Chuo cha Usafiri wa Anga kutoa mafunzo ya urushaji drones kwa ada ya Tsh. 1,980,000 yatayoweza kuomba leseni ya urushaji TCAA

Chuo cha Usafiri wa Anga kutoa mafunzo ya urushaji drones kwa ada ya Tsh. 1,980,000 yatayoweza kuomba leseni ya urushaji TCAA

drone (vi drone) hata mii na operate kabisa na nishashutia hadi kwaya una control kwa simu kirahisi tu miimi nilijua zile ni mafunzo ya zile drones kama za kivita za wamarekani nikajua kuna ajira labda za kwenda kuendesha drones kupambana na magaidi ya mtwara / msumbiji?
kazi ipo jamani nyiee kwa hiyo ukishatoa hiyo milioni 2 kwa week 4 ukipata kibali ukumbuke kila mkoa unapoenda unatakiwa ulipe dollar 100 ya kibali,polisi watafaidi sana safari hii,BADO MNAAWAMBIA WATU WAJIAJIRI?KUWA NA CHANNEL YA YOU TUBE INABIDI ULIPE MILIONI 3,BADO MNASEMA MNAPENDA WATU WAWE CREATIVE?
HEHEEEEE HIIIIIII BHAGOSHAAAAAA
Hahahahah hii nchi bhana
 
shida hapo ni kibali hutapata kibali hadi uwe na hayo mafunzo kama ilivyo kwa mafunsi simu..na walisemaga kila mkoa ku operate kibali ni dollar 100 kwa mfano kama una kampuni ya shooting na macamerman 5 inabidi ikutoke milioni 10 ya mafunzo,hakuna namna tena sasa kupata views za juu inabidi kurudi kutumia cranes au kupanda juu ya vibaraza na magorofa kama zamani
Sheria yeyeto huwa ni fursa kwa walinda sheria wabongo tunajuana.
 
Naona kitakachofuatia ni baby stroller (pichani)...utatakiwa uhudhurie mafunzo kuhusu sheria za mtaani (njia) na jinsi ya kupishana na watumiaji wengine wa njia (barabara). Kozi itakuwa ya wiki mbili na gharama ni shilingi laki tano (500,000/=). Baada ya mafunzo utatunukiwa cheti cha kukuwezesha kumtembeza mtoto mtaani kwa usalama.

View attachment 1653733
Hela ngumu jamani...inatafutwa hadi uvunguni!​
Aiseeee !!!
 
Hiyo 1,980, 000/= fanya hivi nenda kijiji cha Mwarazi mgeta pale morogoro tafuta shamba kwa bei nafuu kabisa lima cabbage kwa hekta kumi kwa miezi tatu. Matokeo utayaona sio huu ujinga wa serikali
Big up
 
kwahiyo tuendelee kujaza vyeti tu wakati ajira hakuna kabisa au tuendelee kupoteza pesa kwa ajili ya kulipa ada tukijua kazi ni kwa mbinde kupata
 
Hili ni sikio la kufa. Ajira hakuna halafu wewe unabana mianya ya kujiajiri! Yakikukuta unaanza kulaumu 'mabeberu'.
 
Nilijua ni course hii ningekuja kesho 🙄






Drone.jpg
control room.jpg
 
Siku hizi wanaharakati hawa post tena zile Clip za Nyerere za kusema Serikali Legelege haikusanyi kodi…walikuwa wana post wakati wa Jk kumsanifu
Haha Haha
Nchi hii kila kitu lazima usomeee yani hata waliogundua hawahasoma kama sisi..
Kila kitu
Leseni, cheti, ada, nk...
 
Ukifeli wanarudisha ada, au ni haina kufeli ? 😀
 
Hiyo 1,980, 000/= fanya hivi nenda kijiji cha Mwarazi mgeta pale morogoro tafuta shamba kwa bei nafuu kabisa lima cabbage kwa hekta kumi kwa miezi tatu. Matokeo utayaona sio huu ujinga wa serikali
Idea nzuri[emoji848]
 
haya wajameni wale mliokuwa mmefungia cranes zenu ndani kazitoeni sasa haziwezi pata high angle kama drones lakini siyo haba kwa kitakachopatikana,drones kauzeni nchi jirani hapo maana viko vi drones hadi vya dollar 300
crane.jpg
 
drone (vi drone) hata mii na operate kabisa na nishashutia hadi kwaya una control kwa simu kirahisi tu miimi nilijua zile ni mafunzo ya zile drones kama za kivita za wamarekani nikajua kuna ajira labda za kwenda kuendesha drones kupambana na magaidi ya mtwara / msumbiji?
kazi ipo jamani nyiee kwa hiyo ukishatoa hiyo milioni 2 kwa week 4 ukipata kibali ukumbuke kila mkoa unapoenda unatakiwa ulipe dollar 100 ya kibali,polisi watafaidi sana safari hii,BADO MNAAWAMBIA WATU WAJIAJIRI?KUWA NA CHANNEL YA YOU TUBE INABIDI ULIPE MILIONI 3,BADO MNASEMA MNAPENDA WATU WAWE CREATIVE?
HEHEEEEE HIIIIIII BHAGOSHAAAAAA
Wanasema tujiajiri ili wapige kodi
 
drone (vi drone) hata mii na operate kabisa na nishashutia hadi kwaya una control kwa simu kirahisi tu miimi nilijua zile ni mafunzo ya zile drones kama za kivita za wamarekani nikajua kuna ajira labda za kwenda kuendesha drones kupambana na magaidi ya mtwara / msumbiji?
kazi ipo jamani nyiee kwa hiyo ukishatoa hiyo milioni 2 kwa week 4 ukipata kibali ukumbuke kila mkoa unapoenda unatakiwa ulipe dollar 100 ya kibali,polisi watafaidi sana safari hii,BADO MNAAWAMBIA WATU WAJIAJIRI?KUWA NA CHANNEL YA YOU TUBE INABIDI ULIPE MILIONI 3,BADO MNASEMA MNAPENDA WATU WAWE CREATIVE?
HEHEEEEE HIIIIIII BHAGOSHAAAAAA
Ngosha lekaga getee
 
Nauliza hivi kwani hauwezi ukawa unashoot video yako kwa drone bila kibali na usipatikane?
 
Back
Top Bottom