Tetesi: Col Joseph Karegire wa Jeshi la Rwanda auawa huko DRC Congo

Tetesi: Col Joseph Karegire wa Jeshi la Rwanda auawa huko DRC Congo

Majeshi ya Uganda hata sasa hivi tunavyoongea yako Kongo ya Mashariki yakipigana na Waasi.

Sasa ni kwanini Kagame asiruhusiwe kwenda kuwapiga FLDR na kuwatokomezea kwenye mapori ya Kongo?

Mbona Burundi wako DRC wanapigana na Waasi.

Lakini akifanya Kagame inakuwa ni Nongwa.
Burundi na Drc wameruhisiwa na Drc kuendesha hizo operation, hata Rwanda ingetumia diplomasia huenda ingeruhusiwa kuliko njia iliyotumia ya kuunda na kufadhili uasi.
 
Hizi operation zimefanyika mara nyingi mno toka mwaka 1996 hata watu kama kina Bosco Ntaganda, Laurent Nkunda walipewa kazi hii na Rwanda ya kuwawinda FDLR lakini bado FDLR wameendelea kuwepo......

Hili la kwamba askari wengi wa FDLR ni watoto wa wakimbizi wa kihutu waliozaliwa huko Drc baada ya genocide limekuwa halitajwi kabisa.

zitto junior Tresor Mandala
Wanaona kama hawastahili kurudi kwao na washakua watu wazima
 
Hawa jamaa kinachowafanya kuwa wa makabila tofauti nini?......

Lugha moja....mfumo wa utawala toka zama mmoja....dini za tamaduni moja....tofauti tu muonekano na mmoja mfugaji mwingine mkulima.
Watutsi ni watu wa ethiopia huko,wahutu wabantu,leo msukuma,mluguru na mmafia kuongea kiswahili hakuwafanyi kuwa kabila moja
 
Burundi na Drc wameruhisiwa na Drc kuendesha hizo operation, hata Rwanda ingetumia diplomasia huenda ingeruhusiwa kuliko njia iliyotumia ya kuunda na kufadhili uasi.
Wakongo wanatakiwa kumshukuru Kagame kuwakomboa dhidi ya Mobutu badala ya kumlaumu kila siku.
 
Kawaida tu hata wa Tz wameuawa congo
 
Akina nani wamerudi?.. kagame kilimuudhi nini alipoambiwa na jakaya fdlr aongee nao warudi?
Kweni FLDR ni Wahutu pekee wanaoishi Mashariki ya Kongo wengi walirudi sema hawa wao wanataka kurudi kwa nguvu.
 
Atakuwa ameuwawa na FLDR Sniper ndio mjue hatari ya FLDR ambao Kagame anasema ni lazima wamalizwe.

GjFcuQYWQAACV5W.jpeg
 
Wakongo wanatakiwa kumshukuru Kagame kuwakomboa dhidi ya Mobutu badala ya kumlaumu kila siku.

..Ni kweli hayo?

..Mbona hali ya amani na usalama DRC sasa hivi ni mbaya kuliko wakati wa Mobutu?

..Wacongo wengi wamepoteza maisha baada ya Mobutu kuondoka, kuliko alipokuwa madarakani.
 
..Ni kweli hayo?

..Mbona hali ya amani na usalama DRC sasa hivi ni mbaya kuliko wakati wa Mobutu?

..Wacongo wengi wamepoteza maisha baada ya Mobutu kuondoka, kuliko alipokuwa madarakani.
Mobutu alikuwa hata kulipa mishahara kwa Wanajeshi na Watumishi wa umma alikuwa halipi anawaambia wachukue kwa wananchi Mobutu ndio aliyeliuwa Jeshi la Kongo halijaamka mpaka leo.

Kagame alipowasaidia baada akina Kabila snr wakamgeuka na kusaidia kuasisi fldr.

Kagame sasa hivi anasaidia Msumbiji dhidi ya Magaidi wa Kiislamu na Msumbiji sasa huwaambii kitu kuhusu Kagame.

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
 
Mobutu alikuwa hata kulipa mishahara kwa Wanajeshi na Watumishi wa umma alikuwa halipi anawaambia wachukue kwa wananchi Mobutu ndio aliyeliuwa Jeshi la Kongo halijaamka mpaka leo.

Kagame alipowasaidia baada akina Kabila snr wakamgeuka na kusaidia kuasisi fldr.

Kagame sasa hivi anasaidia Msumbiji dhidi ya Magaidi wa Kiislamu na Msumbiji sasa huwaambii kitu kuhusu Kagame.

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.

..kipindi Mobutu yuko madarakani Wacongo wangapi walikufa?

..tangu Mobutu ameondoshwa Wacongo wangapi wamekufa?

..Numbers dont lie.

..Kabila Snr alianza kushirikiana na Fdlr baada ya Gen.Kaberebe toka Rwanda kujaribu kumpindua.

..Napongeza kazi iliyofanywa na askari wa Rwanda kurejesha amani Cabo Delgado Msumbiji.
 
Habari za hivi punde ni kuuwawa kwa kiongozi wa mapambo wa jeshi la Rwanda nchi Congo.

Majeshi ya Rwanda yapo nchini Congo yakisaidiana na majeshi ya M23.

Mara kadhaa Paul Kagame amekuwa akikanusha kuhusika kwa nchi yake katika machafuko nchini Congo.

Kufuatia kifo cha Col Joseph Karegire ambaye alikuwa kiongozi mkuu wa operesheni nchini Congo sasa ni wazi tena pasipo shaka kabisa Jeshi la Rwanda limekuwa likishirikiana na M23 bega kwa bega.
Kagame ni muongo, once a killer always a kiler. His time is up, both he and his family do not deserve to live. They need to be wiped out immediately.
 
Back
Top Bottom