Chuki za Joseph Sinde Warioba dhidi ya serikali zilianza baada ya Kippi Warioba kuondolewa kwenye ukuu wa Wilaya

Chuki za Joseph Sinde Warioba dhidi ya serikali zilianza baada ya Kippi Warioba kuondolewa kwenye ukuu wa Wilaya

J. S. Warioba alikuwa anabishana na Nyerere wakati Nyerere ni rais na Warioba ni Mwanasheria Mkuu wa serikali.

Alikuwa anamfundisha sheria Nyerere bila woga, mpaka Nyerere anakubali kushindwa.

Hajaanza hivi karibuni kukosoa uongozi.

Acha siasa za majitaka.
nyerere na mwalimu ni mtu na mjomba wake its okay kubishana, sisi hatutaki porojo
 
Yote hayo hayana maana kama hakuna majibu ya hoja zake. Cha msingi hapo ni kujadili kuona anayoyazungumzia yana mashiko?
 
J. S. Warioba alikuwa anabishana na Nyerere wakati Nyerere ni rais na Warioba ni Mwanasheria Mkuu wa serikali.

Alikuwa anamfundisha sheria Nyerere bila woga, mpaka Nyerere anakubali kushindwa.

Hajaanza hivi karibuni kukosoa uongozi.

Acha siasa za majitaka.
Mbona hatuoni huo ubishani kwenye nafasi aliyopewa nayo? Amebeba ukabila na ukanda?
 
Yote hayo hayana maana kama hakuna majibu ya hoja zake. Cha msingi hapo ni kujadili kuona anayoyazungumzia yana mashiko?
Hoja gani? He is one amongst who brought our country to this level!

Alivyotunga zile sheria za detention wakati ule si ndiyo alipandikiza roho ya uwoga Kwa watanzania? Au waovu wakizeeka wanakuwa malaika?

Mzee alikuwa na nafasi ya kuungana na wazee wenzake kuisaidia nchi katika hali njema zaidi kuliko hii ya kuumbuana hadharani wakati na yeye ni sehemu ya huo
 
Warioba sio MTU wa Pwani Wala Dar ,Wala morogoro wala Zanzibar, Wala Lindi Wala mtwara ,kwamba utamkuta ni Mswahili kama ulivyo wewe Kinembe.


Warioba Ni jabali la Kanda ya ziwa, yuko hivo Toka Enzi na Enzi
Hiyo Kanda Ina baadhi ya watu wabinafsi wababe wasio na busara ya kufanya mambo...They think Mabavu ndiyo akili...Pwani Wana diplomacy ya hali ya juu na ndiyo wao walioshiriki kikamilifu kuleta uhuru
 
Labda kaona anazeeka anakaribia kufa asiposema sasa hatasema milele.

Ni haki yake ya kikatiba.

Jadili hoja. Usimjadili mtoa hoja.

Kumjadili mtoa hoja badala ya hoja ni ad hominem attack, logical fallacy, mara nyingi hufanywa na watu wasio na hoja.
....na wapumbavu!
 
Za ndaani kabisa ni kwamba Mzee Joseph Sinde Warioba chuki yake ilianza kuumuka baada ya mtoto wake kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa Wilaya.

Kila akipata fursa lazima afurumushe makombora mazito, lakini chanzo ni hicho.
Hakuna chuki Wala Nini! Anasema ukweli mtupu,na ndivyo uhalisia ulivyo
 
Za ndaani kabisa ni kwamba Mzee Joseph Sinde Warioba chuki yake ilianza kuumuka baada ya mtoto wake kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa Wilaya.

Kila akipata fursa lazima afurumushe makombora mazito, lakini chanzo ni hicho.
Unaendeshwa na hisia zako mfu.Mtu mzima akikusema,msikilize na uchuje uambiwacho.
 
Mbona hatuoni huo ubishani kwenye nafasi aliyopewa nayo? Amebeba ukabila na ukanda?
Andika vitu vieleweke.

Nafasi gani? Aliyopewa nani? Ubishani gani? Kwa nini uone ubishani? Ubishani kati ya nani na nani?
 
Za ndaani kabisa ni kwamba Mzee Joseph Sinde Warioba chuki yake ilianza kuumuka baada ya mtoto wake kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa Wilaya.

Kila akipata fursa lazima afurumushe makombora mazito, lakini chanzo ni hicho.
Acha siasa za kitoto, Warioba huwa ni msema ukweli muda wote. Upotoshaji wa kijinga haukufikishi popote, huyo Kipi hakuondolewa kwenye ukuu wa wilaya, bali aliacha ukuu wa wilaya ili kwenda kugombea ubunge 2020.
 
Ebu tupia mfano mmoja wa Warioba alivyomfundisha Mwalimu Sheria tufurahi humu.

Maana mimi ninachojua kwa Mzee Warioba ni kuchakachua matokeo ya uchaguzi wa ubunge mwaka 1990 Jimbo la Bunda kabla ya mahakama kutengua ubunge wake! Ahahahahaha!!!
Yeye ndiye alikuwa tume?Acha usingiziaji.
 
Za ndaani kabisa ni kwamba Mzee Joseph Sinde Warioba chuki yake ilianza kuumuka baada ya mtoto wake kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa Wilaya.

Kila akipata fursa lazima afurumushe makombora mazito, lakini chanzo ni hicho.
Pia, rejea Tume ya Katiba, Warioba aliwasilisha maoni ya serikali tatu tofauti na matakwa ya CCM. Angekuwa chawa bendera fuata upepo, angeweza kuchakachua maoni na kufuata mwelekeo wa CCM.
Na kumbe ndio maana Kikwete alimchagua Warioba kuongoza tume akijua hatachakachua maoni. Ile tume ya Warioba kweli ilizunguka nchi nzima mpaka vijijini ndani ndani huko. Wangekuwa wengine wangekuwa wanaishia wilayani na kupika maoni
 
J. S. Warioba alikuwa anabishana na Nyerere wakati Nyerere ni rais na Warioba ni Mwanasheria Mkuu wa serikali.

Alikuwa anamfundisha sheria Nyerere bila woga, mpaka Nyerere anakubali kushindwa.

Hajaanza hivi karibuni kukosoa uongozi.

Acha siasa za majitaka.
We kweli mwendawazimu, Warioba huyuhuyu chawa wa Mwalimu?
 
Za ndaani kabisa ni kwamba Mzee Joseph Sinde Warioba chuki yake ilianza kuumuka baada ya mtoto wake kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa Wilaya.

Kila akipata fursa lazima afurumushe makombora mazito, lakini chanzo ni hicho.
Yapi maneno ya chuki ?
 
Za ndaani kabisa ni kwamba Mzee Joseph Sinde Warioba chuki yake ilianza kuumuka baada ya mtoto wake kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa Wilaya.

Kila akipata fursa lazima afurumushe makombora mazito, lakini chanzo ni hicho.
Mawazo ya vitoto vya 2000 haya. Hakuna rais huyu mzee hajawahi kumkosoa ikitokea amekengeuka. Waulize wakubwa wako wanajua. Usiwe unakimbilia kuandika. Sawa ndugu?
NB. Sio kwa ubaya
 
Sisi wazee wa zamani tunaomfahamu jaji warioba hatuna shaka kabisa na misimamo yake.Toka miaka ya zamani ya sabini alikuwa akiona jambo ambalo haliko sawa anamwambia Nyerere bila woga.Sema wewe ni mtoto wa juzi ndiyo maana unasema amebadilika baada ya mwanae kuachwa ukuu wa wilaya jambo ambalo ni uongo 100%
 
Back
Top Bottom