Chura, shape, sura na kazi nzuri ya mkeo vimekusaidia nini katika maisha?

Kikubwa 'jiko' liwe linafanya kazi vizuri.
Ukipiga stata moja tu, engine imeshachemka! 😎😎😎
Mengine majaaliwa.
 
Hoja imeshiba na imejitosheleza...mimi moja wapo ambae nimeyakanyaga haya ma Beijin japo langu lina kazi nzuri lakin elimu ya wastan...Shida ni vile ulivyo vitaja.
Hakuna ela mezani,huwezi kumtuma akaenda bila kuhoji na ujibu vizuri niko na majuto haya maisha.

Any way na mimi nimeamua kujijengea kamjengo wangu kwa Siri nikakwapue Mke wapili nimkimbie mazima hili beijim
 
wastan...Shida ni vile ulivyo vitaja.
Hakuna ela mezani,huwezi kumtuma akaenda bila kuhoji na ujibu vizuri niko na majuto haya maisha.

Any way na mimi nimeamua kujijengea kamjengo wangu kwa Siri nikakwapue Mke wapili nimkimbie mazima hili beijim
πŸ˜‚ πŸ˜‚. Haya mabeijiing ni shida.
 
Namba 4 ,mtibeli ee ,sijaelewa mkewangu mzuri anafanyaje ili nikopesheke au unamanisha kuchapiwa
 
Nakubaliana na wewe kabisa kabisa,,
na usiombe kawe kembamba kamesoma kanaendesha ki "baby worker" keupe halafu kanavaa miwani,, utakubali show ya maisha,,

msinibishie anayesifia mvua jua imemnyeshea,,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
mwanamke mzuru ni yeyote yule uliyempenda hata akiwa na madhaifu gani kiuumbaji. ila kwangu, hasa kwa huyu niliyenaye, pamoja na kwamba amezaa watoto kadhaa, lakini chura yake ni ya kawaida, hana tumbo, na pia ni camel foot.

yaani tangu awali sikuwa napenda mwanamke ambaye akilala chali kitu ipo nyumba sana kwenye ikibindankoi, inaonekana hata hapa juu tu, mguu wa ngania yaani. ile inakuwa rahisi kwa katerero, rahisi unapiga wakati unasukua beans na camel foot wote huwa ina nyama nyinginyingi pale na beans imechomoza. ni tamu sana. namshukuru Mungu kwa huyu niliyenaye. kama kuna watoto mtaniwia radhi kufunguka. wapo wale wenye viuno vimerudi nyuma wanafaa kwa chuma mboga tu style zingine hazipendezi. ukija mabonge, likitu limejaaaa hadi beans haionekani, akilalia tumo, unaitafuta. ila kiujumla, mwanamke mzuri ni mzuri kwako yule uliyempenda na ambaye Mungu amekupa (kama ametoka kwa Mungu) anayefanana na wewe.
 
Hilo nalo mkalitizame
 
🫑🫑🫑🫑
 
πŸ˜…πŸ«‘ usioe tena .
 
Mimi napenda mwanamke mzuri wa sura tu. Mambo ya shape siyapi kipaumbele. Shape sio constant factor, kuna wanawake walikua wana shape namba nane katika ubinti, baada ya kuzaa zimepotea.

Binafsi mwanamke akishakua na kazi na akawa anajifanya feminist ananikata stim. Sitaki hata ukaribu nae hata awe mzuri vipi. Nikija kuoa ntaoa hawa form 4 graduates, mwenye kipawa cha biashara, submissive na mwenye hofu ya Mungu tu.
 
Muscular feminist.....
Dizasta vina πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Siku Zote usitegemee pesa ya Mwanamke ndani ya nyumba, hata kama umemfungulia miradi ya kuingiza kipato pesa zao wanajua wanapozipeleka, hata baba yako mzazi ukumuuliza atakwambia pesa ya mama yako sijui inaenda wapi, wanawake ni WA Siri na wabinafsi.
 
Kwamba huyo mke wa pili atakuwa malaika! Jitafute jombaa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…