You have a point, which is more fatal, ebola or COVID 19 and why?Wapo sahihi. Waafrica ni Mungu tu ndyo anatusaidia. Ila ukiangalia mazingira yetu, huu ugonjwa ungekuwa na nguvu kama ebola, bac tungeisha wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazungu mbona tayari washagundua kinga kilichobaki ni sisi turuhusu majaribio yafanyike.Wako sahihi sana hao maana mpaka sasa haileti mantiki kwanini hatujafa milioni 10 Afrika, na hatuendelei kufa kwa laki tano kila siku.
Huu ugonjwa unawatesa mataifa yenye uwezo mara 1,000 zaidi yetu Afrika, na ukweli hamna kikubwa tunachokifanya kuzuia, Waafrika tupo tupo siku zinaenda, Corona yenyewe inatupapasa wala haijaonyesha makucha huku mpaka sasa.
Ukitembea mtaani uone tunavyoishi, hata kwa wale ambao wamechukua tahadhari ya hali ya juu Afrika, bado hawajafikia hata robo ya wanachokifanya wale wenye kufa Ulaya.
Hiki kitu jameni wazungu wagundue dawa mapema kabla hakijapata sababu za kutukondolea macho Afrika, maana sisi wenyewe hatuna uwezo hata wa kutengeneza dawa za aina ya panadol.
Jitolee!Wazungu mbona tayari washagundua kinga kilichobaki ni sisi turuhusu majaribio yafanyike.
Asante kwa kutufariji mkuu.Binadamu ana mucus kwenye njia ya hewa, hii ni sehemu ya kinga ya mwili. Hewa ikiingia na uchafu unakamatwa na mucus na uchafu ule unautoa kama kohozi.
Mucus goblets zikishambuliwa na virus ndiyo mafua yanachuruzika na huweza kukohoa. Maambukizi yakitokea kwenye mucus membrane husababisha kikohozi. Ndiyo maana unatumwa kikohozi ili wataalamu wagundue ni maambukizi gani.
Covid-19 hushambulia njia ya hewa na maambukizi huleta joto mpaka centi grade 38-39. Mucus goblets zinashambuliwa kwa kasi na Hutoa makohozi. Mapafu hukosa oxygen.
Afrika maisha yetu ni ya kufanya maoezi muda wote. Si kwa kupenda ni lazima utembee kwakuwa huna nauli ya basi na Gari huna. Mapafu yanakuwa imara. Pia vyakula tunavyokula ni organic.
Umesikiliza/kuangallia CCN leo?Fake post.
CNN hawajasema hivyo.
I think ebola is more fatal while COVID-19 highly contagiousYou have a point, which is more fatal, ebola or COVID 19 and why?
Subiri tuanze kupata cases kwanzia 500 au 1000 ndio tutaanza kukimbizana mbona maana hata USA ilianza kupata case nyingi ndio vifa vikawa vingi sisi africa bado ndio maana hata ummy mwalimu kasema tusubiri week mbili zijazo ndio tutajua uelekeo wetu ukoje ila kwasasa mapema sana cha muhimu kila mmoja asali kwa dhehebu yake na dini lakeHiki ndio hata mimi najiuliza. Kwasababu tangu tupate wagonjwa Africa rate ya kufa sio kama Wao walivyopata wagonjwa w akwanza
ilichukua muda gani kwa USA from case #1 hadi #100?Subiri tuanze kupata cases kwanzia 500 au 1000 ndio tutaanza kukimbizana mbona maana hata USA ilianza kupata case nyingi ndio vifa vikawa vingi sisi africa bado ndio maana hata ummy mwalimu kasema tusubiri week mbili zijazo ndio tutajua uelekeo wetu ukoje ila kwasasa mapema sana cha muhimu kila mmoja asali kwa dhehebu yake na dini lake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mzee wa miaka 94 americover kutoka kwenye maambukizi ya corona. Aliniambia anakwenda mazoezi ya tennis mara moja kwa wiki. Mazoezi yanasaidia kumbuka ugonjwa hauna dawa ni uwezo wa mwili kupambana ndiyo tiba.Hii sio logic wenzetu wangu ndio wanaongoza kufanya mazoezi na wanadondoka daily kule watu asubuhi na jion ni tizi tu na wengine wanashinda gym lakini wanadondoka sisi ndio kabisa hakuna desturi ya mazoezi na pia kumbuka takwimu inasema USA brack america ndio wanaongoza kufa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mheshimiwa havioni, anaona kawaida tu!
Hatua gani zichukuliwe na Serikali kuzuia kusambaa kwa kirusi cha ukimwi zaidi ya kila mtu kuzingatia ushauri wa wataalamu na maagizo ya Serikali?Mh wetu Jambazi tu
USA alivyopata 4632 yeye death alikua nayo 85 tu hiyo ilikua march 17ilichukua muda gani kwa USA from case #1 hadi #100?
Hatua gani zichukuliwe na Serikali kuzuia kusambaa kwa kirusi cha ukimwi zaidi ya kila mtu kuzingatia ushauri wa wataalamu na maagizo ya Serikali?
Hakika ninyi mtaambukizwa na kufa iwapo jeuri na ukaidi wenu ni wa kusubiri Serikali itoe amri ya kutokutoka nyumbani.
USA alikua na cases zaidi ya 4000 hapo vifo vilikua 85 tu vichache ila sasa hivi ndio anaongoza kwa vifo jamani tuombe tu kwa mungu maana africa itaangamia kama sio kupoteaUSA alivyopata 4632 yeye death alikua nayo 85 tu hiyo ilikua march 17View attachment 1417205
Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhakika ventilator iko moja?Ndo hicho hicho tu. Hapa kama ulikuwa haujui kusali inabidi uanze kusali. Mungu aingilie kati. Maana Alveolis zikishambuliwa ujue kwa heri
Ventilator moja mpo mia moja mnahitaji. Mungu ingilia kati.
Na alivyokua na cases 2000 yeye alikua na vifo teyari 49 teyari jamani tuombe mungu sisi africa tuna week mbili tu corona ianze kuchanganyailichukua muda gani kwa USA from case #1 hadi #100?
Pambana na hali yako.Mheshimiwa havioni, anaona kawaida tu!
Sasa hivi wana case 530,000 na death 20,000 ambayo ni just below 4% rateUSA alikua na cases zaidi ya 4000 hapo vifo vilikua 85 tu vichache ila sasa hivi ndio anaongoza kwa vifo jamani tuombe tu kwa mungu maana africa itaangamia kama sio kupotea
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa death elfu 20000 ni mchezo iyo sasa ni usa ambayo ni nchi imejikamikisha kiuchumi sasa si africa si itakua zaidi miliion vifoSasa hivi wana case 530,000 na death 20,000 ambayo ni just below 4% rate