Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure ila wapunguze matangazo Mimi nikinunua natoa hayo machata mara vunjabei mara Mo sijui nini lohMi hiyo ya juu kabisa ndo nimependa ,ila jezi zote nzuri
Matangazo hayaepukiki vunjabei kalipia tenda ila Sasa Mo naye anazidisha matangazo matatu ,Mo Xtra , sabuni ,mo foundationSure ila wapunguze matangazo Mimi nikinunua natoa hayo machata mara vunjabei mara Mo sijui nini loh
Hujui hiyo timu inatumia ushirikina ndo maana wameweka misukule kwenye jeziJezi ni Kali huwezi kufananisha na zile zenye picha za jeshi la wafu
Hasa Hilo MO foundation limechafua jezi halikuwa na umuhimu bana hapo angeachwa vunja bei. Sasa Mimi navaaje jezi imeandikwa Mo foundation inahusikaje na team. Watoe hayo matangazo lohMatangazo hayaepukiki vunjabei kalipia tenda ila Sasa Mo naye anazidisha matangazo matatu ,Mo Xtra , sabuni ,mo foundation
Uelezwe kama nani?Ukiondoa yeye Kama mwanahisa, Mo atueleze kampuni yake inalipa kiasi gani kuweka matangazo kwenye jezi za Simba
Ahahah hii comment ya utopolo nimecheka sn..Acha dharau asee[emoji1787][emoji1787].Tarehe 12 mna mechi achaneni na ya SimbaKama ile ya zamani tu! Buku tatu tatu.
Mo foundation ndo inachafua tangazo kubwaHasa Hilo MO foundation limechafua jezi halikuwa na umuhimu bana hapo angeachwa vunja bei. Sasa Mimi navaaje jezi imeandikwa Mo foundation inahusikaje na team. Watoe hayo matangazo loh
Hasa Hilo MO foundation limechafua jezi halikuwa na umuhimu bana hapo angeachwa vunja bei. Sasa Mimi navaaje jezi imeandikwa Mo foundation inahusikaje na team. Watoe hayo matangazo loh
Kama jezi zenu sasa hivi mmezifanya madekioUsinilazimishe kuyapenda matambala siwezi nunua nikiwa kama shabiki wa simba
Hivi jezi ya Yanga haina tangazo la Twiga gas? Maana ina gsm kifuani na GSM foam mgongoniUelezwe kama nani?
Wanavyotangaza kusaini mkataba huwa unakuwa wapi?, mkatapa umesainiwa tena kwa press kabisa ila bado mna nongwa.
Nyoko wewe usinipangie cha kuandika kavae wewe hizo mfyuuuuUsivae mama, nenda kavae ya utopolo. Hujalazimishwa.
Kweli kabisaHakuna jipya hapo! Jezi za wananchi ndiyo habari ya mjini kwa sasa.
Bro' mie Simba sio uto
Embu tuwekee jezi za wananchi tulinganishe.
CC: MAMA J.
Nyoko mwenyewe, hujalazimishwa kuvaa jezi yenye viwango bora, kanunue jezi yenu iliyojaa vibwengoNyoko wewe usinipangie cha kuandika kavae wewe hizo mfyuuuu
Sijaifuatilia mkuu,Hivi jezi ya Yanga haina tangazo la Twiga gas? Maana ina gsm kifuani na GSM foam mgongoni