Chuo cha SAUT badilikeni, Chuo kama shule ya msingi

Chuo cha SAUT badilikeni, Chuo kama shule ya msingi

Mara ya kwanza nafika pale nilidhani sijafika chuoni kumbe ndo nishafika.Nilighairi kusoma tena MASTERS pale
sawa kabisa, kwa mapicha hayo! Utafikiri umefikia kijiji cha mabanda ya nguruwe na mabata.
Kwa ambao hatujafika tunapata picha ya hizo degree na masters zimefanania na mazingira ya hivyo vibanda! Very primitive...shame on you uongozi wote kwa kujali matumbo yenu.
 
Chuo kasoma mtu kilaza kama Doto Biteko unategemea kitakuaje?
Halafu mwenzako ni naibu waziri mkuu,wewe mwenye akili upo wapi??

Unasumbuliwa na :

wivu

mtu asiyependa mwingine apate mafanikio; mtu mwenye kijicho

Hali hii imekufanya uwe na:

chuki

tabia ya kutopenda, hasa watu au ya kuwa na roho mbaya


Nb: Ninyi ndiyo wale mnaoamini kuwa ukiwa wa kwanza darasani basi hata kwenye maisha halisi uwe wa kwanza! Ukipitwa na aliyekuwa wa mwisho darasani full chuki, hasira, wivu,kijiba, roho mbaya n.k! Karibu duniani!
 
Lengo la huu Uzi sio kubeza wala kudharau taasisi muhimu hii ya Elimu ya juu nchini,bali kutoa ushauri kwa lengo la kuboresha mazingira ya chuo,ambayo kimsingi hayavuti Sawa na hadhi ya chuo kikuu.

Ni mambo ya ajabu chuo kuwa kinakusanya mabilioni ya fedha na Kuna kipindi kilitoa gawio kwa serikali,alafu Kina shindwa kuboresha mazingira ya chuo.

Hii ni aibu mpaka kwa kanisa moja takatifu katoliki la mitume.
Inatia moyo
Kila kitu kina anzia chini kuja juu.
 
Halafu mwenzako ni naibu waziri mkuu,wewe mwenye akili upo wapi??

Unasumbuliwa na :

wivu

mtu asiyependa mwingine apate mafanikio; mtu mwenye kijicho

Hali hii imekufanya uwe na:

chuki

tabia ya kutopenda, hasa watu au ya kuwa na roho mbaya


Nb: Ninyi ndiyo wale mnaoamini kuwa ukiwa wa kwanza darasani basi hata kwenye maisha halisi uwe wa kwanza! Ukipitwa na aliyekuwa wa mwisho darasani full chuki, hasira, wivu,kijiba, roho mbaya n.k! Karibu duniani!
Umemjibu inavyopaswa kabisa huyo Mpumbavu.
 
Ushauri wangu fanya kichokupeleka uzuri wa majengo haufanyi module zikawa nyepesi hapo ni kwa warumi tena tulizana kiutani utani utasoma degree miaka sita so take care kuingia SAUT simple ila kuchomoka inaitaji utulivu wa akili sasa wewe endelea kupiga picha hayo magofu ya zamani maana pengine ujui historia ya hapo malimbe
 
Ushauri wangu fanya kichokupeleka uzuri wa majengo haufanyi module zikawa nyepesi hapo ni kwa warumi tena tulizana kiutani utani utasoma degree miaka sita so take care kuingia SAUT simple ila kuchomoka inaitaji utulivu wa akili sasa wewe endelea kupiga picha hayo magofu ya zamani maana pengine ujui historia ya hapo malimbe
Kweli kabisa mkuu
 

Attachments

  • IMG_20241016_091843_678.jpg
    IMG_20241016_091843_678.jpg
    790.3 KB · Views: 9
  • IMG_20241016_091706_703.jpg
    IMG_20241016_091706_703.jpg
    785.2 KB · Views: 8
  • IMG_20241016_091541_780.jpg
    IMG_20241016_091541_780.jpg
    940.5 KB · Views: 9
Katoliki siku hizi wamekuwa matapeli zaidi! Taasisi zao hasa za elimu zimekuwa dhoofu sana! Hio saut ni majengo mabovu kama magereza za uko DRC! Uwa najiuliza michango wanayokusanya kila kukicha wanapeleka wapi?
Sasa hivi maaskofu wa catholic wamekuwa useless wako sambamba na watawala katika kuwakamua waumini wao fedha! Ila hakuna cha maana kinachoendelea!
Wamebakiza kutukana waumini na kuongea maneno ya kijeuri na kifedhuli! Mimi nilishatoka uko kitambo niko orthodox! Watoto na mama yao wako SDA.
Baba wa familia unakimbia kanisa unamuachia mama aende na watoto kanisa jingine.
 
Kila kitu kinafahamika na uongozi wa juu,chuo hiki nilikiona nicha ajabu ni pale kilipotoa gawio kwa serikali, kipindi cha shujaa,wakati hata mishahara kwa wahadhiri ni kipengele.
Huu Ni uongo wa kiwango Cha SGR,serikali Ina share % ngapi kwny chuo Cha SAUT?

Wewe Ni kaongo.
 
Back
Top Bottom