Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Ameombwa na nani? Mimi niliishawahi kumwambia Mbowe aoneshe vyeti vyake, aliishawahi kuvionesha?Tangu 2017 ameombwa aonyeshe vyeti hajawahi kuthubutu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameombwa na nani? Mimi niliishawahi kumwambia Mbowe aoneshe vyeti vyake, aliishawahi kuvionesha?Tangu 2017 ameombwa aonyeshe vyeti hajawahi kuthubutu.
Mada ni ya Makonda wewe unaleta story za Mbowe na hapo nilikuwa namjibu kuhusu Makonda.Ameombwa na nani? Mimi niliishawahi kumwambia Mbowe aoneshe vyeti vyake, aliishawahi kuvionesha?
Ila anatishaHana mvuto wowote
Awe maarufu mara ngapi? 😆Msipojitathmini Makonda atakuwa Maarufu kuliko Wanaccm wote ndani ya Muda mfupi sana!
Vyeti kitu gani wewe, kwani Raisi hajawaona wenye PhD?.....Acha kijana awanyooshe 😆Tangu 2017 ameombwa aonyeshe vyeti hajawahi kuthubutu.
Ndiyo karata ya chama tawala kwa kanda ya ziwa ?Ukisoma alama za nyakati basi utaelewa huko mbele kuhusu hiki kinachofanyika leo
Vyeti kitu gani wewe, kwani Raisi hajawaona wenye PhD?.....Acha kijana awanyooshe 😆
Neno comrade linatumika vibaya sanaNdugu Comrade Paul Christian Makonda karibu Kanda pendwa ya Ziwa ujionee ilani ya Chama inavyotekelezwa Kwa vitendo. 2024/2025 Ushindi ni lazima.
---
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Paul Christian Makonda atakuwa na ziara mahususi mkoa kwa mkoa kuanzia tarehe 9 hadi 14 Novemba 2023.
Mikoa inayoletewa salamu za upendo kutoka kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa JMT Dkt. Samia Suluhu Hassan ni pamoja na Kagera, Geita, Mwanza, Simiyu na Mara.
Makonda atatembelea pia kaburi la Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere pamoja na Dkt. John Pombe Magufuli.
Wewe ndio idiot. Unadai vyeti vya Makonda vya Mbowe hutaki kuonesha. Pumbavu! Basi onesha vya babaako! Shenzitaipu!Mada ni ya Makonda wewe unaleta story za Mbowe na hapo nilikuwa namjibu kuhusu Makonda.
Fungua uzi uombe Mbowe aonyeshe vyeti . Idiot
Your IQ is very low!Wewe ndio idiot. Unadai vyeti vya Makonda vya Mbowe hutaki kuonesha. Pumbavu! Basi onesha vya babaako! Shenzitaipu!
Hii imeenda, hii imeeeeendaaaa 🤣🤣🤣Wote tunakumbuka Tundu Antipas Lisu alipofika Chato aliomba kwenda kupata baraka za Shujaa Magufuli kaburini Kwake na kunena naye machache pale kaburini Kwake
Sasa Mwenezi wa CCM komredi Makonda naye ametimba Chato kupata baraka za Shujaa kabla hatujaingia kwenye heka heka za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Shujaa Magufuli ni kama Maji utayatumia tu 😂😂
Sindano imekuingia hasa mpaka ukatoa povu! Pumbavu! Tena usirudie! Nyambafu!Your IQ is very low!
I'll no longer engage with a blabbering primitive simpleton and an academic dwarf.
As I can see you can't only read but also sylloge and fathom.