Kama ma graduate wa Saut ni wakina GENTAMYCINE wasio weza kuandika uzi hata moja wa kiingerza bila gramatical mistakes ulitegemea chuo kinge fanana je?GENTAMYCINE anasemaje kwani,mzee wa SAUT
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ma graduate wa Saut ni wakina GENTAMYCINE wasio weza kuandika uzi hata moja wa kiingerza bila gramatical mistakes ulitegemea chuo kinge fanana je?GENTAMYCINE anasemaje kwani,mzee wa SAUT
Kama huo mkusanyiko wa vibandaumiza hapo kwenye picha ndio majengo ya SAUT. Basi wanazidiwa na shule nyingi tu za sekondari kama Ihyungo na Moshi Technical.Mimi sio first year mkuu,lakini ukweli lazima usemwe.Chuo kinazidiwa mazingira na shule ya St Jude-Arusha.
Mbona hilo kosa la kawaida kwa SAUT. Mara utasikia wanamsubiri IT, mara wampe hela ili arekebishe makosa. SAUT ndio chuo ambapo mwanachuo ana-screenshot matokeo na ku-screen record kila semester kama vile anatunza ushahidi wa mkeka wa kampuni uchwara ya kubeti.Mapungufu ni mengi mkuu mfano Leo Kuna jamaa yangu kahitimu SAUT 2019-2022,kaenda leo kuchukua cheti hakuna cheti Wala jina lake halipo kwenye kitabu Cha wahitimu wa mwaka husika na Cha ajabu kwenye account yake matokeo y'ako vizuri tu.😳
Mazingira yakiwa mazuri lazima tutoe sifa,lakini kwa mazingira ya sasa hapana kwa kweli.Chuo kina tia aibu kubwa sana.Kwakuwa ndiyo umeripoti acha tukupatie mwezi Mmoja utakuja na Uzi wa kusifia SAUT Malimbe campus.
Msalimie sana Papaa Mulongo,mutu ya congo.😂😂
Nisha mwambia rafiki yangu afike ngazi za juu hasa kwa Prof na balozi Mahalu,ili kupata suluhu maana alimuuliza mtoa cheti kwanini ? cheti hakipo na jina halipo kwenye kitabu Cha wahitimu na wakati kwenye account binafsi matokeo y'ako Sawa,Cha kushangaza hata mtoa vyeti hajui ni kwanini?Mbona hilo kosa la kawaida kwa SAUT. Mara utasikia wanamsubiri IT, mara wampe hela ili arekebishe makosa. SAUT ndio chuo ambapo mwanachuo ana-screenshot matokeo na ku-screen record kila semester kama vile anatunza ushahidi wa mkeka wa kampuni uchwara ya kubeti.
Wao kumaliza masomo yako ukaambiwa una sup ya mwaka wa kwanza hawaoni shida, na kwenye system wanakuonyesha, na wewe hujawahi ona. Kumaliza ukaenda kuchukua cheti ukakadiriwa una deni la ada ni suala lililozoeleka. Yaani unaweza ukatenga kabajeti kidogo ukihisi labda watadai unadaiwa laki moja hivi.
Nina mdogo wangu alisoma pale. Hasahasa nakumbuka walikuwa na utunzaji mbovu wa data sijui IT specialists wao walikuwa wamewatoa wapi. Nahisi walibadirika labda
Usha sema enzi zako,usitake mazingira uliyo soma wewe yawe Sawa na wengine.Mambo yanabadilika hivyo lazima na vitu vibadilike kuendane na mazingira ya sasa.Tena unalalamika mazingira ya Sasa hivi wakati Kuna fence,main gate,Kuna vimbweta vimepigwa Hadi bati. Wakati sisi tukisoma hapo hivyo vyote havikuwepo.
Hivyo vibanda ni migahawa ya hovyo,ambavyo kimsingi vinaharibu muonekano wa chuo.Kama huo mkusanyiko wa vibandaumiza hapo kwenye picha ndio majengo ya SAUT. Basi wanazidiwa na shule nyingi tu za sekondari kama Ihyungo na Moshi Technical.
Mi pia hiki kitu kilinikuta , transcript matokeo yanaishia year ……, cheti cha chuo ambacho sijachukua hadi sasa kitasoma year tofauti.Mapungufu ni mengi mkuu mfano Leo Kuna jamaa yangu kahitimu SAUT 2019-2022,kaenda leo kuchukua cheti hakuna cheti Wala jina lake halipo kwenye kitabu Cha wahitimu wa mwaka husika na Cha ajabu kwenye account yake matokeo y'ako vizuri tu.😳
Chuo ni kibovu,alafu kikatoa gawio kwa serikali 😀kama hii ndio SAUT ninayoisikiaga, basi kuna shida kubwa pahala, sio bure!!;;
Hiki chuo kinapaswa kufumuliwa chote na kuajili watu wenye akili na uwezo,imefika hatua mtu una hisi aibu kusema umehitimu SAUT.Mi pia hiki kitu kilinikuta , transcript matokeo yanaishia year ……, cheti cha chuo ambacho sijachukua hadi sasa kitasoma year tofauti.
Japo si SAUT
Sehemu zote zinatumika mkuu,siwezi leta habari za uzushi na mbaya zaidi kwenye picha hapo Kuna sehemu nyeti za kujipatia chakula mfano ni 👇Ungeweka caption kwa kila picha ukisema ni mazingira gani, na panatumika au hapatumiki.
Wasifananishe chuo na seminari zao.Ngalalekumutwa alishawahi kuwaambia wanafunzi wa SAUT kwamba kanisa linaweza kukifunga chuo na kukigeuza mabanda ya kufugia kuku na kuwafukuza wanafunzi wote endapo wataendelea kuleta mgomo kuhusu jambo lolote ndani ya chuo.