Rwanda washaanza kutumia mpaka silaha mpya za kivita kama drones na air defence system.Nyie mmekalia PROPAGANDA za enzi ya IDD AMIN ambapo kwa sasa mambo yamebadilika sana.Proxy wars ndio kila kitu mmejipangaje wazee😄😄Mkuu unatafuta kipigo, maana ninyi watusi mnatafuta kisago.
Kama mnafikiri mna mshipa, geuzeni M23, njoo Ngara tuanze mziki.
Ukimya si udhaifu, na huyo bwana anayewa host anajulikana.
⤵Binafsi Nafurahi Tshekedi afurushwe kwani huyu ndiyo alikuwa amekazia sana ujenzi wa reli kufikia lobito harbour, Zambia - drc - lobito, mradi ule kwetu na mbaya Sana na adui, nadhani utajifia wenyewe!, °°°°Kila jambo linalotokea lina plan yake!, mimi nahitaji nchi yangu ipate mizigo mingi zaidi📌FAIDA UTAIONA M23 WAKISHAISHIKA KINSHASA.HIYO MILORI YENU NA SGR ITAKUWA INAISHIA MPAKANI.NA BAADAE MIZIGO ITAKUWA INAPITIA MOMBASA.
📌MIAKA NENDA RUDI MMEKUWA MKITEMBEA NA HISTORIA.WALIOKUWA NA HUO MOYO NA WAMENYOOKA WASHASTAAFU AKINA MWAKIBOLWA.NYIE ENDELEENI KUJITEKENYA MTACHEKA NA KUSAGA MENU.
📌FAIDA UTAIONA M23 WAKISHAISHIKA KINSHASA.HIYO MILORI YENU NA SGR ITAKUWA INAISHIA MPAKANI.NA BAADAE MIZIGO ITAKUWA INAPITIA MOMBASA.
📌MIAKA NENDA RUDI MMEKUWA MKITEMBEA NA HISTORIA.WALIOKUWA NA HUO MOYO NA WAMENYOOKA WASHASTAAFU AKINA MWAKIBOLWA.NYIE ENDELEENI KUJITEKENYA MTACHEKA NA KUSAGA MENU.
Tanzania inaangalia biashara zaidi, Rwanda inaangalia biashara zaidi,Rwanda washaanza kutumia mpaka silaha mpya za kivita kama drones na air defence system.Nyie mmekalia PROPAGANDA za enzi ya IDD AMIN ambapo kwa sasa mambo yamebadilika sana.Proxy wars ndio kila kitu mmejipangaje wazee😄😄
⤵Binafsi Nafurahi Tshekedi afurushwe kwani huyu ndiyo alikuwa amekazia sana ujenzi wa reli kufikia lobito harbour, Zambia - drc - lobito, mradi ule kwetu na mbaya Sana na adui, nadhani utajifia wenyewe!, °°°°Kila jambo linalotokea lina plan yake!, mimi nahitaji nchi yangu ipate mizigo mingi zaidi
Duh!!! Sijui nianzie wapi ila nakusamehe bure ikikupendeza niko chini ya miguu yako naomba ufute hii COMMENT.Unaliaibisha taifa.SGR haifiki Congo hivi sasa na tayari inalipa. SGR priority ni TZ huko kwingine ni ziada tu sio lazima. Jiulize Congo isingekuwepo TZ isingejenga SGR?
Nini kinafanya M23 wachague Mombasa over DSM? Kenya wamepeleka jeshi lao hadi M23 wapitishe mizigo Mombasa?
Biasahara ni ushindani Congo inaweza tumia port ya Beira, Luanda, DSM au Mombasa au wakajenga ya kwao wenyewe wakiamua. Hatuhitaji kuingilia internal affairs zao. Utawaingilia hadi lini? Kubwa jinga toka uhuru unamuacha ajifunze the hard way.
..eneo lenye matatizo na lisilotawalika ni Mashariki ya DRC.
..Na eneo hilo limeanza kuwa na matatizo baada ya Museveni na Kagame kuingia madarakani.
..Mobutu alikuwa mtawala mbovu, fisadi, muuwaji, lakini hakusababisha mauaji kama waliyosababisha Kagame, na Museveni.
..bila Kagame na Museveni kuacha kufadhili waasi wa Congo, msitegemee kama nchi hiyo itatawalika.
..Hakuna nchi iliyosimama huku majirani zake wanahifadhi na kufadhili waasi.
Kuna biashara gani tunafanya ambayo Rwanda hawezi kufanya.Yaani kinchi kama mkoa wa Moro kinashindana na ligiant kama Tz😂😂😂😂ilitakiwa Rwanda ishindane na Uganda au burundi.Land locked country inatutoa kamasi na bado mnajitutumua kuvimba😵💫😵💫😵💫😵💫Tanzania inaangalia biashara zaidi, Rwanda inaangalia biashara zaidi,
Duh!!! Sijui nianzie wapi ila nakusamehe bure ikikupendeza niko chini ya miguu yako naomba ufute hii COMMENT.Unaliaibisha taifa.
Hii yote ni kwasababu ya cheap PROPAGANDA NA KUPIKA DATA ndo imetufikisha hapa.Wewe umemezeshwa uongo na wewe ukauamini😬😬😬😬
View attachment 3243715
Congo DRC wamekuwa kubwa jinga kwa muda mrefu.
Nchi haina umoja
Nchi ni tajiri sana
Nchi haina jeshi hata la watu laki moja
Na majenerali wa Congo ni wa kukata viuno tu, hawawezi hata kujitetea mbele ya vita.
Nchi nzima hii wao ni mayenu tu na kukata viuno
Cha ajabu huyu Rais wao Tsishekedi hajui aanzie wapi kukabiliana na wapinzani wake toka Rwanda.
PK anamnyanyasa kubwa jinga, DRC -Congo.
Hili kubwa jinga limebaki kulia lia kuomba msaada wa kijeshi toka kokote duniane, wao furaha yao ni mayenu tu.
DRC Congo inakera, tena sana.
Ingekuwa ni hapa Tz , hata mimi na umri wangu ningeenda fronti, kama miaka ya kumg'oa Nduli Idi Amin.
Kweli nchi bila umoja inanyanyasika.
Akafanye nini kwa wajinga,acha wauane maana wao ubaguzi ndiyo mtaji wao.Mkuu mbona unaongea uwongo DRC wale ni binadamu kama walioko hapa Tanzania na, binadamu wote ni sawa, kule kuna wadogo zako wakike na wakiume wanakufa sababu yakukosa mtu wakujitolea kama wewe kwenda kuwapigania... Kama unania nenda sasa kakae mtasi wa mbele kuliko kuomba vita ambayo hutaiweza
Hizi ndo siasa za Uongo vipi unapajua Mwadui shinyangaKongo unahitaji serikali ya Majimbo ... Haiwezekani maeneno Tajiri yapo mbali sana na hakuna maendeleo lakini Kinshasa inatajirika na kupata maendeleo.. Congo DRC inahitaji utawala style ya USA kila jimbo kujitegemea linchi likubwa sana
Vita ya Uganda Tz ilibebwa sana kiinteligencia na USA na UK.Hili lipo wazi na halisemwi😄😄😄Ile habari ya kudaka misaada ya Gadafi kwenda kwa Amini hiyo sio akili za mtu mweusi bhana hiyo tunajua🤗🤗🤗Hizo ni cheap excuses. Congo ijenge uwezo wa kujilinda na kujiendesha kama haiwezi igawanye nchi.
Idd Amin alipoitishia TZ Nyerere alimfanya nini? Alitoa cheap excuses kama hizo? Congo akiendelea kuwa kubwa jinga kila siku analalamikia wengine tu na kutaka wengine wamsaidie ataendelea kulia miaka yote.
Jiografia ya Kongo inalazimisha kutumia bandari zote, pia ni ghali mno kwa Meli kutoka China kwenda lobito, cost zake zinakuwa juu mno...Sgr toka Mombasa - Uganda - Rwanda - DRC ni tishio kubwa zaidi kwa Tanzania kuliko reli inayotoka Lobito.
..pia tayari kuna reli toka Lobito kwenda DRC kwa hiyo tujizatiti katika kushindana kibiashara na sio kivita.
Nenda kasome maazimio ya ujenzi wa SGR utapata kila kitu tatu ndugu za wa kitanzania hampendi kusoma.Someni mpate maarifa.Kuja kuleta ubishani hapa na fact za kwenye vijiwe vya gahawa ni aibu ujue😀Sema wewe ukweli maana hii nchi kila mtu ana ukweli wake source "trust me bro".
Vita ya Uganda Tz ilibebwa sana kiinteligencia na USA na UK.Hili lipo wazi na halisemwi😄😄😄Ile habari ya kudaka misaada ya Gadafi kwenda kwa Amini hiyo sio akili za mtu mweusi bhana hiyo tunajua🤗🤗🤗
Sasaivi mtapigwa kama ngoma mkisema muingie mtu bee🤣🤣🤣
Nenda kasome maazimio ya ujenzi wa SGR utapata kila kitu tatu ndugu za wa kitanzania hampendi kusoma.Someni mpate maarifa.Kuja kuleta ubishani hapa na fact za kwenye vijiwe vya gahawa ni aibu ujue😀
Ebu waeleze hawa wadanganyika wametopea kwenye PROPAGANDA vibaya sana😀😀😀.Watu wapewe passport watoke nje wakatoe tongotongo.Unakuta mtu anabisha mpaka mshipa wa kichwa unamsimami na anabishia vitu ambavyo hajawahi hata kuvuka mpaka🙌🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣inchi ngumu hii walahi!!!..Sgr toka Mombasa - Uganda - Rwanda - DRC ni tishio kubwa zaidi kwa Tanzania kuliko reli inayotoka Lobito.
..pia tayari kuna reli toka Lobito kwenda DRC kwa hiyo tujizatiti katika kushindana kibiashara na sio kivita.
Wewe unafikiri kuonyesha kisu chako hadharani ni ujanja?Rwanda washaanza kutumia mpaka silaha mpya za kivita kama drones na air defence system.Nyie mmekalia PROPAGANDA za enzi ya IDD AMIN ambapo kwa sasa mambo yamebadilika sana.Proxy wars ndio kila kitu mmejipangaje wazee😄😄