Clip Mzungu asemavyo kuhusu Afrika na Kodi. Mwigulu njoo uone

Clip Mzungu asemavyo kuhusu Afrika na Kodi. Mwigulu njoo uone

Ulaya ina maskini wachache,tayari ina matajiri wengi walio wakubwa
Ndio Maana hata biashara zinakufa kila siku , unakuta Hakuna muda wa kuiruhusu biashara kukua na kutanuka , kukua Kwa biashara kuna hitaji muda na resources .
Sasa unaanzisha biashara leo TRA na mamlaka nyingine wanakubebesha lundo la kodi zinazozidi sometimes hata Mtaji sasa huo ni ujinga gani ?
 
Ndio Maana sometimes hii Africa ni Bora angebaki mkoloni Tu , definitely nchi zingekuwa paradise Kwa sasa kuliko hawa parasites wanaongoza na kuterrorize hizi nchi Kwa sasa ni laana kabisa
 
Back
Top Bottom