dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Code hi mbna nimeshindwa kungamuaThread 'CCM waendelea kuvuana nguo, safari hii ni Bollen Ngeti' CCM waendelea kuvuana nguo, safari hii ni Bollen Ngeti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Code hi mbna nimeshindwa kungamuaThread 'CCM waendelea kuvuana nguo, safari hii ni Bollen Ngeti' CCM waendelea kuvuana nguo, safari hii ni Bollen Ngeti
Bollen Ngeti siku ukijua kuna watu wenye akili zaidi yako utaacha kufanya mzaha, unaotaka kuufanya.Ahsante sana ndugu yangu. Ndiye huyo. Soon nitawaletea picha zake akiwa Kagame, Rostam Aziz, Membe na Barack Obama. Huyu jamaa ni mzimu anayekiangamiza CCM. Mnakumbuka battle yake na Cyprian Musiba DW? Amekuwa rafiki mkubwa kwa nje kwa Chongolo mwisho SG out. Mkimtafuta Kigogo 2014 msakeni huyu. CCM tusilale.
Mambo ya Katibu.......ila ccm kumejaa mambo ya hovyo nilijua ni ufisadi tu kumbe hadi madanguroWateja wa madanguro wamepagawa tangu Chalamila ayafungie, wanaandika vitu havieleweki
Makonda ataimaliza ccm ngoja tuoneAcha kumsingizia Bollen. CCM itakatwa vipande vipande na Bashite.
Unadhani wale wote aliowapa maagizo Wana hamu nae ukianza na kijumbe?
Exit CCM enter CHADEMA.
HahahaaTaarifa njema kama.hii imatia faraja sana kwa Taifa letu.
Nani asiyetaka CCM isife?
kama kuna mtanzania anataka kuiua ccm huyo niwakupewa ulinzi sana kwa maana ana mapenzi mema na nchi.Wanabodi,
Usipuuze maneno ya mlevi apitaye njia. Msikilize na kufuatilia ayasemayo baadaye. Kuna mtu nchi hii anatumia mwamvuli ya uanahabari (cover paper) akiitwa Bollen Ngetti.
Nimemfuatilia jamaa huyu kwa muda mrefu. Si Mwema kwa nchi yetu. Kama kuna wanaoamini Bernard Membe amefariki basi wajue Membe ni hai, na ni Bollen. Jamaa ni agent wa CIA Ukanda wa Afrika Mashariki akiangalia miradi ya USA katika masuala ya usalama. Ukifika USA embassy utamkuta pembeni benchi kama mwenzio kila siku. Huyu ndiye anajua "aliko" Magufuli.
Wanabodi, nimeamua kufunguka baada ya kujua mengi ya huyu mgeni akijiita kada wa CCM. Huyu jamaa ni maalumu kuvuruga siasa za nchi hii. CCM yumo na upinzani ni damu damu. Ameshiriki sana kumuondoa Chongolo kitini. Naomba msipuuzie maneno haya hususan vyombo vya usalama. Bollen ameonekana kwenye Mapinduzi ya Niger, Mali na Burkinafaso. Juzi mmemuona Gaza. Lakini akiwa Tanzania ni kada wa CCM. Special Mission kukiua CCM. Niishie hapo kwa Leo.
SikulaumuMimi hapa
Abarikiwe yeyote anayeshiriki kuua ccmWanabodi,
Usipuuze maneno ya mlevi apitaye njia. Msikilize na kufuatilia ayasemayo baadaye. Kuna mtu nchi hii anatumia mwamvuli ya uanahabari (cover paper) akiitwa Bollen Ngetti.
Nimemfuatilia jamaa huyu kwa muda mrefu. Si Mwema kwa nchi yetu. Kama kuna wanaoamini Bernard Membe amefariki basi wajue Membe ni hai, na ni Bollen. Jamaa ni agent wa CIA Ukanda wa Afrika Mashariki akiangalia miradi ya USA katika masuala ya usalama. Ukifika USA embassy utamkuta pembeni benchi kama mwenzio kila siku. Huyu ndiye anajua "aliko" Magufuli.
Wanabodi, nimeamua kufunguka baada ya kujua mengi ya huyu mgeni akijiita kada wa CCM. Huyu jamaa ni maalumu kuvuruga siasa za nchi hii. CCM yumo na upinzani ni damu damu. Ameshiriki sana kumuondoa Chongolo kitini. Naomba msipuuzie maneno haya hususan vyombo vya usalama. Bollen ameonekana kwenye Mapinduzi ya Niger, Mali na Burkinafaso. Juzi mmemuona Gaza. Lakini akiwa Tanzania ni kada wa CCM. Special Mission kukiua CCM. Niishie hapo kwa Leo.
Chama cha Mambuzi hahaahahahahhaha
sema umechoka wewe kuambiwa ukweli...Weka akiba ya maneno ili siku moja husije kukosa cha kuongea. Wakati unakuja, hao mnaowategemea ktk wizi wa kura na kupoka madaraka kwa nguvu wataichoka CCM kama ilivyochokwa na wananchi.
Iko kazi !Thread 'CCM waendelea kuvuana nguo, safari hii ni Bollen Ngeti' CCM waendelea kuvuana nguo, safari hii ni Bollen Ngeti
Yupo mwamba wa Dunia kwenye maandiko aliuwawa na kipofu !!huyu ndiye huyo mpuuzi? Mbona ni mtu mdogo tu na hawezi kuliangusha dude kubwa ccm. Mbona mnaichukulia ccm poa sana?
Kwamba huyu ndiye kigogo 2014?Ahsante sana ndugu yangu. Ndiye huyo. Soon nitawaletea picha zake akiwa Kagame, Rostam Aziz, Membe na Barack Obama. Huyu jamaa ni mzimu anayekiangamiza CCM. Mnakumbuka battle yake na Cyprian Musiba DW? Amekuwa rafiki mkubwa kwa nje kwa Chongolo mwisho SG out. Mkimtafuta Kigogo 2014 msakeni huyu. CCM tusilale.
Mkuu, ni jani gani unatumia na linalimwa wapi?Wanabodi,
Usipuuze maneno ya mlevi apitaye njia. Msikilize na kufuatilia ayasemayo baadaye. Kuna mtu nchi hii anatumia mwamvuli ya uanahabari (cover paper) akiitwa Bollen Ngetti.
Nimemfuatilia jamaa huyu kwa muda mrefu. Si Mwema kwa nchi yetu. Kama kuna wanaoamini Bernard Membe amefariki basi wajue Membe ni hai, na ni Bollen. Jamaa ni agent wa CIA Ukanda wa Afrika Mashariki akiangalia miradi ya USA katika masuala ya usalama. Ukifika USA embassy utamkuta pembeni benchi kama mwenzio kila siku. Huyu ndiye anajua "aliko" Magufuli.
Wanabodi, nimeamua kufunguka baada ya kujua mengi ya huyu mgeni akijiita kada wa CCM. Huyu jamaa ni maalumu kuvuruga siasa za nchi hii. CCM yumo na upinzani ni damu damu. Ameshiriki sana kumuondoa Chongolo kitini. Naomba msipuuzie maneno haya hususan vyombo vya usalama. Bollen ameonekana kwenye Mapinduzi ya Niger, Mali na Burkinafaso. Juzi mmemuona Gaza. Lakini akiwa Tanzania ni kada wa CCM. Special Mission kukiua CCM. Niishie hapo kwa Leo.
🤔Kukiua ccm?
Aaah basi huyo ana mapenzi mema na nchi.
Nikimuona namnunulia ya baridi moja
Eeeee Unasemaje???