DOKEZO Clinic ya Marie Stopes Mwanza inatoa huduma za utoaji mimba (abortion)

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wanapata faida mara mbili

Ya kwanza pesa wanayolipwa kwa kufanya hiyo huduma ya utoaji mimba

Ya pili kuuza huo uchafu ambao unatolewa kama mimba, wenyewe wanasema unauzwa kwa pesa nzuri sana kwa ajili ya kutengenezwa mafuta fulani...
Asante kwa maneno kuntu
 
Mtu mzima unajitahidi kupekecha lakini wapi, peke (gololi) zinagusa ukuta wa Makao Makuu ya Chama chetu kileee
 
Simply ondoka hapo katafute maisha sehemu nyingine ? Wewe si umesoma ? Ni competent ? Jiamini na vyeti vyako, maisha sio sehemu moja tu !

Wanaotoa si wameamua wenyewe ? Inakuhusu ?

Sheria ? Ndo kitu gani ? Zimewekwa ili zivunjwe !
Bila shaka wewe ndo mkuu wa hicho kitengo
 
Hongera kwa ujasiri wako.Unaweza kusaidia kutoa ushahidi tulishugulikie immediately?
Niko tayari yes, lakini nitaomba nihakikishiwe usiri.
Maana najua kuwa hii 'biashara' ya utoaji wa mimba wanaopata maslahi nayo ni wengi, kwa hiyo kuna watu hawatafurahia na wakinijua hawashindwi kunidhuru na hata kukatisha uhai wangu.
Na tunafahamu vyombo vyetu vya ulinzi, ukiwa na pesa ni rahisi sana kuvi manipulate vifanye utakacho, ndio maana hii taarifa sikutaka kuitoa polisi maana najua usalama wangu ungekua mashakani mno.
Pia nawaomba na nyie fanyeni uchunguzi wenu mbona ni rahisi sana, sio kwamba hata wanafanya kwa kificho? Hakuna mwanamke kutoka huko kwenu ambae anaweza akaenda clinic yoyote ya Marie Stopes na akasema ana mimba na anataka kuitoa? Mbona mkitumia hiyo mbinu ni mnawadaka wahusika yaani kilaini sana? Kwa sababu kama wengine walivyosema hapa inaonekana hii ishu clinic zao zote nchini zinafanya, na wala sio jambo la kificho..!! Kweli mnashindwa kupandikiza wanawake wakaenda kwenye hizo clinic zao na kusema wanahitaji kutolewa mimba? Ni simple sana kwa sababu wala hawafanyi kwa kificho mbona?
 
Asante sana
 
Marie Stopes ni jina la mtu, one of the founders wa hiyo taasisi. Soma historia yake kwenye link ifuatayo Marie Stopes | British botanist and social worker
Mara nyingi Jina linawakilisha tabia za mtu husika.

Hawa wapo kwa ajili ya kustop maisha ya watoto wanapozaliwa wana record hiyo nchi nyingi duniani.
Hata kenya walishapigwa ban mwaka 2018 kwa tuhuma hizo hizo.

Hata kujifungua kwa kawaida sio jambo la heri kwa wanawake kwenda kupata huduma kwenye hospital zao.
(Asomaye na afahamu)

Nimewafatilia hawa kwa ukaribu.
 
Njoodar utaipenda vyoooni
Kamauuna mume dk huku ujue moto una msubiri mazima
 
Asante sana
Tafuteni mdada ambae anajijua ana mimba, kisha aende kupima kwenye moja ya clinic zao. Akipewa majibu kuwa ana mimba, aonyeshe kusikitika na kushtuka, then ataona hapo hapo wataanza kumwambia kuwa wanaweza ichoropoa kama akitaka.
Hakuna kinachofanya kwa kificho, ndio maana baadhi ya members hapa wame comment kuwa ni kitu kinajulikana hata kwa mamlaka, ila wameamua kufumbia macho kwa sababu wanazojua wao.
 
Uko sahihi sana.
 
Ooh Asante sana kwa ushirikiano.
 
Mbona ndio biashara yao tangu zamani, najua ya Dar lakini
 
Nzasi palee n balaaa niliwahi kukuta ngumi nje gfriend kampigiq jamaa mimba imetokaa akagoma kumwambia alipo..gafla jama kaumwa normal asikute mwanamke yuko na mimba nataka kumwona dk acha kabisa louh
Na usikute mimba haikua ya jamaa? Maana hapa pia kuna wake za watu wanaokuja kutoa mimba za michepuko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…