Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
kwa tabia za Watz nina uhakika wezi wakuu hapo ni Watz wenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hivyo kwani hiyo ni ofisi ya wakala wa kukatisha ticket za ATCL Comoro au ni ofisi ya ATCLNgoja kwanza
Comoro Franc 1 ni TZS 5.64
Maana yake Comoro Franc 400,000,000 ni TZS 2,256,000,000 yaani Bilioni mbili milioni mia mbili hamsini na sita zote zinawekwa ofisini?
Kwani huko Comoro ATCL inapokea pesa taslimu na hawapeleki banki?
Sitaki kuamini kama iko hivyo.
Duhh!! Wanaume wamesanuka..Ngoja kwanza
Comoro Franc 1 ni TZS 5.64
Maana yake Comoro Franc 400,000,000 ni TZS 2,256,000,000 yaani Bilioni mbili milioni mia mbili hamsini na sita zote zinawekwa ofisini?
Kwani huko Comoro ATCL inapokea pesa taslimu na hawapeleki banki?
Sitaki kuamini kama iko hivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mbona kama ofisi ya mwenyekiti wa kijiji?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena cha huko chato
Huyu ni COMAIR, ambaye anamilikiwa na Serikali ya Comoro, ni wakala wa mashirika ya ndege mbalimbali yanayofanya safari zao hapo Comoro sio ATCL pekee yake. Tayari ATCL wametoa ufafanuzi kupitia Azam Tv kuwa kwa upande wao ni mauzo ya Jumamosi dola 3200 yaani kama shilingi 7,400,000 na tayari ziko benki.ATCL Mjini Moroni imevunjwa na kuibwa fedha zaidi Milioni 400 za Kicomoro Jumapili ya tarehe 18/4/2020 Taarifa zinabaini Ofisi hizo hazina ulinzi wala kamera.
Dulu zinabaini milango minne ya ofisi hizo hadi kuifikia Safe imevunjwa inaamika wafanyakazi wa kampuni ya uwakala wa Shirika hili la Ndege la Tanzania wameucheza mchezo huo na hii ni mara ya pili.
View attachment 1756511
View attachment 1756512
View attachment 1756513
Kungekuwa na mawasiliano na marehemu angeambiwa nadhani angekufa tenaATCL Mjini Moroni imevunjwa na kuibwa fedha zaidi Milioni 400 za Kicomoro Jumapili ya tarehe 18/4/2020 Taarifa zinabaini Ofisi hizo hazina ulinzi wala kamera.
Dulu zinabaini milango minne ya ofisi hizo hadi kuifikia Safe imevunjwa inaamika wafanyakazi wa kampuni ya uwakala wa Shirika hili la Ndege la Tanzania wameucheza mchezo huo na hii ni mara ya pili.
View attachment 1756511
View attachment 1756512
View attachment 1756513
Zilikuwa za gawioMtamkumbuka JPM
Kwa lipi hasa huko Comoro ?!Mtamkumbuka Jpm
Kweli si serikali haitaki watu wawe na fedha.hapo mzunguko hauepukiki.Angalao sasa kutakua na mzunguko wa fedha mitaani
Kama wao kina Ndugai wanapiga sisi nao tupige kwa urefu wa kamba yetuKweli si serikali haitaki watu wawe na fedha.hapo mzunguko hauepukiki.
Kumbuka ni mara ya 2,Mtamkumbuka JPM
ATCL Mjini Moroni imevunjwa na kuibwa fedha zaidi Milioni 400 za Kicomoro Jumapili ya tarehe 18/4/2020 Taarifa zinabaini Ofisi hizo hazina ulinzi wala kamera.
Dulu zinabaini milango minne ya ofisi hizo hadi kuifikia Safe imevunjwa inaamika wafanyakazi wa kampuni ya uwakala wa Shirika hili la Ndege la Tanzania wameucheza mchezo huo na hii ni mara ya pili.
View attachment 1756511
View attachment 1756512
View attachment 1756513
kuna bima italipa, always cash lazima ikatiwe bima