Hanifer Mjanja
JF-Expert Member
- Dec 10, 2019
- 217
- 329
- Thread starter
- #241
Kwa hiyo wezi tuwaache tu tusiwakamate wala kuwashtaki kwa sababu hakuna ambae hana kosa hata moja?Iyo ni tabia ya kike mzee.. kuzaa ni uhamuzi wa mtu na mimba inaweza kutolewa kwa usalama na muhusika akaendelea na mishe zake za kila siku.. hivi wewe ulipo hauna kosa hata moja kisheria unasema ulikua unahusika kuzitoa izo mimba kama kweli unajutia hicho kitendo kwanini usiende kusema polisi ili na wewe ukamatwe badala yake unawachongea wenzako kwa identity fake. Kazi hauiwezi achana nayo kimya kimya