COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

Kabla ya kujibu swali, nijikite kwenye tuhuma kwamba sijajibu hili swali.

Kutonibu maswali kiko katika himaya yako. Hii si tabia yangu. Ni tabia yako.

Hujajibu swali la kuthibitisha uwepo wa mungu. Hujajibu swali la kqa nini mungu mwenye uwezo wote na ujuzi wite kaumba ulimwengu ambao unaruhusu mabaya kuwepo wakati aloweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kuwepo?

Umeuliza wapi hili swali lako la mwanasiasa nikashindwa kulijibu, naomba utoe link hapa.

Kama unakumbuka mwanzo ulisema huyo mwanasiasa kwa kutotimiza ahadi ulisema ni kujipinga,mie nikakuuliza kutotimiza ahadi ni kujpinga au ni uongo?toka hapo haukujibu hilo swali.


Nami naomba jibu sasa.
 
Kama unakumbuka mwanzo ulisema huyo mwanasiasa kwa kutotimiza ahadi ulisema ni kujipinga,mie nikakuuliza kutotimiza ahadi ni kujpinga au ni uongo?toka hapo haukujibu hilo swali.


Nami naomba jibu sasa.

Naomba itoe link au post number ili kiwe na uhakika tunaangalia kitu kimoja.

Kwa nini unatumia habari za "kama unakumbuka" wakati vitu vyote tumeandika hapa na rekodi ipo kila post ina namba?

Uhakiki wako uko wapi?
 
Naomba itoe link au post number ili kiwe na uhakika tunaangalia kitu kimoja.

Kwa nini unatumia habari za "kama unakumbuka" wakati vitu vyote tumeandika hapa na rekodi ipo kila post ina namba?

Uhakiki wako uko wapi?

Mie natumia simu mkuu.
 
Mie natumia simu mkuu.

Hata mimi natumia simu, lakini posts naziona na namba zake.

Nitajuaje kama post unayosema wewe ndiyo hiyo nitakayoirejea mimi kama huweki link au post number?
 
Hata mimi natumia simu, lakini posts naziona na namba zake.

Nitajuaje kama post unayosema wewe ndiyo hiyo nitakayoirejea mimi kama huweki link au post number?

Sioni haja ya kubishana hili jambo,we jibu tu hilo swali.
 
Sioni haja ya kubishana hili jambo,we jibu tu hilo swali.

Nitakujibu vipi wakati hujatoa details za kuhakiki tuhuma zako kwamba swali lako sijalijibu?

Mimi nataka kutetea jina langu kwanza kwamba sijakimbia kujibu awali.

Ukishindwa kunipa link ya hiyo post au post number wewe ndiye utakuwa muongo sasa.

Maana unasema umeandika post ambayo haina namba.
 
Nitakubu vipi wakati hujatoa details za kuhakiki tuhuma zako kwamba swali lako sijalijibu?

Mimi nataka kutetea jina langu kwanza kwamba sijakimbia kujibu awali.

Ukishindwa kunipa link ya hiyo post au post number wewe ndiye utakuwa muongo sasa.

Maana unasema umeandika post ambayo haina namba.

Hivi mkuu navyokwambia natumia simu unanielewa au ndiyo unataka kubishana ili kukwepa swali?
Sioni cha post number wala nini
 
Mfano wako umenifanya nishindwe kutofautisha kati ya uwongo na kujipinga. Hebu niweke sawa hapo,maana kwa ninavyoelewa mie huo mfano wako wa mwanasiasa kutoa ahadi halafu hazitekelezi mie navyojua huo ni uongo.

Nilikuuliza hivyo.
 
Hivi mkuu navyokwambia natumia simu unanielewa au ndiyo unataka kubishana ili kukwepa swali?
Sioni cha post number wala nini

Basi wewe unatumia kibatari.

Mimi natumia simu na post number naoma.

Siku nyingine usilete tuhuma ambazo huwezi kizithibitisha.

Unatumia simu ndiyo inashindwa hata kunukuu? Mbona unaninukuu mara kemkem hapa?

Nitake radhi.
 
Nilikuuliza hivyo.

Tatizo umekimbia set theory, na mimi nimekuuliza ukaonekana inaiogopa.

Kujipinga kote kunahusisha uongo, lakini kuna uongo ambao si lazima kujipinga.

Mwanasiasa anayesema atafanya kitu fulani kisha hafanyi anajipinga na kufanya uongo.

Haya yote yalishaelezwa, sijui nia yako ni nini.

Au ni sarakasi zako tu za kukimbia ukweli kwamba hujathibitisha uwepo wa mungu.

Thibitisha kwamba mungu yupo.
 
Tatizo umekimbia set theory, na mimi nimekuuliza ukaonekana inaiogopa.

Kujipinga kote kunahusisha uongo, lakini kuna uongo ambao si lazima kujipinga.

Mwanasiasa anayesema atafanya kitu fulani kisha hafanyi anajipinga na kufanya uongo.

Haya yote yalishaelezwa, sijui nia yako ni nini.

Au ni sarakasi zako tu za kukimbia ukweli kwamba hujathibitisha uwepo wa mungu.

Thibitisha kwamba mungu yupo.

Elezea ni vp anajipinga?mie nasema anasema uongo ila hajipingi.

Narudia tena na tena kwamba neno uongo kuhusishwa kwenye kujipinga haifanyi kuwa uongo ni sawa na kujipinga.
 
Elezea ni vp anajipinga?mie nasema anasema uongo ila hajipingi.

Narudia tena na tena kwamba neno uongo kuhusishwa kwenye kujipinga haifanyi kuwa uongo ni sawa na kujipinga.

Ukisema utajenga shule kufuta ujinga, kama ahadi ya uchaguzi, ukapigiwa kura na kupewa uwezo wa kujenga shule, usijenge shule, ila ukatumia fedha hizo kujenga nyumba yako binafsi, utakuwa umedanganya na kujipinga.

Umedanganya kwa sababu umesema utafanya kitu halafu hujafanya.

Umejipinga kwa sababu umesema utafanya kimoja na kufanya tofauti.

Kiingereza wanasema your action contradict your words.

Contradiction ndiyo kujipinga kwenyewe.

Maswali yako nakujibu vizuri kwa ufafanuzi mara tatu tatu.

Wewe hujanithibitishia bado kwamba mungu yupo.

Zamu yangu unijibu.

Thibitisha kwamba mungu yupo.

Kabla ya kuthibitisha au kukubali kwamba huwezi kuthibitisha sikujibu lingine lolote.

Siwezi kuwa najibu maswali yako tu, wewe hunijibu.
 
Ukisema utajenga shule kufuta ujinga, kama ahadi ya uchaguzi, ukapigiwa kura na kupewa uwezo wa kujenga shule, usijenge shule, ila ukatumia fedha hizo kujenga nyumba yako binafsi, utakuwa umedanganya na kujipinga.

Umedanganya kwa sababu umesema utafanya kitu halafu hujafanya.

Umejipinga kwa sababu umesema utafanya kimoja na kufanya tofauti.

Kiingereza wanasema your action contradict your words.

Contradiction ndiyo kujipinga kwenyewe.

Maswali yako nakujibu vizuri kwa ufafanuzi mara tatu tatu.

Wewe hujanithibitishia bado kwamba mungu yupo.

Zamu yangu unijibu.

Thibitisha kwamba mungu yupo.

Kabla ya kuthibitisha au kukubali kwamba huwezi kuthibitisha sikujibu lingine lolote.

Siwezi kuwa najibu maswali yako tu, wewe hunijibu.

Hapa tunajadili kuhusu kujipinga maana wewe unasema mungu kajipinga,sasa sijui wasiwasi wako upo wapi?

Unakumbuka tafsiri ya kujipinga uliyotoa,je inakubaliana na maelezo uliyotoa sasa?
 
Hapa tunajadili kuhusu kujipinga maana wewe unasema mungu kajipinga,sasa sijui wasiwasi wako upo wapi?

Unakumbuka tafsiri ya kujipinga uliyotoa,je inakubaliana na maelezo uliyotoa sasa?

Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, anatakiwa kuumba mazuri tu, hatakiwi kuumba mabaya. Kwa kufuata tabia zake za upendo wote, uwezo wote na ujuzi wote.

Akiumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani anajipinga mwenyewe.

Kwa nini aumbe ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati anaweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Poa, bado hujathibitisha kwamba mungu yupo.

Kama hujathibitisha kwamba yupo hata kwenye kujadili kujipinga outside the context of an immanent critique hatufiki.

Maana kujipinga inabidi awepo.

Thibitisha kwamba yupo.
 
Hoja Dhaifu! huyo Allah wako yeye mwenyewe alikili kuwa Hakuna Mungu...

Kuwa na akili ndio jibu lako la kuwa Mungu Yupo? Akili zinakaa kwenye Ubongo na Ubongo na Mungu hapo vipi?

Uwepo wa kuamini Mungu yupo ni Imani tu nothing else... ni sawa na kusema Brainwashed...

Mtu akikuambia Kalipue bomu Bungeni ukifa unaenda moja kwa moja Peponi na huko utakuta Wanawake walionona na wenye makalio makubwa zaidi ya mia utazini nao tu kwa raha zako... na wewe ukiamini ndio kama hivyo.

Wayahudi washenzi Sana walimkong'ota yesu halafu badae wakamtundika mtini kama popo
 
Kiranga uulizwe kama nani na kwa mfumo upi kwa mantiki ipi na sababu gani za msingi na ili iweje?

kwanini ukosee halafu unataka kurudisha mda,kama una akili kwanini usingekosea?

kurudisha mda ni kureverse dunia je hiyo ni akili au uchizi?

kama unaweza kuyafanya wewe fanya huwezi then you aint perfect ,kubali theres something perfect somewhere na kwasababu ni perfect huna uwezo wa kumpangia anything maana ni more perfect
 
Last edited by a moderator:
Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, anatakiwa kuumba mazuri tu, hatakiwi kuumba mabaya. Kwa kufuata tabia zake za upendo wote, uwezo wote na ujuzi wote.

Akiumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani anajipinga mwenyewe.

Kwa nini aumbe ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati anaweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Poa, bado hujathibitisha kwamba mungu yupo.

Kama hujathibitisha kwamba yupo hata kwenye kujadili kujipinga outside the context of an immanent critique hatufiki.

Maana kujipinga inabidi awepo.

Thibitisha kwamba yupo.

Sasa naona ushaelewa kuwa hayo madai yako ya kusema mungu kajipinga si ushahidi wa kusema hakuna mungu. Kwa sababu mwanzo ulipokuwa unaambiwa utoe ushahidi wa kutokuwepo kwa mungu huwa unaleta hoja yako hiyo ya kujipinga kama ndiyo ushahidi wa kutokuwepo kwa mungu. Ila tunapaacha huko kama ulivyotaka.

Sasa tunapokuja kwenye kumthibitisha Mungu, kwanza kabisa ningependa ujue kuwa hili ni swala la imani,ila tatizo hulielewi hilo neno na unaonekana hutaki kulielewa na huko ndiyo majibu.
 
Sasa naona ushaelewa kuwa hayo madai yako ya kusema mungu kajipinga si ushahidi wa kusema hakuna mungu. Kwa sababu mwanzo ulipokuwa unaambiwa utoe ushahidi wa kutokuwepo kwa mungu huwa unaleta hoja yako hiyo ya kujipinga kama ndiyo ushahidi wa kutokuwepo kwa mungu. Ila tunapaacha huko kama ulivyotaka.

Sasa tunapokuja kwenye kumthibitisha Mungu, kwanza kabisa ningependa ujue kuwa hili ni swala la imani,ila tatizo hulielewi hilo neno na unaonekana hutaki kulielewa na huko ndiyo majibu.

yaan baada ya kutupotezea mda wote na kutujazia server huu ndo ushahid wako???? haya kweli maajabu!!! kiranga nadhan huyu ni ishmael alikua anatumia ID tofauti tu baada ya kumpiga ban!!!

kama huna ushahid usitupotezee mda cku nyingine kua muwaz mapema tufupishe mjadala, sababu pekee tunaingia kwenye hii thread ni mtu aliposema kuna ushahid wa uwepo wa mungu si bla bla zenu za kila cku tulizozizoea!!!
 
yaan baada ya kutupotezea mda wote na kutujazia server huu ndo ushahid wako???? haya kweli maajabu!!! kiranga nadhan huyu ni ishmael alikua anatumia ID tofauti tu baada ya kumpiga ban!!!

kama huna ushahid usitupotezee mda cku nyingine kua muwaz mapema tufupishe mjadala, sababu pekee tunaingia kwenye hii thread ni mtu aliposema kuna ushahid wa uwepo wa mungu si bla bla zenu za kila cku tulizozizoea!!!

Tatizo lenu mpo hapa kwa ajiri ya kubishana tu,sasa mie kwa kulitambua hilo najitahidi kuwatowa kwenye kubishana na kufanya tujadiliane kwa hoja za msingi ili tufike tamati ya hizi mada za kuwepo na kutokuwepo kwa Mungu. Na mie na Kiranga majadiliano yetu huwa yenye kuendelea,hayo maelezo yangu ya uliyoweka rangi nyekundu nimemkumbushia swala imani ambalo tulishawahi kujadili ila aliingia mitini. Hivyo sishashangai kwa wewe kutoelewa hapo na kuona sina hoja.


Mie naenda ngazi kwa ngazi sababu nia yangu ni kuelimishana na kufika tamati na si kuonesha nani bingwa wa ubishi.
 
Sasa naona ushaelewa kuwa hayo madai yako ya kusema mungu kajipinga si ushahidi wa kusema hakuna mungu. Kwa sababu mwanzo ulipokuwa unaambiwa utoe ushahidi wa kutokuwepo kwa mungu huwa unaleta hoja yako hiyo ya kujipinga kama ndiyo ushahidi wa kutokuwepo kwa mungu. Ila tunapaacha huko kama ulivyotaka.

Sasa tunapokuja kwenye kumthibitisha Mungu, kwanza kabisa ningependa ujue kuwa hili ni swala la imani,ila tatizo hulielewi hilo neno na unaonekana hutaki kulielewa na huko ndiyo majibu.

Mungu wako kajipinga kwa sababu tunaambiwa ana uwezo wote na upendo wote halafu kaumba ulimwengu ambao umejaa mabaya yasiyoepukika.

Ukijikita kwenye imani kimsingi unasema huwezi kumthibitisha mungu.

Na mungu wako hana tofauti na kibwengo au Santa Claus.

Kwa msingi wa kwamba vyote ni vitu vya kuaminika visivyothibitishika.
 
Back
Top Bottom