Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania has no future to Majority but minority.Habari ndiyo hiyo Mwenye masikio na asikie.
Jamaa wanatujua hadi wanatuonea huruma
View attachment 2360992
Binafsi mkuu Nina plan ya kuhamia ulaya ,natafuta hela ya kununua apartment nje nisepe. Yaani Bora kizazi changu wakioana na wazungu karibu mpaka kizazi Cha sita hivi nitakuwa Nisha wazungulize kizazi changu mazima.Duuuh hii clip nimeiangalia mara 10. Honestly a ngozi nyeusi ni laana.
Nipo Ngara njooni mniue
Very true. Asians wamedominate uchumi wetu. Afu hakuna wanachoendeleza bongo. Wanahamisha hela tuTanzania has no future to Majority but minority.
Haaa haaaaaDah kibaya zaidi katika clip ya dakika 2+ plus, mfano uliotolewa ni Tanzania tu. Hii inaonyesha kabisa kuwa hata donor country hawaielewi PhD ya mwipumbu nchamba.
Kuonegeza kodi ili tu kuaminisha watoa mikopo kuwa tuna uwezo wa kuilipa ni clear reason ya kuwa nchi inaongozwa na vibwengo.
Senator WA US sijui Jimbo gani huyu kaongelea hii kitu muda mrefu Sana ,hii clip ni ya muda Sana .
Kutoboa kwenye hizi nchi ni ndoto . Ni vigumu mtu kuaccumulate mitaji na utajiri let alone hata wawekezaji kuja kuanzisha miradi na uwekezaji wa maaana Kwa nchi kama Tanzania .
Sababu ya high taxes na lundo la tozo
Yuko sahihi kabisa.
Muuaji kafa!Duuuh hii clip nimeiangalia mara 10. Honestly a ngozi nyeusi ni laana.
Nipo Ngara njooni mniue
Leta mdhungu 😂Hata Mimi nimesikia tu never, cut tax, remain poor, na sijui charity? Ila kama anapinga tozo na Kodi kubwa. Au tuletewe mzungu?
Mwigulu anasema walikosea na Tozo hizi zitaondolewa wafanye marekebisho.Habari ndiyo hiyo Mwenye masikio na asikie.
Jamaa wanatujua hadi wanatuonea huruma
View attachment 2360992