Usibebwe na mawazo ya Manara, wadhamini ndio wanaolipa fedha zinazosaidia kuendesha timu. Kama hutaki kuvaa, wapo watakaovaaHasa Hilo MO foundation limechafua jezi halikuwa na umuhimu bana hapo angeachwa vunja bei. Sasa Mimi navaaje jezi imeandikwa Mo foundation inahusikaje na team. Watoe hayo matangazo loh
Mkuu nahisi kama zimekunjwa tu hizo.Hizi picha zimeeditiwa sana kwa jezi ni mbovu na hazifai kuitwa matambala
Hzo za kike nadhani ni wadangaji na malaya, mtu mdada mwenye heshima hawezi kubaki kitovu nje..
Tumepigwa simba wenzangu
Tukiachana na jezi kali za mnyama Simba, haki ya Mungu Hamisa ni mkali huyu mtoto aisee.
Yani wewe ndiye Mwenye Akili kuliko Mtu yeyote aliyepost kwenye Uzi huu
Utopolo mnateseka sanaHakuna jipya hapo! Jezi za wananchi ndiyo habari ya mjini kwa sasa.
Ukishamt0mb@ anakuwa wa kawaida tu, kama vile mondi anavyomuona huyo demu kwa sasa.Tukiachana na jezi kali za mnyama Simba, haki ya Mungu Hamisa ni mkali huyu mtoto aisee.
Ulikuwepo inapoanzishwa?Kikwapa weye?😝😝😝Jezi tunazidiwa hadi na coastal Union.
Mo tuachie Team yetu