Chuo cha Uhasibu Arusha chadaiwa kudahili Wanafunzi wengi kuliko uwezo wake, wengine wasomea na kuishi Hoteli ya Ngurdoto

Hapa linaloshangaza ni jambo moja tu mteja mkubwa wa hotel hii alikuwa ni nani? Maana kitakwiimu Tanzania kwa sasa watalii wanaoingia ni wengi mno kupita miaka yote iliyopita au mteja mkuu alikuwa ni SEMINA?
 
Huna bandiko linalohusu kuokoa hicho kampuni/saccos iwe chama cha siasa zaidi ya udaku kama huo. Aibu
 
Mkuu wa chuo cha uhasibu amesema kwa mwaka mwanafunzi analipa laki 4 na kuna wanafunzi 1000 tayari wamehamia.

Ina maana kwa mwaka atapata only mil 400.
Duuu si anapata hasara jamani
 
Hiyo hotel mmiliki alishafariki sasa huwezi kukimbilia kulaumu serikali chadema tunahitaji utulivu n umakini zaidi kwenye kuripoti habari kama hizi
Mkuu honestly mie naumia kweli kweli yani
Tumevuka mipaka ya kutokua na AKILI TIMAMU sahivi Sijui tuko wapi

Watu wamekua wanashindana kutoa kejeri dhidi ya Serikali Mara mitan tena, Mara uchumi wa kat yani alimrad mtu na yeye aseme aonekane, Mbona Mimi wakat nip jalalani kam nyie sikua natoa kejeri hivi [emoji19][emoji19]
 
RIP don Mrema jamaa yako umeacha solemba

Bata ulizokuwa unampa hazipo Tena

Sasa anaikaanga taaluma yake kwa kuwa maamuma!!

Pumzika kwa amani don Mrema
 
Aisee mwandiko wa hovyo kabisa sijapata kuona.
 
Kosa la marehemu inasingiziwa serikali
Mrema alikua amehodhi kila kitu peke yake na kibaya hakuwa hata na mipango ya baadae. Pole kwa familia yake
 
"Uchumi umekua kweri-kweri mpaka watoto wa wanyonge wanalala kwenye hostel zenye hadhi ya nyota 5" By Mataga flani
Mkuu mi ni mwanafunzi wa chuo cha uhasibu Arusha, hii ni issue ya ukweli kutokana na chuo kusajili wanafunzi wengi kupita uwezo wa chuo ndio wameamua baadhi ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza kuhamishiwa huko sio hostel tu hadi kusoma watakuwa wanasomea huko huko maana leo nilienda library nikakuta wanakusanya vitabu ili kwenda kutengeneza library hapo hotelini na hela ya kukaa huko ni 400,000 kwa mwanafunzi mmoja.
 
Mkuu wa chuo cha uhasubu amesema kwa mwaka mwanafunzi analipa laki 4 na kuna wanafunzi 1000 tayari wamehamia .

Ina maana kwa mwaka atapata only mil 400.
Chumba kimoja kwa siku ilikuwa bei gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…