saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Samia amekosea sana kumteua huyu bwanamdogo. Ni uchonganishi na katibu mkuu. Makonda itakuwa vigumu sana kufanya kazi na katibu mkuu Chongolo, kwanza Makonda hana adabu, pili Makonda alishakuwa bosi wa Chongolo na kipindi alionekana kumnyanyasa Chongolo hadharani. Hivi huyu mama nani kamshauri? Basi huyo hana nia njem naye.CCM hasa walamba asali, piganieni katiba mpya sasa, madaraka ya rais yapunguzwe, nyakati hazitabiriki, lolote linaweza kutokea.
Au ni nani aliyewaza kuwa Makonda angekuwa Mwenezi zama hizi?
Hivi ndivyo mnavyomnyamazisha mbowe na wahuni wenzake?Wakurugenzi watendaji na Makatibu tawala wa mikoa , mwandalieni posho ya 1,000,000 na chawa alioambatana nao wapatieni 100,000 ili asilopoke.
Bendera mfuata upepo.Samia amekosea sana kumteua huyu bwanamdogo. Ni uchonganishi na katibu mkuu. Makonda itakuwa vigumu sana kufanya kazi na katibu mkuu Chongolo, kwanza Makonda hana adabu, pili Makonda alishakuwa bosi wa Chongolo na kipindi alionekana kumnyanyasa Chongolo hadharani. Hivi huyu mama nani kamshauri? Basi huyo hana nia njem naye.
Alishauliwa na walamba asali machawa wake.Samia amekosea sana kumteua huyu bwanamdogo. Ni uchonganishi na katibu mkuu. Makonda itakuwa vigumu sana kufanya kazi na katibu mkuu Chongolo, kwanza Makonda hana adabu, pili Makonda alishakuwa bosi wa Chongolo na kipindi alionekana kumnyanyasa Chongolo hadharani. Hivi huyu mama nani kamshauri? Basi huyo hana nia njem naye.
Subiri na bado utaongea yote choko wewe!Hivi katibu mkuu wa chama yuko wapi? Amebariki huo upuuzi anaoufanya huyo bwanamdogo akili ndogo? Atawavuruga sana, kwa upumbavu wake Makonda anajiona mkubwa kuliko Chongolo.
Mzaha mzaha, Makonda anateuliwa kugombea urais, hakika walamba asali wataitapika. Usalama wao wapiganie katiba mpya ipatikane mapema, vinginevyo ubatizo wa pili utakuwa wa moto kuliko wa kwanza.Samia amekosea sana kumteua huyu bwanamdogo. Ni uchonganishi na katibu mkuu. Makonda itakuwa vigumu sana kufanya kazi na katibu mkuu Chongolo, kwanza Makonda hana adabu, pili Makonda alishakuwa bosi wa Chongolo na kipindi alionekana kumnyanyasa Chongolo hadharani. Hivi huyu mama nani kamshauri? Basi huyo hana nia njem naye.
Mimi bado nipo njiani naenda sijajua ratiba🤣😂vp atafikia kwenye lile lihotel letu chakavu pale barabarani au ataingia ikulu?
Uhuru gani?Hii nchi uhuru umepitliza.
ThibitishaYani unasema vyeti feki wakati watachukia na unayemsema na kwenda kumuona ana vyeti feki.
R.I.P Ben Saanane.