Mulemule, ndo mambo yanayomtukuza mkuu wao lucifer.......mambo ya kuua iwe kwa kutoa mimba, vita, magonjwa na majanga ya kutengeneza, ushoga yanapata fedha za mafuriko.Mabeberu hao kina Bill gates foundation ndio wanatoa sponsorship ya kufa mtu kwenye taasisi kama hizo, ni mounga mrefu sana
Ndiyo, ninayo kesi ya kujibu.So,ina maana na wewe unayo kesi ya kujibu kwa kushiriki hiyo jinai hata kama kwasasa umeacha,kwanini hukuripoti toka mwanzo?
Exactly the point.Mulemule, ndo mambo yanayomtukuza mkuu wao lucifer.......mambo ya kuua iwe kwa kutoa mimba, vita, magonjwa na majanga ya kutengeneza, ushoga yanapata fedha za mafuriko.
yani ya mwenge ndo wanaongoza kwa utoaji mimba na magonjwa ya zinaa toka CHUO CHA USTAWI WA JAMII.Hao Marie kila sehemu hizo huduma wanazo. Ni malegend
Anakuwa ndo amekupanua anaingiza yale mavyuma ama kakulazimisha? anayefanya ndio anadhambi kubwa ambaye ni mwanamke.Ila nyie wanaume pia ndo visababishi sana kwenye utoaji mimba, na mara nyingi nyie ndo mnatoa hela ya ku cover gharama ya hiyo dhambi.
Hamna bana mi ni Doc. So nina experienceHahahaha...!
Ila uliisema kwa uchungu kweli, hata mimi nilihisi kuwa umewahi ku experience hilo.
Ni hatariyani ya mwenge ndo wanaongoza kwa utoaji mimba na magonjwa ya zinaa toka CHUO CHA USTAWI WA JAMII.
nashauri chuo hiki kimulikwe badala ya kufundisha mambo ya ustawi wa jamii kwa kua wanaharibu jamii badala ya kusaidia jamii, ni full kutoa mimba, wamejaa mafangasi na magono.
mungu epusha hili gharika
Usijitetee sana😂Hamna bana mi ni Doc. So nina experience
Anaelipia gharama ya huo utoaji yeye anakua na dhambi ndogo?Anakuwa ndo amekupanua anaingiza yale mavyuma ama kakulazimisha? anayefanya ndio anadhambi kubwa ambaye ni mwanamke.
Ndio. Maana bado anayeenda kutolewa ni mwanamke. Ana option ya kukataa.Anaelipia gharama ya huo utoaji yeye anakua na dhambi ndogo?
Hahahahahaha😂😂manesi wa hapo hawajui kabisa kuchoma sindano....kila anaechomwa lazima tako liote kijipu...WAPENI AJIRA VIJANA NYINYI MARIE STOPES
Ume mind?
Asante kwa mawazo yako.Ndio. Maana bado anayeenda kutolewa ni mwanamke. Ana option ya kukataa.
Kimsingi wanawake mkikataa kutoa mimba hiyo dhambi inapotea.Asante kwa mawazo yako.
Uko sahihi pia.Kimsingi wanawake mkikataa kutoa mimba hiyo dhambi inapotea.
Ushirikiano sawa. Ila anaebeba mimba ni mwanamke. Ndio mwenye jukumu kubwa zaidi.Uko sahihi pia.
Ila mimi nawaza zaidi katika kuwa responsible pande zote mbili. Mara nyingi mwanaume ukiwa supportive kwa mwenza wako ni ngumu sana mwanamke kutoa mimba (labda wale vichwa ngumu). So, kwa upande wangu naona ni suala la ushirikiano zaidi kati yetu sisi wanawake na nyie wanaume.
Ni kweli kaka, ila kumbuka mimba inaingia kwa ushirikiano wa mwanaume na mwanamke. Kwa hiyo ushirikiano huu ukiendelea baada ya mimba kutungwa, ni ngumu kwa mwanamke kuwaza kutoa mimba.Ushirikiano sawa. Ila anaebeba mimba ni mwanamke. Ndio mwenye jukumu kubwa zaidi.