mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani mpaka ule umeathiriwa na mgogoro wa kisiasa kati ya DRC na Rwanda. Anaeingia DRC akitokea Rwanda mbali na malori anachukuliwa kwenye mtazamo wa kiharifu kwanza hadi uthibitisho kinyume utakapo bainika.Kwa African French Speaking countries hayo ni mambo ya kawaida kwa askari mipakani
Suala la visa linashughulikiwa ,hiyo lugha ni kawaida tuWatanzania tunahitaji la kuwa na visa ya kuingilia DRC, ingawa upo uwezekano wa kuipata pale mpakani kwa kulipa dollar mia, nilichokiona pale kila afisa ni mbabe, lugha inayotumika ni kama ile ya waharifu kituo cha polisi.
Mpka upi huo ?Nadhani mpaka ule umeathiriwa na mgogoro wa kisiasa kati ya DRC na Rwanda. Anaeingia DRC akitokea Rwanda mbali na malori anachukuliwa kwenye mtazamo wa kiharifu kwanza hadi uthibitisho kinyume utakapo bainika.
Kapimwe akiliDRC ili iendelee ni lazma igawanywe kutoa mataifa manne,
Congo south (katanga),
Congo East (kivu na maeneo yanayoizunguka)
Congo central (kisangani na maeneo yanayoizunguka)
Congo west (Kinshasa)
Tofauti na hapo ni ngumu mno kuitawala Congo sababu ya geographical barriers zilizopo.View attachment 2680764
Du!... Mimi ilinikwaza, ukizingatia kuwa nilitaka kutalii mji wa Goma kabla ya likizo yangu kwisha.Suala la visa linashughulikiwa ,hiyo lugha ni kawaida tu
Mpaka wa Gisenyi/GomaMpka upi huo ?
hivi unafikiri nani mpumbavu zaidi kati ya mamako na babako, siyo kwa upuuzi huu. Bandari, bandari, bandari, ukiulizwa vizuri hata hujui maana ya bandari umekuwa zuzu,CHAWA huyo wa fisiemu, anatetea mkataba wa MILELE wa bandari ili ajipatie riziki yake
Ok,huko ubabe ni muhimuMpaka wa Gisenyi/Goma
Wewe Choko umenifuata na huku? Kama hujui maana ya umuhimu wa bandari mlaumu mama yako kwa kukuzalia baa na kuishia kuchunga mbuzi baada ya kutelekezwa na baba yako, kumbafu wewehivi unafikiri nani mpumbavu zaidi kati ya mamako na babako, siyo kwa upuuzi huu. Bandari, bandari, bandari, ukiulizwa vizuri hata hujui maana ya bandari umekuwa zuzu,
ohooo!hivi unafikiri nani mpumbavu zaidi kati ya mamako na babako, siyo kwa upuuzi huu. Bandari, bandari, bandari, ukiulizwa vizuri hata hujui maana ya bandari umekuwa zuzu,
Naona umeandika kwa uchungu sana japo umeandika kwa upande mmoja tu wa Kongo...Ama kweli tembea uone!
Congo DR, ni sehemu ambayo maeneo mengi ili ufanikiwe kutoboa, ni lazima uwe umehitimu ubabe kwa zaidi ya alama 1000%.
DR, ndilo eneo ambalo maovu, umafia na hata unyama hutendwa hadharani!
Mfano, mgeni usafiripo kwa kupitia mpaka wa Kasumbalesa kwa roli kwenda Lubumbashi, na hata mbele zaidi- hakika uwe sawa kisaikolojia kwa matukio ya kibabe kutoka kwa watoto wa mbwa!
Mateso utayoyashuhudia kuanzia Kasumbalesa na kuendelea, hayasimuliki!
Eneo la urefu wa kilomita mia, usishangae ukatumia wiki na hata mwezi kufika.
Congo DR, ndipo eneo ukibanwa na wamba unaweza uchague ima wachukue kila kitu ndani ya gari ama wewe ufanywe vipande vya nyama na gari ibaki ili iwe shuhuda wa ulikuwa nayo Duniani.
Itoshe kusema, huenda shetani akiwa anaongea na simu husimama DR na kutoa maelekezo. Na hata yeye ( shetani ) usishangae huwa anajiuliza mara mbilimbili kutua hapo.
Ulishajiuliza kwa nini Yesu harejei kama alivyo sema? Huenda jawabu lipo Congo na matukio yake ya kinyama!
Anzia Lubumbashi hadi Kamoto, hakika wewe kama ni mtu lege lege- sikushauri uende!
DR, ndiyo mahali unaweza kufumba macho uombe ile unafumbua, unakutana na kope chini!
DR, wewe mwenye miaka 40 kuchinjwa na kitoto cha miaka 10, wala siyo ajabu. Ila ni ajabu endapo kitoto cha miaka 10 kitashindwa kukuchinja wewe mwenye miaka 40.
Umafia uliopo DR, siyo makalio eti kila mtu anayo.
Congo, 🙌!
Hakika, Congo siyo Kongowe.