Comoro: Ofisi za ATCL Mjini Moroni zimevunjwa na mauzo yote kuporwa

Comoro: Ofisi za ATCL Mjini Moroni zimevunjwa na mauzo yote kuporwa

ATCL Mjini Moroni imevunjwa na kuibwa fedha zaidi Milioni 400 za Kicomoro Jumapili ya tarehe 18/4/2020 Taarifa zinabaini Ofisi hizo hazina ulinzi wala kamera.

Dulu zinabaini milango minne ya ofisi hizo hadi kuifikia Safe imevunjwa inaamika wafanyakazi wa kampuni ya uwakala wa Shirika hili la Ndege la Tanzania wameucheza mchezo huo na hii ni mara ya pili.

View attachment 1756511

View attachment 1756512

View attachment 1756513

Hiyo ofisi tu hata ndala zangu siweki.
 
Afrika ina vituko sana. Ofisi ya ATCL yenye Billioni ndani imekaa kama ofisi ya mjumbe wa nyumba kumi Tz
 
Afrika ina vituko sana. Ofisi ya ATCL yenye Billioni ndani imekaa kama ofisi ya mjumbe wa nyumba kumi Tz
Hakuna ambae hashangai hawa ni mawakala wa ATCL pale Moroni wenyeji kama unvyowasikia wanawajua kwamba ni genge la matapeli pale Moroni najiuliza hivi Watanzania tuna tatizo gani nani katuloga KATIKA HILI LAZIMA NISEME NI HUJUMA YA WAZI NA WATANZANIA WANAHUSIKA
 
Huo ni mpango uliotengenezwa na uongozi wa ATCL.
Haiingii akilini kwamba hela nyingi kiasi hicho zinawekwa kwenye kasiki ofisini badala ya hela kuwekwa benki.Ufisadi bado unaendelea kwa kasi.
Serikali iangalie hili kwa jicho

Umeambiwa tumelishwa matango na wewe unademka. Pesa iliyokuwa kwenye sefu ni sawa na milioni 7 za Tanzania mauzo ya jumamosi. Angalia Azam TV
 
ATCL Mjini Moroni imevunjwa na kuibwa fedha zaidi Milioni 400 za Kicomoro Jumapili ya tarehe 18/4/2020 Taarifa zinabaini Ofisi hizo hazina ulinzi wala kamera.

Dulu zinabaini milango minne ya ofisi hizo hadi kuifikia Safe imevunjwa inaamika wafanyakazi wa kampuni ya uwakala wa Shirika hili la Ndege la Tanzania wameucheza mchezo huo na hii ni mara ya pili.

View attachment 1756511

View attachment 1756512

View attachment 1756513

Wameiba wenyewe, watz siyo wajinga
 
ATCL Mjini Moroni imevunjwa na kuibwa fedha zaidi Milioni 400 za Kicomoro Jumapili ya tarehe 18/4/2020 Taarifa zinabaini Ofisi hizo hazina ulinzi wala kamera.

Dulu zinabaini milango minne ya ofisi hizo hadi kuifikia Safe imevunjwa inaamika wafanyakazi wa kampuni ya uwakala wa Shirika hili la Ndege la Tanzania wameucheza mchezo huo na hii ni mara ya pili.

View attachment 1756511

View attachment 1756512

View attachment 1756513
Fedha zilichukuliwa Ijumaa saa tisa alasiri, ofisi ikavunjwa Jumapili alfajiri. "Usimwamini binadamu"- Babu
 
Kwanini kila siku Comoro.

Habari kumbukizi za Comoro 10 Februari 2016

Tanzania yafichua wizi wa milioni 700​

10 Februari 2016
Rais Magufuli

CHANZO CHA PICHA,AFP
Maelezo ya picha,
Rais Magufuli
Serikali ya Tanzania imebaini wizi wa takribani shilingi milioni 700 sawa na dola laki tatu za marekani ($320,000 )katika shirika lake la Ndege (ATCL) kupitia kampuni ya wakala wa ukatishaji tiketi ya Salama World Travel iliyopo visiwa vya Comoro.
Hii ni moja ya harakati za serikali kulifufua Shirika la Ndege Tanzania.
Kufuatia upotevu huo wa fedha, mkurugenzi wa Fedha wa ATCL Steven Kasubi amesimamishwa kazi.
Shirika la ndege la Air Tanzania

Maelezo ya picha,
Shirika la ndege la Air Tanzania
Uchunguzi umeanza chini ya kikosi cha polisi kitengo cha usalama mitandaoni ili kubaini mtandao mzima wa wote walivyohusika
Duh kumbe ndio mtindo huo wa uharifu uliojikita mizizi kwenye kisiwa na hakuna namna bora ya kufuatilia siku kwa siku
 
Back
Top Bottom