Clip Mzungu asemavyo kuhusu Afrika na Kodi. Mwigulu njoo uone

Clip Mzungu asemavyo kuhusu Afrika na Kodi. Mwigulu njoo uone

Samia hana jipya bwana, wao wanachokijua ni wakae wale vipi nchi na vifaranga vyao ndo maana wanahofia kutoka madarakani.......lakini sio hawa washenzi eti ndo watuletee maendeleo hamna wao wenyewe wakishauriana vitu wakiona vimekuwa kinzani wao kwa wao ni kuanza kupigana mifitina nini mf. Ndugai
 
Akili za chawa wanaosifia hata mtu akienda kuoga unafikiri wanaweza kuamini hayo maneno? watu wameenda likizo ya kufikiri wanawaza kuweka tozo kila sehemu na mama yao anahangaika kutafuta sifa kwenda kuzika malkia wakati mambo nyumbani hayaendi kabisa, kuna sehemu nadhani JIwe alikuaga sahihi ila aproach ndio ilikua shida
jiwe hakuwa sahihi popote
 
Siko vizuri katika lugha ya malkia lakini nimemwelewa vizuri. Jamani tusomeshe watoto
Uchumi umeyumba, ajira hakuna. Taifa linazalisha vijana kuliko mazao. Vijana wa kike wanauza miili yao na vijana wa kiume wamekuwa panya road. Tozo kila kona, kodi nyingi kuliko vipato vya watu. Tuliambiwa Tanzania ni ya viwanda. Ila makanisa yana faida kuliko viwanda. Wajane, walioumia mioyo, wagonjwa na walalahoi ndo mtaji wao. Watu hutubu na kurudia dhambi zile zile kutokana na ugumu wa maisha!
 
Mzee kaongea ukweli kumbe kuna muda wanatuonea huruma,,,na kaitaja kabisa Tanzania ,,,,kodi kubwa inaua uchumi,,,ndio mana makampuni makubwa ya marekani wanaenda zao Kenya,,Hii nchi sijui nani kairoga
Lakini hii clip ni ya wayback 2012 huko
 
  Hapo nimetoka kapa. Kwa nini amemwita yule "Senator"? Yule ni Senator kweli au hilo ni jina la utani?.
 
Mbona naskia ulaya kodi ndo kubwa zaidi

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Ni kweli mkuu lakini huku ni afadhali mara 1000000 kuliko hizo kodi mnazotozwa huko Tanzania ambazo kwa kiasi kikubwa haziwanufaishi watanzania bali zinawanufaisha tu hao wanaoonekana ni watu wazima lakini kumbe akili hawana, hapa canada kodi nalipa kubwa ila nina uhakika wa bima ya afya na huduma nyingi za kijamii kama elimu bora kwa watoto wangu bila mizengwe yoyote... future ya huku inakupa tabasamu uzeeni kuliko huko Tanzania ambapo kadiri unavyozidi kuwa mtu mzima ndivyo unavyozidi kukunja sura kwa misongo ya mawazo inayosababishwa na ugumu wa maisha, tozo na makodi yasiyokunufaisha wewe wala familia yako iliyopo na ile ijayo. Sirudi Tanzania.
 
Dah kibaya zaidi katika clip ya dakika 2+ plus, mfano uliotolewa ni Tanzania tu. Hii inaonyesha kabisa kuwa hata donor country hawaielewi PhD ya mwipumbu nchamba.

Kuonegeza kodi ili tu kuaminisha watoa mikopo kuwa tuna uwezo wa kuilipa ni clear reason ya kuwa nchi inaongozwa na vibwengo.
Mwipumbu Nchamba 😂😂😂
 
You can never rebuild capital aiseee, Tanzania hauwezi kukuza mtaji ukakua kihalali sababu kodi ni kubwa kwaii namna pekee ya kukuza mtaji ni kukwepesha kodi..jamaa kapigilia msumari 30% corporate tax na 18% VAT ingawa yeye kasema ni 20%...sasa mtu anaewaza kununua V8 ya 400m hawezi kukuelewa hii concept licha ya mtu kujiita ni 1st class economist....
 
Nimesikia amesema kuna taxi bubu Tanzania au hii lugha mweeeee
 
Hili sio swala la Mwigulu bali ni swala la Nchi,higher taxes have been there over long period of time..

Na nilimsikia siku moja Mwigulu akisema serikali ingependa kushusha hata VAT kuwa 5% nk ila hawawezi kwa sababu ya kuwa na tax base ndogo Sana kiasi kwamba wakifanya hivyo watakosa pengo la kufidia..

But ushauri Wangu ni kwamba wanaweza endelea kupunguza VAT kwa digit kadhaa kwenye sector za kipaombele na kadiri uwekezaji unavyoongezeka wazidi kupunguza zaidi walau by 2030 tuwe na 8-10% ya VAT huku kwenye salaries Kodi iwe ndogo isizidi 5%..huku biashara ndogo ndogo ziwe zinalelewa kiasi kwamba sio tuu zisitozwe Kodi bali leseni tuu hadi zikue.

Hili liendane na kupunguza urasimu kwa Kodi na tozo mbalimbali kuziqeka pamoja na kusiwe na utitiri wa tozo..

Ili uchumi ukue ni lazima ku stimulate demand na demand itavitia investment ambayo inturn itaongeza uzalishaji..
Ni kwa nini wasingewaachia wengine wao wakae pembeni?hata kwenye biashara mwenye bei kubwa ya bidhaa hawezi mzidi mwenye bei ndogo kwa mzunguko, washushe Kodi zinazolipika ili walipaji wawe wengi, kwa sababu hata rushwa zitapungua kwa wakusanya kodi
 
Habari ndiyo hiyo Mwenye masikio na asikie.

Jamaa wanatujua hadi wanatuonea huruma

View attachment 2360992
We.
Habari ndiyo hiyo Mwenye masikio na asikie.

Jamaa wanatujua hadi wanatuonea huruma

View attachment 2360992

Habari ndiyo hiyo Mwenye masikio na asikie.

Jamaa wanatujua hadi wanatuonea huruma

View attachment 2360992
We make mistake,we learn ,we correct each and we move on!
 
Binafsi mkuu Nina plan ya kuhamia ulaya ,natafuta hela ya kununua apartment nje nisepe. Yaani Bora kizazi changu wakioana na wazungu karibu mpaka kizazi Cha sita hivi nitakuwa Nisha wazungulize kizazi changu mazima.
Na discourage kuzaa na blacks wenzao. Mayweather utajiri ule pale kazi kupiga picha na mahela sijawahi muona Elon musk anafanya ivyo. Anadhani yeye pekee kwa njia yake Ile ndio anapata hela kiume.

Hawazi kizazi chake Cha tatu na tano wataishije. Anabakia eti kumfanyia mwanae birthday ya milioni Mia anajiona mjanja.
Huku ana uwezo wa kuwekeza ama afungue kiwanda matata kifanye kazi hata kwa 500-1000yrs sema blacks iyo akili hatuna tunawaza kuuza Mali za marehemu tule Bata na kununua gari za Bei Kali unajiona wewe mjanja kumbe unanufaisha mwenye kiwanda Cha Lamborghini
Watu weusi tuna laana ya asili
 
Wazungu wana akili sana. Huu ndiyo ukweli mchungu.

Shida ya viongozi wetu ni ubinafsi. Ni wabinafsi kama fisi. Wao wenyewe hawataki kulipa kodi na wanapewa huduma zote na serikali kama maiti.

Bila kufanya mabafiliko makubwa kwenye mifumo yetu ya kodi na uongozi hatuwezi toboa kamwe
Na Huu ndio ukweli mchungu ambao watu wengi hawapendi kuisikia
 
Back
Top Bottom