya sio maneno yangu bali amenukuliwa akitamka maneno hayo na mtandao wa "5newsTZ"

View attachment 2959387

"Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia. Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake"

"Na mimi siogopi watu nasema ukweli, haya ninayoyasema ndiyo yapo kichwani kwangu, huyu ndio mimi, kwanini niendelee kudanganya watu. Kwanza mimi licha ya kuwa Mchungaji lakini sipendi watu waniite Mchungaji Christina Shusho, sipendi na sitaki"-Christina Shusho Mwimbaji nguli wa muziki wa Injili

MAONI YANGU
Mimi namuunga mkono mchungaji kwa asilimia 100 kwani mume sio ndugu yako bali ni kama rafiki mliyekutana ili kuunda familia. Ukiona mume/mke anasababisha malengo yako yasitimie, achana naye mara moja. Nawashauri wanaume msiwe vikwazo kwenye ndoto za wake zenu. Namtakia kila la kheri mchungaji Shusho kwenye kazi yake mpya ya kueneza injili ya Bwana. Mungu ambariki sana.

Kwa hukumu zenu kumbe ndio maana wanawake wengine hung’ang’ania kwenye ndoa hadi kuuliwa, kuumizwa, kudhalilishwa kwa sababu wanaogopa kują kudhalilishwa na kutikanwa na wana jamii.
Badilini namna zenu za mitazamo.
What if kuondoka kwake ndio pona yake na salama yake kwa mfano?
 
Kwa hukumu zenu kumbe ndio maana wanawake wengine hung’ang’ania kwenye ndoa hadi kuuliwa, kuumizwa, kudhalilishwa kwa sababu wanaogopa kują kudhalilishwa na kutikanwa na wana jamii.
Badolini namna zenu za mitazamo.
What if kuondoka kwake ndio pina yake na salama yake kwa mfano?
 
Kwani walio kwenye ndoa hawatimizi malengo yao?

Siamini kwenye jambo jema kama hilo la kumtumikia Mungu mume anaweza kuwa kikwazo!

Mke kutawaliwa ndo jadi ya enzi na enzi na mke akijua mipaka yake wala haoni kama anatawaliwa!

Jitahidi mke asikuzidi kiuchumi rangi zote utaziona!
 
Utafiti unaonesha Waimbaji wa kike mara nyingi ndoa zao either zina viraka au zimevunjika kabisa
1) Beatrice muhone
2)Rose Muhando
3)Bahati Bukuku
4)Martha Mwaipaja na sasa
5)Angel Bernad
6) Christina Shusho

Hii sio Coincidence kuna shida mahali.
Beatrice Muhine nilikula kimasihara sanaaa.
 
Huyo dada yupo sawa kabisa kwa sababu hata mwanzo kabisa dini iliingia kimchongo tu kwa hyo jambo la kimchongo lazima liwe kimchongo ,bado hamjaona mengi yanakuja.
Uko sahihi zaidi...
 
Chap kwa haraka na ndiyo maana huko kuna ndoa za mkeka..!! Binafsi sizipendi. Utaratibu wao mzima wa kufungisha ndoa na urahisi wa talaka unamfanya mtu aichukulie ndoa kimasihara sana..!!

BTW,kuna ndoa za mwezi mtukufu halafu baada ya hapo mtu anaachwa..!!
Hazipo kisheria ya kidini. Ni umalaya tu. Usipotoshe
 
Back
Top Bottom