Ukweli inasikitisha sana, nimesikia kitaa binti mmoja aliyepata ajira mpya za Samia alilazimika kutembea na baba mwenye nyumba kwa kushindwa kulipa kodiMpaka vyombo vya Habari vimeliona hili, walimu mjitathimini vinginevyo mtadharaulika mpaka kufa kwenu. Mnachekwa mpaka na watoto wanadai mmekuwa ombaomba kwa kuwaomba wanafunzi wawanunulie Chai muda wa break na wakisema pesa hawana mnawachapa.
Walimu wengi mnawalazimisha wanafunzi wanunue vibiashara vyenu vya ubuyu na ice-cream za ubuyu wa mia mia vibiashara ambavyo faida yake haifiki hata Buku tano.
View attachment 2632018
Haya mambo tuliosoma Mlimani - Shule ya Msingi - UDSM na Chief Albert Luthuli (zamani Solomon Mahlangu) - SUA, hatujui mambo hayo.Mpwayungu Village unanikumbusha enzi hizo ilikuwa lazima ununue cake za mwalimu kama huna pesa unakopeshwa kilazima kudadeki ili kesho ulipe na ole wako usipolipa deni utajuta kwa fimbo utakazozioga.
Asubuhi ilikuwa must kwenda na sh 200 kila siku ("za masomo ya ziada") ...tulikuwa wanafunzi wengi zaidi ya 200 kwa madarasa mawili tu. Mchana walimu wanawateua mabinti (wanafunzi) wawili wakawapikie misosi ya kibabe. Kilabsiku walikuwa wakigawana pesa na kulikuwa hakuna hata hayo masomo ya ziada
Kwan wewe inakuhusu Nini!?mbona wagogo wenzio husemi waandamane waache kuwa ombaomba!? Mimi naamini kabisa mshahara wakuanzia wa 700k sio haba tusidanganyane hapa!! Tena Kila baada ya muda wanapanda madaraja Yani baada ya muda anaenda E 900k+ sio Hela ndogo !!! Nina uhakika hao cloud hawapati hizo Hela!!Suluhu ni kuandamana tu wadai maslahi Yao
Hii kama iliundwa 23 Jan 2023 kutadhimini Hali mbaya ya vyombo vya habari IPO chini ya Tido mhando !! Waandishi wa Habari hawalipwi!??Kwan wewe inakuhusu Nini!?mbona wagogo wenzio husemi waandamane waache kuwa ombaomba!? Mimi naamini kabisa mshahara wakuanzia wa 700k sio haba tusidanganyane hapa!! Tena Kila baada ya muda wanapanda madaraja Yani baada ya muda anaenda E 900k+ sio Hela ndogo !!! Nina uhakika hao cloud hawapati hizo Hela!!
Kwani wanalipwa sh. ngapi? anzieni hapo kubishanaMpaka vyombo vya Habari vimeliona hili, walimu mjitathimini vinginevyo mtadharaulika mpaka kufa kwenu. Mnachekwa mpaka na watoto wanadai mmekuwa ombaomba kwa kuwaomba wanafunzi wawanunulie Chai muda wa break na wakisema pesa hawana mnawachapa.
Walimu wengi mnawalazimisha wanafunzi wanunue vibiashara vyenu vya ubuyu na ice-cream za ubuyu wa mia mia vibiashara ambavyo faida yake haifiki hata Buku tano.
View attachment 2632018
Ee Mungu Baba asante kwa kuwabariki walimu kwa maisha mazuri na marefu yenye afya!Kwan wewe inakuhusu Nini!?mbona wagogo wenzio husemi waandamane waache kuwa ombaomba!? Mimi naamini kabisa mshahara wakuanzia wa 700k sio haba tusidanganyane hapa!! Tena Kila baada ya muda wanapanda madaraja Yani baada ya muda anaenda E 900k+ sio Hela ndogo !!! Nina uhakika hao cloud hawapati hizo Hela!!
Asante shemeji yangu umerudi Mpwayungu in the houseMpaka vyombo vya Habari vimeliona hili, walimu mjitathimini vinginevyo mtadharaulika mpaka kufa kwenu. Mnachekwa mpaka na watoto wanadai mmekuwa ombaomba kwa kuwaomba wanafunzi wawanunulie Chai muda wa break na wakisema pesa hawana mnawachapa.
Walimu wengi mnawalazimisha wanafunzi wanunue vibiashara vyenu vya ubuyu na ice-cream za ubuyu wa mia mia vibiashara ambavyo faida yake haifiki hata Buku tano.
View attachment 2632018
Wapi huko?Inaonesha wazi wewe ilikosa hii ajira. Waalimu hawa hawa au wengine ? Unafika shule ya Msingi kumefurika. Magari ndani ya parking ya Waalimu utafikiri showroom pikipiki hazina idadi .
Huko huko unakoishi wewe!Wapi huko?
Nina ndugu zangu kibao wanajeshi wakipokea mishahara baada ya wiki wanaanza kukopa,ukiamua kuendelea kuwa mtumwa wa mshahara ni wewe tu na ndicho serikali zote duniani inataka.Mshahara hautoshi akipokea unaisha kulipa madeni
Wazembe haoNina ndugu zangu kibao wanajeshi wakipokea mishahara baada ya wiki wanaanza kukopa,ukiamua kuendelea kuwa mtumwa wa mshahara ni wewe tu na ndicho serikali zote duniani inataka.