Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Kwanini kuwe na haja ya kuambiwa ilihali hali halisi inajionesha?

Dhana ya "mungu kasema kashindwa kuyaondoa" kwangu bado inatatiza kwasababu nitakudai uthibitisho wa kauli hiyo

katika yale magonjwa ambayo yametafutiwa suluhu na ambayo bado hayajatafutiwa suluhu, unaweza kuthibitisha mungu kabla ya ya chanjo kupatikana mungu alisema kua atayaondoa au kutoyaondoa hayo magonjwa?

Kuna nukuu yeyote ambayo unaweza kunipa ikionesha mungu amesema anaweza kuuondoa ukimwi ambao unazaidi ya mika 30 hapa duniani?





Point nyingine ni kwamba uwepo wa waumini katika sayansi haimaanishi kua wanatumia dini katika kutekeleza majukumu yao ya kisayansi.

Ingekua kweli maombi ya watu wadini hufanya kazi kwa namna ambavyo wamekua wakihubiri madhabahuni. Basi hata hao wanasayansi wasinge thubutu kuhangaika kutafuta chanjo ya magonjwa. Kwasababu mambo yangekua rahisi tu kama ukiomba dawa inapatikana kwa muujiza wa mungu



It's Scars
Hali halisi inajionesha vp? Unatakiwa utoe ushahidi kwamba Mungu anataka kuondoa magonjwa ila anashindwa wakati anadai ana uwezo wote au utupe ushahidi kwamba Mungu alitaka kuumba ulimwengu ambao hakutakuwa na magonjwa na mabalaa ila alishindwa,hapo ndio tutahoji madai ya Mungu kuwa na uwezo wote wakati kuna mambo yanamshinda. Sasa wewe unakupuruka kusema dunia ina mabalaa halafu et mbona tunaambiwa Mungu ana uwezo wote!

Huku kushindanisha dini na sayansi ni ujinga wenu lakini dini haifanyi kazi za sayansi mpaka tushindanishe,mbona hamsindanishi dini na tiba za asili au na mambo mengine?
Maisha yana mambo mengi yakiwemo hayo masuala ya tiba,sayansi na mengineyo na yote hayo yanafanywa na watu wenye dini na wasiokuwa na dini. Tatizo hapa ni kama vile dini ni kikundi cha watu fulani kimejitenga na jamii hakujihusishi na mambo ya ulimwengu.

Na ndiyo maana nakwambia hata huko kwenye sayansi wako watu wa dini,kwenye tiba tofauti tofauti wako watu wa dini kila sehemu watu wa dini wapo.
 
Masahihisho madogo : Mashehe na wachungaji walipata ukimwi wanachukua ARV bila kificho chochote , binafsi ninayo majina na ushahidi wa wazi wa watu hao kutumia dawa waziwazi , maombi wala ubani havikuwasaidia chochote
 
Poleni na majukumu ya hapa na pale sasa na kale yanayowafanya msilale, niende moja kwa moja kwenye mada husika.

Kama kweli maombi yanafanya kazi kwa namna ambayo tunaaminishwa, kwanini viongozi wa dini wameungana kutekeleza agizo la kuvunja mirundamano ikiwemo mijumuiko ya kiibada ili kuikwepa korona?

Kama walifanya maombi kwa lengo la kuizuia corona isiingie nchini, lakini tunaona corona imeingia, nini kinachokufanya uwaamini kua maombi ya sasa wanayojipanga kuyafanya yataitokomeza corona mazima?

Haya mambo probably si magumu ila ugumu tunauweka sisi kwa kuweka mizaha kwa kutumia kivuli cha dini.

Hivi mfano hawa madaktari wetu na sekta ya afya kiujumla wangejumuika kwenye maombi kwa kuamini kwamba maombi ni njia madhubuti ya kutatua matatizo kama haya katika kila janga la ugonjwa. Kama ambavyo watu wa dini wamekua wakituhimiza kufanya, je tungefanikisha kutibu gonjwa lipi kwa maombi?

Ngoma inaingia tanzania wabongo tulijitia wachamungu sana kua tumepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na n'ge hivyo ukimwi kwetu sio tishio.

Lakini tunachokiona mpaka saizi mapasta na masheikh wanachukua vidonge kwa siri sana. Lakini pamoja na hayo hatuwaoni wakijisalimisha kua wameshindwa kudhibiti ukimwi kwa maombi yao.

Mungu ambaye tunamtolea sadaka kila siku halafu katika matatizo kama haya kajichimbia tu wala hatuoni juhudi zake, huyu si mungu wakuabudiwa. Ni sawa na rafiki mnafki ambaye kwenye matanuzi mkiwa viwanja mnakua naye karibu sana halafu ikatokea siku umeishiwa anakukimbia.

Wahubiri wanahubiri huku wamevaa face mask at the same time wanasema damu ya yesu ni tiba ya kila kitu. What a joke but i ain't laughing?

Tunaambiwa ukiwa na imani waweza kuamisha hadi milima lakini sikutegemea kuona vatican, mekka ziwe kipaumbele kukataza watu wasiende kwao kwa hofu ya korona.

Mungu muweza wa yote yuko wapi mbona kawasusia msala madaktari wetu halafu yeye amesizi tu eti mpaka aamshwe kwa maombi?

Kwanini mungu mjuzi wa yote na muweza wa yote ahitaji maombi?

Mbona kwenye zile hadithi za gharika na sodoma na gomora huyu mungu ali-respond haraka sana kwanini asifanye hivyo kwenye janga hili linalomaliza ndugu zetu na kudhoofisha hali ya uchumi wetu?

Hivi kweli mungu huyu yupo kweli? Maana viongozi wetu wa dini nao wanaathirika mpaka inafikia hatua italy makanisa yameshehena maiti inamaana yeye haoni?

Kwanini Mungu ahitaji maombi yetu ili aweze ku-solve matatizo yetu, ilihali anaelewa hitaji la moyo wetu hata kabla hatujasema?

====

Chukua tahadhari kwa kufuata angalizo lililotolewa na mamlaka ya afya Corona haidhibitiwi kwa maombi bali kwa kuepuka makatazo ambayo yameainishwa na shirika la afya

Ndugu yangu, wewe ulimpangia Mungu kukuleta wewe hapa duniani? Mbona haya yalikuwa maamuzi yake? Na uliwahi kujiuliza kwa nini alikuleta? Kama ambavyo hukumpangia kukuleta hapa duniani,

Vivyo hivyo huwezi kumpangia muda wa kutekeleza jambo lolote linalohusiana na maisha ya binadamu, iwe dhiki, faraja, magonjwa, n.k. Usiongee kama hayawani ambao hawajuwi uwepo wao umetokana na nini. Mungu hajatusahau, tupo naye muda wote, tuombe na kusali bila kuchoka. Mungu akujalie roho wake, apate kukuongoza katika njia zake.
 
Mleta mada ngoja nikufungue macho kidogo tu.
MUNGU maana yake ni NGUVU (POWER)
NGUVU (POWER) unaweza ukaendelea kuifafanua katika pande mbili
1.NGUVU Hasi (NEGATIVE POWER)
2.NGUVU Chanya (POSITIVE POWER)
zote mbili zinatengeneza jina MUNGU(POWER)
Nguvu hizi zote ni za manufaa kwa mwanadamu.
Zinashuka kutokana na matendo na Imani yako.
Kwanza ulitakiwa ufafaune hiyo nguvu chanya ina sifa za uwezo, wote, ujuzi wote na upendo wote au ni kinyume chake?

Kama hiyo nguvu chanya ni mungu basi pia ulitakiwa kufafanua hiyo nguvu hasi imetokana na nini, yaani nini chanzo cha hiyo nguvu hasi mpaka ikawepo?

Kama nguvu hasi (shetani) imeumbwa na mungu wako (nguvu chanya) mwenye utimilifu wa hizo sifa nilizozitaja hapo juu inatakiwa uthibitishe ni kivipi mungu mwenye uwezo wote aumbe kiumbe chenye uovu?


NGUVU hizi ni jumuiko la nguvu zote ulizowai kujua au kusikia Mfano,nguvu ya kusikia,nguvu ya kunena,nguvu ya uumbaji,nguvu ya kufufua,nguvu ya kifo na nyingine nyingi sana.

Imani na matendo yako yakiwa mema,huitaji hata kuubiriwa NGUVU CHANYA itakushukia , hutaona mateso yoyote kwa sababu ya kutawaliwa na Positive Power ambayo sehemu yake ni Amani,Afya na Mafanikio.

Imani ni nini?

Pili matendo mema unayapimaje?

Mfano mdogo waislamu kwao kuoa wake wanne kwao ni tendo jema, lakini ukija kwa wakristo jambo hilo sio jema.

Sasa ikatokea mtu amefanya jambo hilo utatumia dhana gani kuhalalisha au kubatilisha kua ni jema au sio jema?

Upi mzani sahihi kupima jema au lisilo jema?

Imani na Matendo yako yakiwa ni ya giza,huitaji tena kuubiriwa,NGUVU hasi itashuka tu na matokeo yake ndio yatakufungua ufahamu kwamba uligusa kwa imani na matendo sehemu inayovuta nguvu hasi.
Skiliza wewe

Hayo matendo ya giza kimsingi wa dini yenu siwezi nikayafanya bila kushawishiwa na huyo shetani. Infact ni kua kila jambo baya linapotendeka basi kwa namna yeyote ile shetani lazima ahusike.

Vile vile mungu akitaka mimi nisifanye hayo mambo ya giza anaweza kwasababu uwezo wote anao na sababu yakufanya hiyo anayo kwasababu yeye ni mwenye upendo wote.

Lakini hata hivyo ukiangalia hiyo kazi ya shetani kama ni kosa ambalo linamchukiza mungu basi tutahitimisha kwa kusema mungu ni mnafki. Kivipi? Kwasababu kabla hajamuumba shetani, huyu mungu kwa uwezo na ujuzi wake wote aliweza kujua impact itakayofanywa na huyi shetani siku za usoni. Inamaana mpaka anafikia hatua anamkamilisha kumuumba shetani, mungu alikwisha jua shetani atachoenda kukifanya.

Sasa huyu mungu kujilalamisha kwamba hapendi matendo anayoyafanya shetani huoni kwamba kunamfanya mungu aonekane mnafiki?

Haya tuseme kwamba ni kweli anachukizwa na uovu wa shetani, sasa anachukua uamuzi upi ku-fix hilo tatizo? Mbona uwezo wote anao kulikua na haja ya yeye hata ku-delay?

Kama mungu mwenye uwezo wote na ujuzi wote anaishia kunung'unika tu pasipo kufanya chochote kivipi ategemee sisi tumuepuke shetani?

Kwa kutafakari Nguvu zilizoundwa na Mwanadamu,Nguvu ya umeme imegawanyika hivyohivyo,kutoka na jinsi utakavyoitumia.Ukiutumia umeme kwa kufuata masharti na vyombo husika utafurahia nguvu chanya ya umeme,ukienda kwenye nyaya na kutaka kuutumia bila vifaa maalumu utafurahia nguvu chanya.

Nguvu ya umeme uliotengenezwa na binadamu bado sio efficiently kwasababu malengo yao hayaendi kama wanavyotaka kwasababu hawana uwezo wote.

Aliyetengeneza umeme alikua hana uwezo wote wa kuufanya umeme usiweze kudhuru watu au miundombinu ya watu.

Huyu mungu ambaye anasifa ya "neno" yani akitamkacho ndicho kinachoenda kufanyika alikua na uwezo wa kusema "uovu usiwepo" na ikawa kweli uovu ukatokomea. Kwasababu kila kitu kipo chini yake


Corona na Magonjwa mengine ni matokeo ya imani na matendo hasi ya mwanadamu.

Na mataokeo hasi yamesababishwa na mungu kwa kosa alilolifanya kumuumba shetani ambaye anatushinikiza sisi kufanya uovu.

Utagundua baada ya nguvu hii kushuka,Matendo hasi yamezimwa kwa muda ingawa ni kwa kutumia sheria lakini pia watu wamejua kuna MUNGU.Juudi za kipindi kifupi za kuzima uhasi,zimeanza kuvuta Nguvu Chanya,amani na utulivu baadhi ya miji imeanza kurejea.
Hakuna muda sahihi wa mungu kudhihirisha ukuu wake kama kipindi hiki cha matatizo.

Hiki kipindi ndio kipindi ambacho mungu angeibuka warrior, lakini imekua tofauti yani kipindi hiki tumegundua ni namna gani hizi dini zimekua zikituongopea kuhusu mungu

Kwanini umtolee sadaka halafu kwenye matatizo kama haya akuache?

Mekka na vatican wanapiga hela za kuhiji lakini kipindi hiki wote wamefunga milango hawawataki muende.


Shetani hajawai kuumba nguvu yoyote japo yeye anatafasiriwa kama ndio Nguvu Hasi.Shetani ni matokeo ya nguvu ya uumbaji kama ilivyo kwa mwanadamu.Tofauti yake ni kwamba ndani yake amewekewa nguvu fulani zilizo nje ya uwezo wa mwanadamu na hajapewa mwili kama mwanadamu kabaki katika roho kitu kinachompa uwezo mkubwa wa kutumia nguvu ndogo iliyowekwa ndani yake ya ushawishi,na kujigeuza na kujigawanya.

Kwanini ubaya wa shetani alaimiwe shetani na sio mungu aliyemuumba shetani huku akijua kua atakuja kufanya ubaya?

Shetani yeye anatafuta kujiumba ili aitwe NGUVU lakini ameshindwa.Kwa kutumia ushawishi wake ambao ndio furaha yake,ameweza kushawishi wanadamu kugusa kwa imani na matendo sehemu zinazovuta NGUVU hasi.Kumbuka ukishawishiwa kushika nyaya za umeme utavuta kifo,fuata maelekezo utafurahia umeme.

Shetani kushindwa kufanya matakwa yake ni sawa kwasababu aliyemuumba hakumpa uwezo wote.

Sasa mungu muweza wa yote lakini bado ulimwengu umezagaa uovu inakuaje anashindwa kudhibiti haya mabaya?

Kazi ya wachungaji na Dini ni kukutadharisha usiguse nyaya za umeme .

Ndio maana wanatuhamasisha kuvaa mask

Nguvu ya kifo ikishuka kwa majina tofauti tofauti kama Corona,tuangalie imani na matendo yetu kama yapo sawa.Uzuri nguvu hasi ikishuka kama hii ya Corona inaweza kukusanya na wale ambao matendo yao na imani yao ni nzuri ila kwa sababu ulimwengu huu si makao yetu ilo halisumbui kwa sababu Nguvu ya ufufuko itafanya kazi yake ambayo itaelekeza ni nani wa kufufuka na kuendelea kuwa na nguvu ya Uzima na ninani wa kufa milele.
Watu wote wangejua kwa hakika kua huu ulimwengu sio makao yetu. Na kuna maisha baada ya hapa ambayo ni mazuri kuliko haya ya hapa, basi tusingeona maka na vatican wakipiga marufuku watu kwenda kwao kwa hofu ya kufa kwa corona

Hivyo ni kukumbushe mleta mada upo jinsi ulivyo kwa sababu kuna nguvu imekufunika,angalia imani yako na matendo yako yasivute Nguvu hasi, hakuna Dini wala mbadala wa Dini utakaokuokoa bali imani yako na matendo yako katika njia iliyofafanuliwa na vitabu vitakatifu.


Sent using Jamii Forums mobile app

Vitabu vitakatifu wewe unajuaje kua vimesema ukweli?

It's Scars
 
Mungu haonekani kwa macho, "nyie wapaganinndio mnasema mara kamtokea fatima, mara yupo chanika, mara kamtokea sijui babu mtakatifu nani? yupo na alikuwepo na ataendelea kuwako
Sijasema nataka kumuona mungu kwa macho, makinika vizuri na contents zangu

It's Scars
 
Poleni na majukumu ya hapa na pale sasa na kale yanayowafanya msilale, niende moja kwa moja kwenye mada husika.

Kama kweli maombi yanafanya kazi kwa namna ambayo tunaaminishwa, kwanini viongozi wa dini wameungana kutekeleza agizo la kuvunja mirundamano ikiwemo mijumuiko ya kiibada ili kuikwepa korona?

Kama walifanya maombi kwa lengo la kuizuia corona isiingie nchini, lakini tunaona corona imeingia, nini kinachokufanya uwaamini kua maombi ya sasa wanayojipanga kuyafanya yataitokomeza corona mazima?

Haya mambo probably si magumu ila ugumu tunauweka sisi kwa kuweka mizaha kwa kutumia kivuli cha dini.

Hivi mfano hawa madaktari wetu na sekta ya afya kiujumla wangejumuika kwenye maombi kwa kuamini kwamba maombi ni njia madhubuti ya kutatua matatizo kama haya katika kila janga la ugonjwa. Kama ambavyo watu wa dini wamekua wakituhimiza kufanya, je tungefanikisha kutibu gonjwa lipi kwa maombi?

Ngoma inaingia tanzania wabongo tulijitia wachamungu sana kua tumepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na n'ge hivyo ukimwi kwetu sio tishio.

Lakini tunachokiona mpaka saizi mapasta na masheikh wanachukua vidonge kwa siri sana. Lakini pamoja na hayo hatuwaoni wakijisalimisha kua wameshindwa kudhibiti ukimwi kwa maombi yao.

Mungu ambaye tunamtolea sadaka kila siku halafu katika matatizo kama haya kajichimbia tu wala hatuoni juhudi zake, huyu si mungu wakuabudiwa. Ni sawa na rafiki mnafki ambaye kwenye matanuzi mkiwa viwanja mnakua naye karibu sana halafu ikatokea siku umeishiwa anakukimbia.

Wahubiri wanahubiri huku wamevaa face mask at the same time wanasema damu ya yesu ni tiba ya kila kitu. What a joke but i ain't laughing?

Tunaambiwa ukiwa na imani waweza kuamisha hadi milima lakini sikutegemea kuona vatican, mekka ziwe kipaumbele kukataza watu wasiende kwao kwa hofu ya korona.

Mungu muweza wa yote yuko wapi mbona kawasusia msala madaktari wetu halafu yeye amesizi tu eti mpaka aamshwe kwa maombi?

Kwanini mungu mjuzi wa yote na muweza wa yote ahitaji maombi?

Mbona kwenye zile hadithi za gharika na sodoma na gomora huyu mungu ali-respond haraka sana kwanini asifanye hivyo kwenye janga hili linalomaliza ndugu zetu na kudhoofisha hali ya uchumi wetu?

Hivi kweli mungu huyu yupo kweli? Maana viongozi wetu wa dini nao wanaathirika mpaka inafikia hatua italy makanisa yameshehena maiti inamaana yeye haoni?

Kwanini Mungu ahitaji maombi yetu ili aweze ku-solve matatizo yetu, ilihali anaelewa hitaji la moyo wetu hata kabla hatujasema?

====

Chukua tahadhari kwa kufuata angalizo lililotolewa na mamlaka ya afya Corona haidhibitiwi kwa maombi bali kwa kuepuka makatazo ambayo yameainishwa na shirika la afya
 

Attachments

  • FCAA19B8-2628-4B92-B0FF-5AB820F2603E.jpeg
    FCAA19B8-2628-4B92-B0FF-5AB820F2603E.jpeg
    70.8 KB · Views: 3
Masahihisho madogo : Mashehe na wachungaji walipata ukimwi wanachukua ARV bila kificho chochote , binafsi ninayo majina na ushahidi wa wazi wa watu hao kutumia dawa waziwazi , maombi wala ubani havikuwasaidia chochote
Hakika

It's Scars
 
Ndugu yangu, wewe ulimpangia Mungu kukuleta wewe hapa duniani? Mbona haya yalikuwa maamuzi yake? Na uliwahi kujiuliza kwa nini alikuleta? Kama ambavyo hukumpangia kukuleta hapa duniani, vivyo hivyo huwezi kumpangia muda wa kutekeleza jambo lolote linalohusiana na maisha ya binadamu, iwe dhiki, faraja, magonjwa, n.k. Usiongee kama hayawani ambao hawajuwi uwepo wao umetokana na nini. Mungu hajatusahau, tupo naye muda wote, tuombe na kusali bila kuchoka. Mungu akujalie roho wake, apate kukuongoza katika njia zake.

Kwani mimi nimeletwa na mungu au juhudi za wazazi wangu?

Unanilazimisha niwakane wazazi wangu kisa mungu ambaye ni hadithi tu?

Inamaana wewe hujazaliwa na mama yako?



It's Scars
 
Kwani mimi nimeletwa na mungu au juhudi za wazazi wangu?

Unanilazimisha niwakane wazazi wangu kisa mungu ambaye ni hadithi tu?

Inamaana wewe hujazaliwa na mama yako?



It's Scars

Kwa maelezo haya uliyoandika, sitakuwa na msaada mwingine kwako zaidi ya kukuombea kwa Mungu.
 
Hali halisi inajionesha vp?
Hali halisi inajionesha kua hakuna ugonjwa ambao umefanikiwa kupata suluhu kwa njia ya maombi

Unatakiwa utoe ushahidi kwamba Mungu anataka kuondoa magonjwa ila anashindwa wakati anadai ana uwezo wote au utupe ushahidi kwamba Mungu alitaka kuumba ulimwengu ambao hakutakuwa na magonjwa na mabalaa ila alishindwa,hapo ndio tutahoji madai ya Mungu kuwa na uwezo wote wakati kuna mambo yanamshinda. Sasa wewe unakupuruka kusema dunia ina mabalaa halafu et mbona tunaambiwa Mungu ana uwezo wote!
Uwepo wa haya magonjwa yanayoua waumini mpaka viongozi wa dini ni ushahidi tosha kua mungu hayupo. Na dhana nzima ya dini ni uongo kama jinsi ambavyo kichwa cha mada kinavyosadifu


Huku kushindanisha dini na sayansi ni ujinga wenu lakini dini haifanyi kazi za sayansi mpaka tushindanishe,mbona hamsindanishi dini na tiba za asili au na mambo mengine?
Wapi nimeshindanisha dini na sayansi?


Maisha yana mambo mengi yakiwemo hayo masuala ya tiba,sayansi na mengineyo na yote hayo yanafanywa na watu wenye dini na wasiokuwa na dini. Tatizo hapa ni kama vile dini ni kikundi cha watu fulani kimejitenga na jamii hakujihusishi na mambo ya ulimwengu.
Wewe kalubati kua mwelewe shirikisha ubongo

Nimekuuliza hao wanasayansi ambao wanadini wanatumia njia gani kutafuta tiba dhidi ya magonjwa?

Hao wanasayansi Wanatumia maombi na kufunga ambavyo dini zimekua zikisisitiza tufanye pale ambapo tutapopata shida ?

Na ndiyo maana nakwambia hata huko kwenye sayansi wako watu wa dini,kwenye tiba tofauti tofauti wako watu wa dini kila sehemu watu wa dini wapo.
Wewe sidhani kama nacho kiandika unakisoma na kukielewa


It's Scars
 
Mmekaa,mnajaribu kusumbuka na mtu ambae yupo frustrated na kama walivyo wengi kajaribu kutafuta wa kumlaumu. Mungu halaumiwi na wala uwezo wake hauwezi chunguzwa.
Kuna kipindi alisema waache wapumbavu waendelee na upumbavu wao. Kuna kipindi wana wa Israel aliwaacha waendelee na njia zao. Na pale walipomrudia aliwaokoa.
Huyu anaemdihaki Mungu hapa jukwaani,wakati wake utafika pia. Atatambua ujinga wake na kumrudia Mungu. Siku akija soma haya anayoandika kwa upofu atajuta sana.
Mungu ni wa haki,hafanyi mambo kwa matakwa ya wanadamu.

Huyu Scar anahitaji kumuombea,upofu umtoke. kubishana nae kwa hali aliyonayo ni kupoteza muda!!
 
Kwa maelezo haya uliyoandika, sitakuwa na msaada mwingine kwako zaidi ya kukuombea kwa Mungu.
Maombi yako hayatakua na msaada wowote kama wenzako walivyogundua kua maombi hayana msaada wowote katika harakati za kuzuia corona, na njia pekee ya kuzia ni kupiga marufuku msiende kuhiji

It's Scars
 
Poleni na majukumu ya hapa na pale sasa na kale yanayowafanya msilale, niende moja kwa moja kwenye mada husika.

Kama kweli maombi yanafanya kazi kwa namna ambayo tunaaminishwa, kwanini viongozi wa dini wameungana kutekeleza agizo la kuvunja mirundamano ikiwemo mijumuiko ya kiibada ili kuikwepa korona?

Kama walifanya maombi kwa lengo la kuizuia corona isiingie nchini, lakini tunaona corona imeingia, nini kinachokufanya uwaamini kua maombi ya sasa wanayojipanga kuyafanya yataitokomeza corona mazima?

Haya mambo probably si magumu ila ugumu tunauweka sisi kwa kuweka mizaha kwa kutumia kivuli cha dini.

Hivi mfano hawa madaktari wetu na sekta ya afya kiujumla wangejumuika kwenye maombi kwa kuamini kwamba maombi ni njia madhubuti ya kutatua matatizo kama haya katika kila janga la ugonjwa. Kama ambavyo watu wa dini wamekua wakituhimiza kufanya, je tungefanikisha kutibu gonjwa lipi kwa maombi?

Ngoma inaingia tanzania wabongo tulijitia wachamungu sana kua tumepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na n'ge hivyo ukimwi kwetu sio tishio.

Lakini tunachokiona mpaka saizi mapasta na masheikh wanachukua vidonge kwa siri sana. Lakini pamoja na hayo hatuwaoni wakijisalimisha kua wameshindwa kudhibiti ukimwi kwa maombi yao.

Mungu ambaye tunamtolea sadaka kila siku halafu katika matatizo kama haya kajichimbia tu wala hatuoni juhudi zake, huyu si mungu wakuabudiwa. Ni sawa na rafiki mnafki ambaye kwenye matanuzi mkiwa viwanja mnakua naye karibu sana halafu ikatokea siku umeishiwa anakukimbia.

Wahubiri wanahubiri huku wamevaa face mask at the same time wanasema damu ya yesu ni tiba ya kila kitu. What a joke but i ain't laughing?

Tunaambiwa ukiwa na imani waweza kuamisha hadi milima lakini sikutegemea kuona vatican, mekka ziwe kipaumbele kukataza watu wasiende kwao kwa hofu ya korona.

Mungu muweza wa yote yuko wapi mbona kawasusia msala madaktari wetu halafu yeye amesizi tu eti mpaka aamshwe kwa maombi?

Kwanini mungu mjuzi wa yote na muweza wa yote ahitaji maombi?

Mbona kwenye zile hadithi za gharika na sodoma na gomora huyu mungu ali-respond haraka sana kwanini asifanye hivyo kwenye janga hili linalomaliza ndugu zetu na kudhoofisha hali ya uchumi wetu?

Hivi kweli mungu huyu yupo kweli? Maana viongozi wetu wa dini nao wanaathirika mpaka inafikia hatua italy makanisa yameshehena maiti inamaana yeye haoni?

Kwanini Mungu ahitaji maombi yetu ili aweze ku-solve matatizo yetu, ilihali anaelewa hitaji la moyo wetu hata kabla hatujasema?

====

Chukua tahadhari kwa kufuata angalizo lililotolewa na mamlaka ya afya Corona haidhibitiwi kwa maombi bali kwa kuepuka makatazo ambayo yameainishwa na shirika la afya
Ujumbe murua kabisa mkuu..Mungu yupo atajibu tu..umeongea kwa hisia sana..Mungu akutue nguvu kipindi hili cha Kwaresima,nimehisi kitu fulani jipe Moyo yana.mwisho...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom