Chukua hii 100% Wachezaji Waandamizi wa Simba SC wakiongozwa na Chama kwa Makusudi Wanamuangusha Kocha kwa Kutumiwa na Kiongozi Mmoja

Yani Chama haujumu timu katika magoli matatu ya Simba kwenye ligi ya mabingwa amefunga mawili.
Hata goli ambalo Bocco alipiga na wakajifunga yeye ndiye alimpa pasi, Sasa hizo hujuma Zina toka wapi...?
Andika weka ushahidi wa hata Mazingira tuone.
Una una lazimisha kujipa umuhimu mkubwa wa Simba wakati haujui lolote mjinga mkubwa.
Mara kujifanya mganga kisa ujuajj mwingi akili kisoda.
 
Simba imeendekeza ubwege sana na hao friends of simba, Mo n mazagazaga yote ni useless

Barbara was excellent ndio Maana alichana na hawa wapuuzi
 
Nitakuwa wa mtu mwisho kuamini hii taarifa. Robertino anamhitaji zaidi Chama kuliko Chama anavyomuhitaji Robertino. Na mpaka sasa uwepo wa Robertino Simba ni kwa neema tu za Chama vinginevyo angekuwa kasharudi Brazil zamani sana. Japokuwa Robertino alikuwa mwanzoni hapendi uchezaji wa Chama lakini sasa hivi naamini kabisa analazimika kumpenda kwa sababu kaokoa kibarua chake mara kibao. Kusema Chama anamuhujumu Robertino si kweli kwa sababu Chama alikuwa nafasi nyingi tu za kupigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la Robertino lakini hajafanya hivyo.
 
Yani una una Miquison, una Boko, una Saido, una Baleke na hawa ndio tegemeo mkwenu unategemea muujiza gani?

Hawa wote ni reject wameshajichokea.

Saido alileta fujo tu kutaka kumuharibia Mayele nafasi ya mfungaji bora, sasa mafuta na maji vinajitenga.
 
Kama ingekuwa hivyo sizani kama Chama angetumia uwezo wake binafsi kufunga yale magoli mawili kule Zambia.

Hii chai kama chai nyingine.
 
Ni kweli usemayo jamaa lakin na kocha nae ameshindwa kuonesha mbinu mbadala zaidi yeye ameamua kucheza mpira ule mtaani tunasema bora liende mbele hii ni hatari.
Lingine mkuu nikuulize unataka kutuambia simba hii na Simba ya msimu uliopita ya wapi inaafadhali?
 
Chama kafunga goli mbili kule Kitwe,leo anatumiwa na kiongozi flani(huu uzi nao ni takataka tu)[emoji735]
 

Hata Usema vipi Ukweli itabaki pale pale…
Msimbazi wachezaji wazawa wanawaloga wageni ili wasifanye vema kwa kila namna.
Wakati wenzao wa Jangwani hakuna wachezaji kulogana…kabisa
kunna wazee kina Mpili na wenzake wakikuchungulia wakakuta unaloga wenzio wanakuondoa Fastaaa!
Kuloga wanaloga nje sio wachezaji wao kwa wao.
Msimbazi huu mtundo unadekezwa na Viongozi sio kwa masslahi ya Timu bali Mahaba ya Wachezaji wanaowapenda!
 
Ndio na vijiwe vyao ni kwa msisi handeni wanajulikana..shubamiti kabisaaaa
 
We ni tapeli mkubwa.
Mchawi kigagula uliyetukuka.
Ulianza kumsema Mgunda eti anamfanyia hujuma Roberto na ukataka afukuzwe na kweli aliondolewa.

Wewe ni kirusi mkubwa na ungekuwa mdudu unayeonekana unastahili kupotezwa kabisa
 
Hata mimi nimeona, ukiangalia kabisa unaona game plan ya mwalimu, ila sasa wachezaji ndo wanamwangusha.
 
Mm nashangaa saidoo Huyu imekuaje mpaka aonekane nondo pale simba?

Hivi hawa wamelogwa?
 
Mkuu hii timu si zilitolewa billioni kadhaa na boss maneno akatangaza mpaka mtandaoni
 
Walio mleta kocha wanajua falsafa za Robertinho ni direct football sasa kumlaumu ni ku mkosea, direct football inahitaji nguvu na kasi ya kuwahi kwenye maeneo.

Bahati mbaya aina iyo ya mchezo inahitaji vijana tena wenye kasi sana.
Simba ya sasa ina wachezaji wazuri ila inakosa uwiano, na kujituma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…