DOKEZO Clinic ya Marie Stopes Mwanza inatoa huduma za utoaji mimba (abortion)

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Uzuri wao wana vifaa vya kisasa wala mtolewaji hasikii maumivu kabisa 🤣🤣🤣 hawatumii machuma kama wale wa hospitali za kata!
Sheria ya jela miaka 30 haijakaa poa aisee. Kama umempa mwanafunzi mimba ikashindikana kusuluhisha nje ya mahakama bora kuitoa tu maana miaka 30 jela ni kuharibu maisha mazima wakati kitanda hakizai haramu. Pia sheria ya ndoa inaruhusu mtoto wa miaka 16 kuolewa na utakuta uliyempa ni miaka 19 ila mwanafunzi.
 
Hadi nimekuja kulisema hapa, najua wazi kabisa kuwa uwezekano wa mimi kujulikana na kufukuzwa kazi upo, ila kwa hatua niliyofikia ni bora tu nifukuzwe kazi kuliko kuendelea kushiriki huu uuaji na uvunjaji wa sheria za nchi.
 
Sasa wewe bila pesa utakubali kuwa mke wangu na mimba nikikupa hutatoa?
Ukinipa mimba siwezi kuitoa, nitalea mwanangu kwa jua na mvua.
Hahahaha..!! Kuhusu kuwa mkeo, ukijieleza vizuri hata bila pesa mbona naweza tu kukubali? Labda uwe domo zege😂😂
 
Ukinipa mimba siwezi kuitoa, nitalea mwanangu kwa jua na mvua.
Hahahaha..!! Kuhusu kuwa mkeo, ukijieleza vizuri hata bila pesa mbona naweza tu kukubali? Labda uwe domo zege[emoji23][emoji23]
Mkuu vipi .. naomba nikutongoze basi?
 
Mfadhili mkuu wa marie stopes kifedha ni nani? Pesa ya hawa wazungu inakuja na masharti
Wafadhili wao wakubwa hawa ni serikali ya Uingereza, kupitia shirika lao la misaada la UKAID, pia kuna Bill & Melinda Gates foundation, shirika la misaada la Australia, Shirika la misaada la Ufaransa,UNFPA, na wengine wengi tu. Hawa wana funders kibao.
 
Ni kweli unalosema kuhusu adhabu ya miaka 30 jela.
 
Ukinipa mimba siwezi kuitoa, nitalea mwanangu kwa jua na mvua.
Hahahaha..!! Kuhusu kuwa mkeo, ukijieleza vizuri hata bila pesa mbona naweza tu kukubali? Labda uwe domo zege😂😂
Nimefurahi sana kuona kumbe wanawake mnaojielewa bado mpo. Tafadhali nipatie namba, venue na tarehe ya interview ili tuweke mambo sawa 😀
 
Unafikiri kwa nini mnapata customers wengi?
 
Ila kwa Tanzania haturuhusu utoaji mimba, labda tu ikiwa maisha ya mama yako hatarini. Sasa wao wanapata wapi nguvu ya kuyafanya hayo nchini, je mamlaka hazilijui hili?
Wewe unaonekana huijui hii nchi kwa undani. Marie Stope wapo Bongo kitambo sana. Na moja ya shughuli zao kuu, ni hiyo isiyo rasmi ya utoaji mimba.
 
Nipe namba zao
 
Unafikiri kwa nini mnapata customers wengi?
Sababu ziko nyingi:
1.Uelewa mdogo wa vijana kuhusiana na miili yao na jinsi ya kujilinda na mimba
2.Tamaa za maisha ya juu kwa watoto wa kike zinazopelekea wao kujiingiza kwenye mahusiano ili kukidhi tamaa zao kifedha, hivyo kuishia kupata mimba bila kujipanga
3.Uelewa hafifu wa vijana kuhusu upatikanaji wa huduma za uzazi wa mpango
4.Vijana kutopenda kutumia njia za uzazi wa mpango ambazo zipo, kwa sababu mbalimbali kama imani potofu, uelewa hafifu, na kadhalika.
5.Vijana wa kike kutokua na "power" kwenye masuala ya ngono (hawawezi kulazimisha kutumia condom kama mwanaume hataki, hata kama yeye anataka).
 
Kama ni hao ondoa matumaini kwamba serikali yako inaweza kufanya lolote.

Ndio maana wanataka kujua msimamo wako kabla hujaajiriwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…