Congo DR ni sehemu ambayo hata shetani hujiuliza mara mbili kwenda

Congo DR ni sehemu ambayo hata shetani hujiuliza mara mbili kwenda

Kwa African French Speaking countries hayo ni mambo ya kawaida kwa askari mipakani
Nadhani mpaka ule umeathiriwa na mgogoro wa kisiasa kati ya DRC na Rwanda. Anaeingia DRC akitokea Rwanda mbali na malori anachukuliwa kwenye mtazamo wa kiharifu kwanza hadi uthibitisho kinyume utakapo bainika.
 
Watanzania tunahitaji la kuwa na visa ya kuingilia DRC, ingawa upo uwezekano wa kuipata pale mpakani kwa kulipa dollar mia, nilichokiona pale kila afisa ni mbabe, lugha inayotumika ni kama ile ya waharifu kituo cha polisi.
Suala la visa linashughulikiwa ,hiyo lugha ni kawaida tu
 
Nadhani mpaka ule umeathiriwa na mgogoro wa kisiasa kati ya DRC na Rwanda. Anaeingia DRC akitokea Rwanda mbali na malori anachukuliwa kwenye mtazamo wa kiharifu kwanza hadi uthibitisho kinyume utakapo bainika.
Mpka upi huo ?
 
hivi unafikiri nani mpumbavu zaidi kati ya mamako na babako, siyo kwa upuuzi huu. Bandari, bandari, bandari, ukiulizwa vizuri hata hujui maana ya bandari umekuwa zuzu,
Wewe Choko umenifuata na huku? Kama hujui maana ya umuhimu wa bandari mlaumu mama yako kwa kukuzalia baa na kuishia kuchunga mbuzi baada ya kutelekezwa na baba yako, kumbafu wewe
 
Ama kweli tembea uone!

Congo DR, ni sehemu ambayo maeneo mengi ili ufanikiwe kutoboa, ni lazima uwe umehitimu ubabe kwa zaidi ya alama 1000%.

DR, ndilo eneo ambalo maovu, umafia na hata unyama hutendwa hadharani!

Mfano, mgeni usafiripo kwa kupitia mpaka wa Kasumbalesa kwa roli kwenda Lubumbashi, na hata mbele zaidi- hakika uwe sawa kisaikolojia kwa matukio ya kibabe kutoka kwa watoto wa mbwa!

Mateso utayoyashuhudia kuanzia Kasumbalesa na kuendelea, hayasimuliki!

Eneo la urefu wa kilomita mia, usishangae ukatumia wiki na hata mwezi kufika.

Congo DR, ndipo eneo ukibanwa na wamba unaweza uchague ima wachukue kila kitu ndani ya gari ama wewe ufanywe vipande vya nyama na gari ibaki ili iwe shuhuda wa ulikuwa nayo Duniani.

Itoshe kusema, huenda shetani akiwa anaongea na simu husimama DR na kutoa maelekezo. Na hata yeye ( shetani ) usishangae huwa anajiuliza mara mbilimbili kutua hapo.

Ulishajiuliza kwa nini Yesu harejei kama alivyo sema? Huenda jawabu lipo Congo na matukio yake ya kinyama!

Anzia Lubumbashi hadi Kamoto, hakika wewe kama ni mtu lege lege- sikushauri uende!

DR, ndiyo mahali unaweza kufumba macho uombe ile unafumbua, unakutana na kope chini!

DR, wewe mwenye miaka 40 kuchinjwa na kitoto cha miaka 10, wala siyo ajabu. Ila ni ajabu endapo kitoto cha miaka 10 kitashindwa kukuchinja wewe mwenye miaka 40.

Umafia uliopo DR, siyo makalio eti kila mtu anayo.

Congo, 🙌!

Hakika, Congo siyo Kongowe.
Naona umeandika kwa uchungu sana japo umeandika kwa upande mmoja tu wa Kongo...
Ila ujue kuna watz wengi kule tena wakawaida tu na wengi wamepatia maisha.
Kuna washikaji wanasafirisha mazao na bidhaa nyingine kwenda kongo na kurudi na bidhaa zingine vikiwemo vitenge na wapo vizuri.
Ila ni ukweli Nchi haijatulia ila ujue sio yote yenye hayo matatizo ya Unyama!....
 
Back
Top Bottom