Clip Mzungu asemavyo kuhusu Afrika na Kodi. Mwigulu njoo uone

Clip Mzungu asemavyo kuhusu Afrika na Kodi. Mwigulu njoo uone

Akili za chawa wanaosifia hata mtu akienda kuoga unafikiri wanaweza kuamini hayo maneno? watu wameenda likizo ya kufikiri wanawaza kuweka tozo kila sehemu na mama yao anahangaika kutafuta sifa kwenda kuzika malkia wakati mambo nyumbani hayaendi kabisa, kuna sehemu nadhani JIwe alikuaga sahihi ila aproach ndio ilikua shida
 
Kwa hiyo serikali za nchi Masikini zinaweka Kodi na tozo kubwa ili kuwaaminisha hao Mabwana kuwa wanauwezo wa kulipa Mikopo watakayowakopesha. Jambo ambalo linazidi kudidizima na kufanya nchi hizo zizidi kuwa Masikini maradufu.

KAZI kwelikweli.
Ameniongezea kitu.
Tunasuburia uzi mreefu ukielezea kodi bwan taikon
 
Dah kibaya zaidi katika clip ya dakika 2+ plus, mfano uliotolewa ni Tanzania tu. Hii inaonyesha kabisa kuwa hata donor country hawaielewi PhD ya mwipumbu nchamba.

Kuonegeza kodi ili tu kuaminisha watoa mikopo kuwa tuna uwezo wa kuilipa ni clear reason ya kuwa nchi inaongozwa na vibwengo.
 
Dah kibaya zaidi katika clip ya dakika 2+ plus, mfano uliotolewa ni Tanzania tu. Hii inaonyesha kabisa kuwa hata donor country hawaielewi PhD ya mwipumbu nchamba.

Kuonegeza kodi ili tu kuaminisha watoa mikopo kuwa tuna uwezo wa kuilipa ni clear reason ya kuwa nchi inaongozwa na vibwengo.

Hapo ndipo paliponisikitisha zaidi
 
Dah kibaya zaidi katika clip ya dakika 2+ plus, mfano uliotolewa ni Tanzania tu. Hii inaonyesha kabisa kuwa hata donor country hawaielewi PhD ya mwipumbu nchamba.

Kuonegeza kodi ili tu kuaminisha watoa mikopo kuwa tuna uwezo wa kuilipa ni clear reason ya kuwa nchi
Hayo maneno huyo Mzungu Yakitumwa Kwa Watanzania wote itakuwa ni hatari Sana.

Yanajitosheleza, wengi hawatalipa Kodi.
Ingawaje serikali inaweza kutumia mabavu kuwafanya walipe.
Ni hatari sana ase
 
Back
Top Bottom