Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

kwa kuwa yule alimpata harmo na huyu naye akaamua ampate mond, wanajimaliza wenyewe hawa waimba injili tuliozipenda nyimbo zao sasa hatuna hamu nazo, tunawaona ni wahuni tu
 
Hapa Nabii Isaya hakumjua Yesu hata kabla hajaja dunian?

ISAYA 9:6-7.
[6]Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa,
Tumepewa mtoto mwanamume;
Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake;
Naye ataitwa jina lake,
Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu,
Baba wa milele, Mfalme wa amani.
[7]Maongeo ya enzi yake na amani
Hayatakuwa na mwisho kamwe,
Katika kiti cha enzi cha Daudi na ufalme wake;
Kuuthibitisha na kuutegemeza
Kwa hukumu na kwa haki,
Tangu sasa na hata milele.
Wivu wa BWANA wa majeshi ndio utakaotenda hayo.

Endelea kuenenda kinyume na Maandiko Matakatifu "Biblia".

YOHANA 22:18-19.
 
Mtu wa Mungu akianguka, tumuombee na sio kumsema vibaya...

Mungu atusaidie.
Tunamuonya ili asipotoshe kondoo wa Mungu.

2 TIMOTHEO 3:16-17.
[16]Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki;
[17]ili mtu wa Mungu awe kamili, amekamilishwa apate kutenda kila tendo jema.
 
Yupo sahihi, naungana na maoini yako pia.
Ila hawa waimbaji wa injili wanaongoza kwenye kataa ndoa.
 
....... wakati nao wana mbususu?
 
ni mpuuzi tu yule mwanamke, aliingiza siasa kwenye ndoa yake
Nikuambie sisi me ama wewe na mimi ndio wapuuzi. Mwanamke Hana huruma pindi anapokuwa kwenye maslahi yao. Yaani wao ni high stake traders na Wana trade market ambayo Ni volatile. Me unaingia kwenye relationship kisa ya sex, family, watt na kuitwa baba , wao wanawaza kuishi maisha mazuri, pesa, jina, tittle, umaarufu na Wala Hawana jingine.
Mwanamke ana trade low value kwa high value from men

1-Yeye umri mdogo anataka mwenye umri mkubwa ili aweze kuku manipulate ndani kuwa wewe Ni mkubwa pambana.

2- kipato Chaka kidogo ama zero Ila
anataka uwe na kipato Cha kuanzia hata 3M and above ili awe na uhakika.

3-elimu yake ndogo anataka uwe na elimu kumzidi, imagine mtu ni Engineer or dokta Ila anaoa la Saba. Sasa tafuta wanawake wenye iyo elimu halafu waume zao la Saba otherwise awe na cash mbaya.

4- Koo ya mwanamke ni masikini Ila anataka aoelewe na Koo yenye pesa, jina , yenye viongozi. Ulizia ni ke gani asiyependa kuolewa na Koo ya kiongozi fulani nchini.
5- mengine wataongezea wadau Ila kikubwa tungekuwa na akili ambayo mwanamke anayo katika mahusiano. Ke wengi mno wasingeolewa.

Ngoja nikuache na kibwagizo hapa chini.
Hypergamy is baked into the female brain. It works ruthlessly and swiftly. If she sees a better option, she won't hesitate to jump from her current branch to a higher branch,
ni mpuuzi tu yule mwanamke, aliingiza siasa kwenye ndoa yake
 
Nothing lasts forever than the God's word.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 
Hata Lwakatare aliasi ndoa lakini alikuwa anafungisha ndoa na alikuwa akiwaasa wanawake kutulia kwenye ndoa zao na walikuwa wanamuelewa bila tatizo. The same case applies to Shusho na maisha yanaendelea.
ila inaleta utata fulani hivi, hata hivyo mama huyo alikuwa na utata kanisani kwake, itoshe tu kumuona kama alikuwa mtimilifu
 
kumbuka kuwa kuna aina mbalimbali za misalaba ikiwemo hiyo ya masonic. Nenda makaburini utaiona ilivyo na maumbo ya ajabuajabu na ndugu za marehemu hawajui kuwa kuna misalaba ya mason wanaweka tu ili mradi ni msalaba
 
Njaa mbaya sana, kwahio aliolewa ili ajiondoe kwenye umasikini. Sahizi kapata umaarufu zaidi na vichenchi kaona amtupe mwamba. Wanawake wanafiki sana aisee!
Sasa angepata vipi pa kuishi na Kongo vita?? Ndio umuhimu wa kuwa KE huo. Ss hivi simba la masimba amemfungulia dunia kuwa unachotaka amgande babu wa nini?? 🀣🀣🀣🀣

Lakini na nyie mwanaume mwenzenu si kamtumia jamani 😜
Ukute hata usiku alikuwa anamuamsha ampe mbuzi kagoma πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Maono yalikuja akiwa tayari kwenye ndoa mkuu. Mwacheni ayatimize.
huo ni uharibifu, tusichukulie poa, wanawake wengi watatoka kwenye ndoa kwa staili hii kuwa wamepata maono na wanatoka kwenye ndoa kwenda kutumikia maono yao nje ya ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…