Clip Mzungu asemavyo kuhusu Afrika na Kodi. Mwigulu njoo uone

Clip Mzungu asemavyo kuhusu Afrika na Kodi. Mwigulu njoo uone

Nasubiri wanaCCM tawi la mtandaoni waje kumpiga mzungu mawe na kumuita beberu asiyetaka watu Tz ijitegemee.

Hili mbona linaeleweka kabisa kuwa kufanya makusanyo makubwa kwa asiyekuwanacho ni kumdidimiza mhusika, kuna siku hutapata cha kukusanya kutoka kwake.

Wote tulipe kodi lakini viwango viangaliwe upya.

[emoji2][emoji2][emoji2]
Tawi la mitandaoni .
 
Tuna watu wapuuzi kama Mwigulu, maisha yao yote yameishi kwa ujanja ujanja tuu kwa ruzuku za chama na serikali na hajawahi kufanya kazi yeyote ya maana au biashara na inaonekana ana background ya njaa sana, bora hata Kimei angekuwa Waziri wa fedha au kina Aboud wafanyabiashara wa kweli wangeweza kuona jinsi matozo na mikodi inavyoua uchumi wetu, hili jinga Mwigulu siku likifanikiwa kuwa Raisi mjue nchi imerudi stone age
Kimei angeondoa kadhia hii huyu mzee ni mbunifu ajabu,sitasahau jinsi alipoitoa CRDB na pahala alipoifikisha mpaka kuwa most respected bank!
 
Wenye dhamana wengi hawana akili ndefu kama hii.
Mfano ukiondoa import duty kwenye uingizaji magari utapata makusanyo zaidi kwa kutumia kanuni ya cheap to import expensive to maintain. Yaani unafuta kodi za kuingiza magari Ili kupromote watu kununua magari kwa wingi then kodi yako utaipata kupitia usajili wa magari, fine, parking, bima, garage, mafuta, ushuru wa barabara, nk.
 
Jesus Christ!!! Mbona hili liko wazi na tumekuwa tukilipigia kelele huku kila siku, kwamba haya makodi makubwa na matozo ni kwa ajili ya kulipa mikopo ya wala urojo wa kule Zanzibar il mkawa hamtuelewi. Halafu kuna kabibi kanakomaa eti kakipata chance ya kukopa nitakoa tena, upuuzi mtupu!!!! Niliweka huu uzi hapo chini, watu wakanipotezea


Hawa mabeberu wametumasa mtegoni, na njia ya kujikwamua ni kuachana na mikopo yao, mariba matupu! Mwishowe tunalazimika kiweka kodi kubwa na kuua biwanda vyote, hizi ni sera za IMF za kutudidimiza na kuhakikisha hatujinasui kwenye huu umasikini!!!

 
Kaongea ukweli mtupu......
Tunajitutuma.na matozo kilipa madeni.

madini na mbuga za wanyama tunazo
Sio kulipa madeni, ni kulipa mariba matupu, Job Ndugai anajua, na mariba matupu!! Deni linabaki pale pale, na hiyo mikopo huwa hata haifiki huku, inapigwa juu kwa juu, ila deni na mariba tunabaki nayo!!
 
Pale wizara ya fedha kuna wasomi na.huwa wanagombania safari kwenda nje na haya wanayasikia lakinj wanayaacha vitabuni.

Kodi ingekuwa ndogo kiasi watu wengi wangejikita kwenye biashara binafsi. Lakimi hapa kila siku zinazaliwa tozo mpya unaambiwa ilikiwepo kwenye sheria lakini ilikuwa haitekelezwi sasa tunaitekeleza

Sent from my Infinix X605 using JamiiForums mobile app
 
Pale wizara ya fedha kuna wasomi na.huwa wanagombania safari kwenda nje na haya wanayasikia lakinj wanayaacha vitabuni.

Kodi ingekuwa ndogo kiasi watu wengi wangejikita kwenye biashara binafsi. Lakimi hapa kila siku zinazaliwa tozo mpya unaambiwa ilikiwepo kwenye sheria lakini ilikuwa haitekelezwi sasa tunaitekeleza

Sent from my Infinix X605 using JamiiForums mobile app
... kufanya biashara nchi hii ni kujitia wazimu! Biashara ndogo ndogo nyingi zimefungwa sababu ya kodi ambazo ni unrealistic.
 
Pale wizara ya fedha kuna wasomi na.huwa wanagombania safari kwenda nje na haya wanayasikia lakinj wanayaacha vitabuni.

Kodi ingekuwa ndogo kiasi watu wengi wangejikita kwenye biashara binafsi. Lakimi hapa kila siku zinazaliwa tozo mpya unaambiwa ilikiwepo kwenye sheria lakini ilikuwa haitekelezwi sasa tunaitekeleza

Sent from my Infinix X605 using JamiiForums mobile app
 
Mzee kaongea ukweli kumbe kuna muda wanatuonea huruma,,,na kaitaja kabisa Tanzania ,,,,kodi kubwa inaua uchumi,,,ndio mana makampuni makubwa ya marekani wanaenda zao Kenya,,Hii nchi sijui nani kairoga
Mzungu amesema ukweli mtupu lkn kusema Makampuni yanaenda Kenya badala ya Tz si kweli,hizo MNC's zinafanya tax planning za hatari(hapo ndipo utazijua kazi za E&Y, Deloitte n touche,KPMG,PWC etc) mwisho wa siku tax deductions Zinakua nyingi kishenzi(wanafanya Tax avoidance) na Profit wanavyokuja ku-declare inakuja kua ndogo hence na Kodi watakayolipa inakua ndogo au wana-declare loss tu mwanzo mwisho.Mtapambana nao kwny 'unrelivied loss' hapo.

Hayo makodi makubwa mostly wanaokamuliwa Ni Hawa wenye viwanda vidogo/vya Kati,wafanyakazi etc lkn hizo MNC's zinakula Maisha tu.
 
Senator WA US sijui Jimbo gani huyu kaongelea hii kitu muda mrefu Sana ,hii clip ni ya muda Sana .
Kutoboa kwenye hizi nchi ni ndoto . Ni vigumu mtu kuaccumulate mitaji na utajiri let alone hata wawekezaji kuja kuanzisha miradi na uwekezaji wa maaana Kwa nchi kama Tanzania .
Sababu ya high taxes na lundo la tozo
 
Back
Top Bottom