Kazi unayo mwaka huu, Yanga inakaribia kuwa mabingwa sasa.View attachment 2402778
Mwarabu mtoa roho ametua kuizima Yanga. Hatuna budi kusema...
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un
Nasema hivyo kwa sababu CAF hakuna refa wa bahasha, hakuna timu ya bahasha. Hakuna penati ya mchongo. Hapa ukifunga kagoli kako kamoja kule Tunisia utapigwa sio chini ya 5.
Mtanisamehe tu,ila ukweli Sioni Yanga itatokea wapi
Hahahahaa. Kiukweli mpaka sasa hapa jf huyu jamaa ndo anaongoza kwa kupaka rangi upepo. 🤣🤣🤣
Ni wazoefu wa hayo mambo [emoji28]Kumbe wameanzia mbali kutusagia kunguni hawa makolokolo
Mungu sio AbdallahView attachment 2402778
Mwarabu mtoa roho ametua kuizima Yanga. Hatuna budi kusema...
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un
Nasema hivyo kwa sababu CAF hakuna refa wa bahasha, hakuna timu ya bahasha. Hakuna penati ya mchongo. Hapa ukifunga kagoli kako kamoja kule Tunisia utapigwa sio chini ya 5.
Mtanisamehe tu,ila ukweli Sioni Yanga itatokea wapi
Wanaelekea kuchoka sasa.Kumbe wameanzia mbali kutusagia kunguni hawa makolokolo