CNN and Coronavirus: Africa in existential threat

CNN and Coronavirus: Africa in existential threat

Wako sahihi sana hao maana mpaka sasa haileti mantiki kwanini hatujafa milioni 10 Afrika, na hatuendelei kufa kwa laki tano kila siku.
Huu ugonjwa unawatesa mataifa yenye uwezo mara 1,000 zaidi yetu Afrika, na ukweli hamna kikubwa tunachokifanya kuzuia, Waafrika tupo tupo siku zinaenda, Corona yenyewe inatupapasa wala haijaonyesha makucha huku mpaka sasa.
Ukitembea mtaani uone tunavyoishi, hata kwa wale ambao wamechukua tahadhari ya hali ya juu Afrika, bado hawajafikia hata robo ya wanachokifanya wale wenye kufa Ulaya.
Hiki kitu jameni wazungu wagundue dawa mapema kabla hakijapata sababu za kutukondolea macho Afrika, maana sisi wenyewe hatuna uwezo hata wa kutengeneza dawa za aina ya panadol.
Wazungu mbona tayari washagundua kinga kilichobaki ni sisi turuhusu majaribio yafanyike.
 
Binadamu ana mucus kwenye njia ya hewa, hii ni sehemu ya kinga ya mwili. Hewa ikiingia na uchafu unakamatwa na mucus na uchafu ule unautoa kama kohozi.

Mucus goblets zikishambuliwa na virus ndiyo mafua yanachuruzika na huweza kukohoa. Maambukizi yakitokea kwenye mucus membrane husababisha kikohozi. Ndiyo maana unatumwa kikohozi ili wataalamu wagundue ni maambukizi gani.

Covid-19 hushambulia njia ya hewa na maambukizi huleta joto mpaka centi grade 38-39. Mucus goblets zinashambuliwa kwa kasi na Hutoa makohozi. Mapafu hukosa oxygen.

Afrika maisha yetu ni ya kufanya maoezi muda wote. Si kwa kupenda ni lazima utembee kwakuwa huna nauli ya basi na Gari huna. Mapafu yanakuwa imara. Pia vyakula tunavyokula ni organic.
Asante kwa kutufariji mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiki ndio hata mimi najiuliza. Kwasababu tangu tupate wagonjwa Africa rate ya kufa sio kama Wao walivyopata wagonjwa w akwanza
Subiri tuanze kupata cases kwanzia 500 au 1000 ndio tutaanza kukimbizana mbona maana hata USA ilianza kupata case nyingi ndio vifa vikawa vingi sisi africa bado ndio maana hata ummy mwalimu kasema tusubiri week mbili zijazo ndio tutajua uelekeo wetu ukoje ila kwasasa mapema sana cha muhimu kila mmoja asali kwa dhehebu yake na dini lake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Subiri tuanze kupata cases kwanzia 500 au 1000 ndio tutaanza kukimbizana mbona maana hata USA ilianza kupata case nyingi ndio vifa vikawa vingi sisi africa bado ndio maana hata ummy mwalimu kasema tusubiri week mbili zijazo ndio tutajua uelekeo wetu ukoje ila kwasasa mapema sana cha muhimu kila mmoja asali kwa dhehebu yake na dini lake

Sent using Jamii Forums mobile app
ilichukua muda gani kwa USA from case #1 hadi #100?
 
Hii sio logic wenzetu wangu ndio wanaongoza kufanya mazoezi na wanadondoka daily kule watu asubuhi na jion ni tizi tu na wengine wanashinda gym lakini wanadondoka sisi ndio kabisa hakuna desturi ya mazoezi na pia kumbuka takwimu inasema USA brack america ndio wanaongoza kufa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mzee wa miaka 94 americover kutoka kwenye maambukizi ya corona. Aliniambia anakwenda mazoezi ya tennis mara moja kwa wiki. Mazoezi yanasaidia kumbuka ugonjwa hauna dawa ni uwezo wa mwili kupambana ndiyo tiba.
 
Mheshimiwa havioni, anaona kawaida tu!
Mh wetu Jambazi tu
Hatua gani zichukuliwe na Serikali kuzuia kusambaa kwa kirusi cha ukimwi zaidi ya kila mtu kuzingatia ushauri wa wataalamu na maagizo ya Serikali?

Hakika ninyi mtaambukizwa na kufa iwapo jeuri na ukaidi wenu ni wa kusubiri Serikali itoe amri ya kutokutoka nyumbani.
 
ilichukua muda gani kwa USA from case #1 hadi #100?
USA alivyopata 4632 yeye death alikua nayo 85 tu hiyo ilikua march 17
Screenshot_20200317-224839.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatua gani zichukuliwe na Serikali kuzuia kusambaa kwa kirusi cha ukimwi zaidi ya kila mtu kuzingatia ushauri wa wataalamu na maagizo ya Serikali?

Hakika ninyi mtaambukizwa na kufa iwapo jeuri na ukaidi wenu ni wa kusubiri Serikali itoe amri ya kutokutoka nyumbani.


Umeandika kirusi cha ukimwi.
 
Ndo hicho hicho tu. Hapa kama ulikuwa haujui kusali inabidi uanze kusali. Mungu aingilie kati. Maana Alveolis zikishambuliwa ujue kwa heri
Ventilator moja mpo mia moja mnahitaji. Mungu ingilia kati.
Una uhakika ventilator iko moja?
 
Back
Top Bottom