Chuo fulani Kilichoungua leo kina Kashfa Nzito, ila Kinalindwa na Mtanzania Muhimu sana


Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un.

 
Umeona eeh! Hayo ndo maswali nipo na mashekhe hapa hawakijui kabisa yaani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]labda wanasoma waarabu peke yao
Kama haupo na mashekhe wa Kilungule haya mambo ya Mwezi Beach kwao ni hadithi ya kufikirika.
 

Mkuu Ruto na Museveni wameweka wazi sisi tunashindwa vipi?
 

Kweli kabisa,kama wazinzi wanavyofanya uzinzi wao wakiwa huru ikiwemo huyo anayepinga ushoga,shida nini kama mashoga wakiamua kushogana wao kwa wao kwa raha zao?yeye anateseka na nini mashoga yakishogana?mbona hateseki na uzinzi wake?mana ushoga na uzinzi ni kitu kile kile matundu na vikojoleo ni vile vile tu wahuni wanateleza.
 
Kwahiyo kati ya chura na nguruwe bora nini??kwani nguruwe alimfanya nini mtume wenu?mana mnavyomchukia mkuu wa meza hadi mnatia huruma.
Hata yesu alitupia mapepo kwa nguruwe ila wewe wafuate waitaly na waingereza tu ...maana ndo Miungu yako!
 

Wengi ni wapuuzi tu wanaishi kwa mihemuko na hofu,eti ushoga ni kinyume na maadili maadili gani wakati hakuna hata mmoja mkamilifu wanasahau kuwa hakuna dhambi ndogo mbele za muumba.

Watu waache inafiki hao ambao wanajidai kupinga ushoga ndio kutwa wanaongoza na kusifia kula tigo za wanawake weo,nawakumbusha kinyeo ni kinyeo tu kiwe kwa demu ama man.
 
Hata yesu alitupia mapepo kwa nguruwe ila wewe wafuate waitaly na waingereza tu ...maana ndo Miungu yako!

Jibu swali,halafu kumbe unamuamini na kumfuata Yesu mwana waMungu aliye hai,ila shida majini yamekujaa,uje ukanyage mafuta mapepo yakutoke uipate nuru ya kweli.

Narudia tena kati ya chura na nguruwe utakula kipi?
 
Jibu swali,halafu kumbe unamuamini na kumfuata Yesu mwana waMungu aliye hai,ila shida majini yamekujaa,uje ukanyage mafuta mapepo yakutoke uipate nuru ya kweli.

Narudia tena kati ya chura na nguruwe utakula kipi?
Swali lip? Leta nikujibu


Yesu mwenyewe 👇👇
 

Attachments

  • 332731991_177868558284376_7804335462042706687_n.mp4
    20.4 MB
Duh
 
Dah wewe ni Bwabwa kweli sio kwa kujibu hivi
 
Kwa ujumla Serikali imehalalisha mapenzi ya jinsia moja. tuacheni kulialia kwenye mitandao ni muda wakuchukua hatua.
Hapo wamesema bila kupepesa " Serikali itaheshimu mikataba yote ya kimataifa inayohusu haki za binadamu" kumbe Kuna mikataba tayari!
Swali ni Serikali ipo kwaajili ya Nani? Iweje waamue mambo makubwa hivi bila kuwashirikisha wananchi? ( Bunge) ni muda sasa wakuanzisha maandamano ya amani kupinga huu ufedhuri.
Hii misaada inayodharirisha na kuondoa utu wetu tunaulazima gani nayo?
😭
 
Mkuu tatizo Serikali yetu inaonyeshe imeruhusu ushoga kimya kimya.
Haitusaidii kupiga kelele humu. Tutoke kwa nguvu moja tupigie kelele hili jambo hali ni mbaya sana
 
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah umeishiwaa sasa, umetoka kwenye hoja ya serikali, umehamia kwenye Dini.

Huku kwenye Dini, ndo wala siwezagi kuzungumzia, kwanza ikiingizwa hoja ya Dini hapo hapo nakata convoy, mie sio mfuasi au mtumwa wa imani za kuletewa.

Am out!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeh
 
Mkuu Ruto na Museveni wameweka wazi sisi tunashindwa vipi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan kwa akili zako unawaamini hao Watu?? Wanacheza na akili za wananchi wao. Kuwa makinii.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawa keyboard warriors mie mbna hawanisumbui, nawapa makavu yao wakalilie huko nje
 
Kwanza wanao pinga ushoga wengi ni bisexuals, huwezi kuta straight akauzungumzia, kwan hata hana mda wa kuufatilia.

Ila bisexuals sasa wako bitter balaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…