Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
Basi utupe updates mkuuMimi bado nipo njiani naenda sijajua ratiba
Mshauri na mama Janet kama halitaki lile li hotel/guest aligeuze kanisa,ye si mlokole.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi utupe updates mkuuMimi bado nipo njiani naenda sijajua ratiba
🤣🤣 Kwahiyo kiti achukue tahadhari siyo?Msipojitathmini Makonda atakuwa Maarufu kuliko Wanaccm wote ndani ya Muda mfupi sana!
Respect yourselfBasi utupe updates mkuu
Mshauri na mama Janet kama halitaki lile li hotel/guest aligeuze kanisa,ye si mlokole.
Ni ushauri tu mkuu🤣🤣Respect yourself
Asante sana kwa masahihisho mazuri.usituletee mambo ya ibada za kishetani za kuabudu wafu. Yule ni mfu tayari hana la kusikia, hata hivyo yeye ni nani nchi hii, hii nchi si boma lake, hii ni nchi ya watanzania, yeye alikuwa mtumishi tu. Acheni uzezeta.
wivu wa nini jinyonge basi kikaragosi weweHapo mama amebugi, huyu bwanamdogo ni kiongozi wa maonesho, siyo mtu wa kazi. Haya ni mapokezi ya nini, mbona sikuona upuuzi huu kwa wenzake waliomtangulia? Sikuona kwa Shaka Hamdu Shaka, sikuona kwa Sophia Mjema, yeye ana tofauti gani na waliomtangulia? Tofauti ninayoiona mimi ni kwamba Makonda halina akili, ana IQ ndogo sana. Hapa mwenyekiti ameiangusha chama.
kunywa sumu wewe msengerema na huyo ni Rais wako kama hutaki kufa mbweha weweSamia amekosea sana kumteua huyu bwanamdogo. Ni uchonganishi na katibu mkuu. Makonda itakuwa vigumu sana kufanya kazi na katibu mkuu Chongolo, kwanza Makonda hana adabu, pili Makonda alishakuwa bosi wa Chongolo na kipindi alionekana kumnyanyasa Chongolo hadharani. Hivi huyu mama nani kamshauri? Basi huyo hana nia njem naye.
Kwa kweli hongereni Kwa kutushika masikio na ujinga, Mungu ni mwema maana watoto wetu walifaulu vyema lakini mpaka leo wiki ya tatu wanasoma lakini hawajapata mkopo wa boom wala ada na walishipanga vyumba. CCM hoyeeee kura kwetu na kula kwetu, tupo tumekaa kule. Nimeongea ya moyoni, najua nyie mambo mukedi, haya hayawaNdugu Comrade Paul Christian Makonda karibu Kanda pendwa ya Ziwa ujionee ilani ya Chama inavyotekelezwa Kwa vitendo. 2024/2025 Ushindi ni lazima.
---
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Paul Christian Makonda atakuwa na ziara mahususi mkoa kwa mkoa kuanzia tarehe 9 hadi 14 Novemba 2023.
Mikoa inayoletewa salamu za upendo kutoka kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa JMT Dkt. Samia Suluhu Hassan ni pamoja na Kagera, Geita, Mwanza, Simiyu na Mara.
Makonda atatembelea pia kaburi la Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere pamoja na Dkt. John Pombe Magufuli.
Rubbish..Ndugu Comrade Paul Christian Makonda karibu Kanda pendwa ya Ziwa ujionee ilani ya Chama inavyotekelezwa Kwa vitendo. 2024/2025 Ushindi ni lazima.
---
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Paul Christian Makonda atakuwa na ziara mahususi mkoa kwa mkoa kuanzia tarehe 9 hadi 14 Novemba 2023.
Mikoa inayoletewa salamu za upendo kutoka kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa JMT Dkt. Samia Suluhu Hassan ni pamoja na Kagera, Geita, Mwanza, Simiyu na Mara.
Makonda atatembelea pia kaburi la Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere pamoja na Dkt. John Pombe Magufuli.
Hawa watoto wamenyimwa mikopo, leo wa kwangu mmoja anarudi nyumbani na mwingine atakuja kesho, nimewaruhurusu waje tujenge nchi Kwa kuangalia na kushabikia honey ya zuchu, sawa tuRubbish..
Mduda ha ha haMkuu karipoti maandamano ya Mdude yenye mvuto (ahahahahaha!). Achana na kufuatilia threads za Makonda! Ahahahahaha!!!!
Tangu 2017 ameombwa aonyeshe vyeti hajawahi kuthubutu.Thibitisha
Hii kazi PM ameishindwa.Wajiandae kutumbuliwa huko!!!...Jamaa hana ushikaji!
Comrade makonda,hongera Kwa kazi nzuri,ufikapo Jimbo la musoma mjini nategemea utakuta changamoto nyingi Kwa wananchi na wakazi wake,miradi mingi haitekelezwi LICHA ya pesa nyingi kutolewa na serikali; Kuna upigaji wa KUTISHA wa KUTISHA wa pesa za serikali,miradi ya ujenzi stendi kuu ya kisasa,manispaa haina soko kuu la kisasa,ujenzi wa barabara za mitaa na ufungaji wa taa za barabarani,mf barabaran ya mjini kwenda makoko,mradi wa kufufua bandari ya musoma(Ilikua inatuunga kibiashara kati ya nchi za maziwa makuu yaani Kenya na Uganda,TUNAOMBA UFANYE KITU COMRADENdugu Comrade Paul Christian Makonda karibu Kanda pendwa ya Ziwa ujionee ilani ya Chama inavyotekelezwa Kwa vitendo. 2024/2025 Ushindi ni lazima.
---
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Paul Christian Makonda atakuwa na ziara mahususi mkoa kwa mkoa kuanzia tarehe 9 hadi 14 Novemba 2023.
Mikoa inayoletewa salamu za upendo kutoka kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa JMT Dkt. Samia Suluhu Hassan ni pamoja na Kagera, Geita, Mwanza, Simiyu na Mara.
Makonda atatembelea pia kaburi la Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere pamoja na Dkt. John Pombe Magufuli.