ni mpuuzi tu yule mwanamke, aliingiza siasa kwenye ndoa yake
Nikuambie sisi me ama wewe na mimi ndio wapuuzi. Mwanamke Hana huruma pindi anapokuwa kwenye maslahi yao. Yaani wao ni high stake traders na Wana trade market ambayo Ni volatile. Me unaingia kwenye relationship kisa ya sex, family, watt na kuitwa baba , wao wanawaza kuishi maisha mazuri, pesa, jina, tittle, umaarufu na Wala Hawana jingine.
Mwanamke ana trade low value kwa high value from men
1-Yeye umri mdogo anataka mwenye umri mkubwa ili aweze kuku manipulate ndani kuwa wewe Ni mkubwa pambana.
2- kipato Chaka kidogo ama zero Ila
anataka uwe na kipato Cha kuanzia hata 3M and above ili awe na uhakika.
3-elimu yake ndogo anataka uwe na elimu kumzidi, imagine mtu ni Engineer or dokta Ila anaoa la Saba. Sasa tafuta wanawake wenye iyo elimu halafu waume zao la Saba otherwise awe na cash mbaya.
4- Koo ya mwanamke ni masikini Ila anataka aoelewe na Koo yenye pesa, jina , yenye viongozi. Ulizia ni ke gani asiyependa kuolewa na Koo ya kiongozi fulani nchini.
5- mengine wataongezea wadau Ila kikubwa tungekuwa na akili ambayo mwanamke anayo katika mahusiano. Ke wengi mno wasingeolewa.
Ngoja nikuache na kibwagizo hapa chini.
Hypergamy is baked into the female brain. It works ruthlessly and swiftly. If she sees a better option, she won't hesitate to jump from her current branch to a higher branch,
ni mpuuzi tu yule mwanamke, aliingiza siasa kwenye ndoa yake