The Great Haya
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 1,773
- 1,660
Achana na makablasha watu tumeshafika site tukajionea hakuna jipya ni utopolo mtupuBado nakuona wa ajabu,huwez kutembelea nyumba 5 alafu useme ndio utafiti wa jumla
nimekwambia Mimi naongea kwa fact
Soma jedwali hapo chini linaonyesha viwango vya umaskini vya kila mkoa
Mkoa wa Kilimanjaro una umaskini kwa 10% tu
kagera ina umaskini wa 40% nendeni mkajenge kwenu mpunguze umaskini
Kama unabisha endelea ili nizidi kukuumbua kwa factsView attachment 1660137
Unapanic nini wewe [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hata marekani Kuna maskini, Kilimanjaro maskini Ni 10% tu kwa mujibu wa nbs,sasa unabishana na uhalisia? Hizo kaya kumi maskini za uru ndio UCHAGANI nzima? Idiot
Wivuuuuu MTU KWAO mtatokwa povu Hadi mfe kwa lifestyle ya wachaga,na badoAchana na makablasha watu tumeshafika site tukajionea hakuna jipya ni utopolo mtupu
Kwa makablasha ndo hizo kumi lakini kwa tuliofika site hali ni mbaya hukoHata marekani Kuna maskini, Kilimanjaro maskini Ni 10% tu kwa mujibu wa nbs,sasa unabishana na uhalisia? Hizo kaya kumi maskini za uru ndio UCHAGANI nzima? Idiot
Hakuna aliyetokwa povu sisi tumekuja kuwa-disaprove ili msiendelee kuwadanganya watuWivuuuuu MTU KWAO mtatokwa povu Hadi mfe kwa lifestyle ya wachaga,na bado
Huu mtanange wa wahaya na wachaga, ngoja tuone bingwa ni nani.
Hakuna anaeteseka muache kudanganya watu wakati huko hali ni mbayaKwani unateseka!
Hakuna anaeteseka muache kudanganya watu wakati huko hali ni mbaya
Nimekupa hoja,huwez kutembelea nyumba 10 then useme Ni utafiti jumlaUnapanic nini wewe [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Muhaya anajivuna kwa alichonacho lakini mchagga amepitiliza anadanganya watu kwa mambo ambayo hana kabisaWahaya walishasarenda kitambo, sifa yao moja muhimu ilikuwa ujivuni/majigambo... sasa ishaporwa na Chaggas!
Wewe una akili kuzidi professional surveyors?Kwa makablasha ndo hizo kumi lakini kwa tuliofika site hali ni mbaya huko
Na ndo maana hatujajigamba, tofauti na huko hali mbaya halafu mnakuja na uongo humuNi wapi huko ambako hali sio mbaya?
Wivu utakuua wewe mshaija,Naona unaumia mno mbwembwe za wachaga za krismass ndio hivyo na nyie mpende kwenu muache kutelekeza kwenu kule kishuro,mushabago,muhutwe etcMuhaya anajivuna kwa alichonacho lakini mchagga amepitiliza anadanganya watu kwa mambo ambayo hana kabisa
Naomba link ya hii mkuu nkachek.Bado nakuona wa ajabu,huwez kutembelea nyumba 5 alafu useme ndio utafiti wa jumla
nimekwambia Mimi naongea kwa fact
Soma jedwali hapo chini linaonyesha viwango vya umaskini vya kila mkoa
Mkoa wa Kilimanjaro una umaskini kwa 10% tu
kagera ina umaskini wa 40% nendeni mkajenge kwenu mpunguze umaskini
Kama unabisha endelea ili nizidi kukuumbua kwa factsView attachment 1660137
Unaweza kufananisha umaskini wa Tanzania na marekani?Na ndo maana hatujajigamba, tofauti na huko hali mbaya halafu mnakuja na uongo humu
Usipanic hata Tz iko uchumi wa kati ingawa watu uchumi hawauoniWewe una akili kuzidi professional surveyors?
Tanzania ushatembelea mikoa mingapi? Na vijiji vingapi vya hiyo mikoa?Nimekupa hoja,huwez kutembelea nyumba 10 then useme Ni utafiti jumla
Hakuna mkoa wowote tz ambao una makazi bora vijijin kuizidi Kilimanjaro hii hata mtoto wa memkwa anajua
Kilimanjaro yote maskini wote Ni 10% tu nimekupa na ushahidi
Cc
The Great hayaView attachment 1660150View attachment 1660151
Na ndo maana hatujajigamba, tofauti na huko hali mbaya halafu mnakuja na uongo humu
www.nbs.go.tz utafute kipengele Cha poverty standardsNaomba link ya hii mkuu nkachek.