Wilson Joseph
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 311
- 275
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ATCL Mjini Moroni imevunjwa na kuibwa fedha zaidi Milioni 400 za Kicomoro Jumapili ya tarehe 18/4/2020 Taarifa zinabaini Ofisi hizo hazina ulinzi wala kamera.
Dulu zinabaini milango minne ya ofisi hizo hadi kuifikia Safe imevunjwa inaamika wafanyakazi wa kampuni ya uwakala wa Shirika hili la Ndege la Tanzania wameucheza mchezo huo na hii ni mara ya pili.
View attachment 1756511
View attachment 1756512
View attachment 1756513
Kwamba angezuia wizi alikuwa mlinzi au? Mbona hata alivyokuwepo ofisi za Kamishna mkuu wa TRA zilivunjwa na wakaiba computer na mpaka leo hajapatikana mwizi????Mtamkumbuka Jpm
Hakuna ambae hashangai hawa ni mawakala wa ATCL pale Moroni wenyeji kama unvyowasikia wanawajua kwamba ni genge la matapeli pale Moroni najiuliza hivi Watanzania tuna tatizo gani nani katuloga KATIKA HILI LAZIMA NISEME NI HUJUMA YA WAZI NA WATANZANIA WANAHUSIKAAfrika ina vituko sana. Ofisi ya ATCL yenye Billioni ndani imekaa kama ofisi ya mjumbe wa nyumba kumi Tz
Utumbo mtupuHapa ndipo magenge ya JPM yalipotufikisha.
Huo ni mpango uliotengenezwa na uongozi wa ATCL.
Haiingii akilini kwamba hela nyingi kiasi hicho zinawekwa kwenye kasiki ofisini badala ya hela kuwekwa benki.Ufisadi bado unaendelea kwa kasi.
Serikali iangalie hili kwa jicho
Umeambiwa tumelishwa matango na wewe unademka. Pesa iliyokuwa kwenye sefu ni sawa na milioni 7 za Tanzania mauzo ya jumamosi. Angalia Azam TV
ATCL Mjini Moroni imevunjwa na kuibwa fedha zaidi Milioni 400 za Kicomoro Jumapili ya tarehe 18/4/2020 Taarifa zinabaini Ofisi hizo hazina ulinzi wala kamera.
Dulu zinabaini milango minne ya ofisi hizo hadi kuifikia Safe imevunjwa inaamika wafanyakazi wa kampuni ya uwakala wa Shirika hili la Ndege la Tanzania wameucheza mchezo huo na hii ni mara ya pili.
View attachment 1756511
View attachment 1756512
View attachment 1756513
Fedha zilichukuliwa Ijumaa saa tisa alasiri, ofisi ikavunjwa Jumapili alfajiri. "Usimwamini binadamu"- BabuATCL Mjini Moroni imevunjwa na kuibwa fedha zaidi Milioni 400 za Kicomoro Jumapili ya tarehe 18/4/2020 Taarifa zinabaini Ofisi hizo hazina ulinzi wala kamera.
Dulu zinabaini milango minne ya ofisi hizo hadi kuifikia Safe imevunjwa inaamika wafanyakazi wa kampuni ya uwakala wa Shirika hili la Ndege la Tanzania wameucheza mchezo huo na hii ni mara ya pili.
View attachment 1756511
View attachment 1756512
View attachment 1756513
Hata mimi nimeshangaa, tena milioni 400? Wasitutanie sisi!Wameiba wenyewe.
Tangu lini Kampuni ya ndege ikaweka pesa zake ofisini?
Duh kumbe ndio mtindo huo wa uharifu uliojikita mizizi kwenye kisiwa na hakuna namna bora ya kufuatilia siku kwa sikuKwanini kila siku Comoro.
Habari kumbukizi za Comoro 10 Februari 2016
Tanzania yafichua wizi wa milioni 700
10 Februari 2016
![]()
CHANZO CHA PICHA,AFP
Maelezo ya picha,
Rais Magufuli
Serikali ya Tanzania imebaini wizi wa takribani shilingi milioni 700 sawa na dola laki tatu za marekani ($320,000 )katika shirika lake la Ndege (ATCL) kupitia kampuni ya wakala wa ukatishaji tiketi ya Salama World Travel iliyopo visiwa vya Comoro.
Hii ni moja ya harakati za serikali kulifufua Shirika la Ndege Tanzania.
Kufuatia upotevu huo wa fedha, mkurugenzi wa Fedha wa ATCL Steven Kasubi amesimamishwa kazi.
![]()
Maelezo ya picha,
Shirika la ndege la Air Tanzania
Uchunguzi umeanza chini ya kikosi cha polisi kitengo cha usalama mitandaoni ili kubaini mtandao mzima wa wote walivyohusika
Atakumbukwa vipi wakati unaambiwa hiyo ni mala ya pili wizi kama huo kutokea?Mtamkumbuka Jpm
[emoji1666][emoji1666][emoji106][emoji106]Wameiba wenyewe.
Tangu lini Kampuni ya ndege ikaweka pesa zake ofisini?