Confirmed: Jezi mpya za Simba SC msimu wa 2021/2022

Confirmed: Jezi mpya za Simba SC msimu wa 2021/2022

Toka lini vunja akauza vitu vya maana zaidizaidi manguo ya kuchanikachanika
 
Mi hiyo ya juu kabisa ndo nimependa ,ila jezi zote nzuri
Sure ila wapunguze matangazo Mimi nikinunua natoa hayo machata mara vunjabei mara Mo sijui nini loh
 
Sure ila wapunguze matangazo Mimi nikinunua natoa hayo machata mara vunjabei mara Mo sijui nini loh
Matangazo hayaepukiki vunjabei kalipia tenda ila Sasa Mo naye anazidisha matangazo matatu ,Mo Xtra , sabuni ,mo foundation
 
Matangazo hayaepukiki vunjabei kalipia tenda ila Sasa Mo naye anazidisha matangazo matatu ,Mo Xtra , sabuni ,mo foundation
Hasa Hilo MO foundation limechafua jezi halikuwa na umuhimu bana hapo angeachwa vunja bei. Sasa Mimi navaaje jezi imeandikwa Mo foundation inahusikaje na team. Watoe hayo matangazo loh
 
Mambo ndio kama hivi
Screenshot_20210903-120848_Facebook.jpg
 
Hasa Hilo MO foundation limechafua jezi halikuwa na umuhimu bana hapo angeachwa vunja bei. Sasa Mimi navaaje jezi imeandikwa Mo foundation inahusikaje na team. Watoe hayo matangazo loh
Mo foundation ndo inachafua tangazo kubwa
 
Usivae mama, nenda kavae ya utopolo. Hujalazimishwa.
Hasa Hilo MO foundation limechafua jezi halikuwa na umuhimu bana hapo angeachwa vunja bei. Sasa Mimi navaaje jezi imeandikwa Mo foundation inahusikaje na team. Watoe hayo matangazo loh
 
Uelezwe kama nani?
Wanavyotangaza kusaini mkataba huwa unakuwa wapi?, mkatapa umesainiwa tena kwa press kabisa ila bado mna nongwa.
Hivi jezi ya Yanga haina tangazo la Twiga gas? Maana ina gsm kifuani na GSM foam mgongoni
 
Back
Top Bottom