Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Hali halisi inajionesha kua hakuna ugonjwa ambao umefanikiwa kupata suluhu kwa njia ya maombi


Uwepo wa haya magonjwa yanayoua waumini mpaka viongozi wa dini ni ushahidi tosha kua mungu hayupo. Na dhana nzima ya dini ni uongo kama jinsi ambavyo kichwa cha mada kinavyosadifu



Wapi nimeshindanisha dini na sayansi?



Wewe kalubati kua mwelewe shirikisha ubongo

Nimekuuliza hao wanasayansi ambao wanadini wanatumia njia gani kutafuta tiba dhidi ya magonjwa?

Hao wanasayansi Wanatumia maombi na kufunga ambavyo dini zimekua zikisisitiza tufanye pale ambapo tutapopata shida ?


Wewe sidhani kama nacho kiandika unakisoma na kukielewa


It's Scars
Matatizo yote huwa yanatatuliwa na sayansi au kwamba maradhi yote hutibiwa na hospitali ama tiba za kisayansi?

Mfano hawa watu wenye matatizo ya mapepo(ambayo wataalamu husema ni matatizo ya magonjwa ya akili) mbona tunaona hawa watu hupona haya maradhi kwa kuombewa dua pasina kupelekwa hospitali na wanapona.

Huo mfano ambao hauna tabu kila mtu anajua ila ukija huku mitaani utakuta kuna shuhuda za watu waliyotibiwa maradhi mbalimbali kwa kutumia dua.
 
Maombi yako hayatakua na msaada wowote kama wenzako walivyogundua kua maombi hayana msaada wowote katika harakati za kuzuia corona, na njia pekee ya kuzia ni kupiga marufuku msiende kuhiji

It's Scars
Hata huko kuzuia watu kwenda kuhiji kutokana hali ilivyo ni mafundisho kutoka kwenye dini,ndio maana nakwambia wewe unataka kuifanya dini kama sijui kidubwasha gani vile cha kufikirika.
 
Matatizo yote huwa yanatatuliwa na sayansi au kwamba maradhi yote hutibiwa na hospitali ama tiba za kisayansi?

Mfano hawa watu wenye matatizo ya mapepo(ambayo wataalamu husema ni matatizo ya magonjwa ya akili) mbona tunaona hawa watu hupona haya maradhi kwa kuombewa dua pasina kupelekwa hospitali na wanapona.

Huo mfano ambao hauna tabu kila mtu anajua ila ukija huku mitaani utakuta kuna shuhuda za watu waliyotibiwa maradhi mbalimbali kwa kutumia dua.

Mapepo ni nini?

Wenye matatizo ya ugonjwa wa akili mbona wako milembe kwanini hawakupelekwa misikitini au makanisani kama unachokisema wewe ni kweli?

It's Scars
 
Kwanza nakushukuru, huyo uliyemtaja hapo siyo yule tunaye Mwabudu.

Sisi tunayeMwabudu anaitwa Mungu ambaye ni Muweza wa Yote.

Huyo wako aitwaye mungu siyo Muweza wayote.

Kila Jambo, Kila ugonjwa Kila kitu Mungu wetu anakileta duniani kwa dhamira yake.

Jambo uliloliandika kwa ukweli ni lile ambalo "Mkiwa na imani " Basi haya unayoyaona ni mahangaiko ya kizazi chetu kwa kukosa Imani.

Mungu hatendi kazi zake Kama tunavyofikiria sisi. Tuko kwenye shida na dhiki kubwa Tumkimbilie yy naye atatuponya.

Majaribu haya yasikufanye ukakufuru, maonyo na maelekezo ya serikali na wataalamu wa afya vyote hivyo ni ufahamu wa akili toka kwa Mungu siyo fahari yao.

Kudharau sauti ya serikali Mungu atakuadhibu na utalia ukisema amekuacha.

Virusi vimeumbwa na Mungu, tiba na tahadhali Mungu amewapa wanadamu.
 
Neno 'MUNGU' lilitoka wapi kwani...? 1;


Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu ni neno lililotokana na lugha ya kiswahili nadhani lugha ya kiswahili unaielewa chimbuko lake

Lakini hata hivyo uwepo wa "neno" haimaanishi hicho kitu kipo kweli

Mfano tuna neno Spiderman, batman, Superman, unicorn, zombies, vampires ghost,nk

Uwepo wa hayo majina haimaanishi kua character wa hayo majina wapo kihalisia

It's Scars
 
Poleni na majukumu ya hapa na pale sasa na kale yanayowafanya msilale, niende moja kwa moja kwenye mada husika.

Kama kweli maombi yanafanya kazi kwa namna ambayo tunaaminishwa, kwanini viongozi wa dini wameungana kutekeleza agizo la kuvunja mirundamano ikiwemo mijumuiko ya kiibada ili kuikwepa korona?

Kama walifanya maombi kwa lengo la kuizuia corona isiingie nchini, lakini tunaona corona imeingia, nini kinachokufanya uwaamini kua maombi ya sasa wanayojipanga kuyafanya yataitokomeza corona mazima?

Haya mambo probably si magumu ila ugumu tunauweka sisi kwa kuweka mizaha kwa kutumia kivuli cha dini.

Hivi mfano hawa madaktari wetu na sekta ya afya kiujumla wangejumuika kwenye maombi kwa kuamini kwamba maombi ni njia madhubuti ya kutatua matatizo kama haya katika kila janga la ugonjwa. Kama ambavyo watu wa dini wamekua wakituhimiza kufanya, je tungefanikisha kutibu gonjwa lipi kwa maombi?

Ngoma inaingia tanzania wabongo tulijitia wachamungu sana kua tumepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na n'ge hivyo ukimwi kwetu sio tishio.

Lakini tunachokiona mpaka saizi mapasta na masheikh wanachukua vidonge kwa siri sana. Lakini pamoja na hayo hatuwaoni wakijisalimisha kua wameshindwa kudhibiti ukimwi kwa maombi yao.

Mungu ambaye tunamtolea sadaka kila siku halafu katika matatizo kama haya kajichimbia tu wala hatuoni juhudi zake, huyu si mungu wakuabudiwa. Ni sawa na rafiki mnafki ambaye kwenye matanuzi mkiwa viwanja mnakua naye karibu sana halafu ikatokea siku umeishiwa anakukimbia.

Wahubiri wanahubiri huku wamevaa face mask at the same time wanasema damu ya yesu ni tiba ya kila kitu. What a joke but i ain't laughing?

Tunaambiwa ukiwa na imani waweza kuamisha hadi milima lakini sikutegemea kuona vatican, mekka ziwe kipaumbele kukataza watu wasiende kwao kwa hofu ya korona.

Mungu muweza wa yote yuko wapi mbona kawasusia msala madaktari wetu halafu yeye amesizi tu eti mpaka aamshwe kwa maombi?

Kwanini mungu mjuzi wa yote na muweza wa yote ahitaji maombi?

Mbona kwenye zile hadithi za gharika na sodoma na gomora huyu mungu ali-respond haraka sana kwanini asifanye hivyo kwenye janga hili linalomaliza ndugu zetu na kudhoofisha hali ya uchumi wetu?

Hivi kweli mungu huyu yupo kweli? Maana viongozi wetu wa dini nao wanaathirika mpaka inafikia hatua italy makanisa yameshehena maiti inamaana yeye haoni?

Kwanini Mungu ahitaji maombi yetu ili aweze ku-solve matatizo yetu, ilihali anaelewa hitaji la moyo wetu hata kabla hatujasema?

====

Chukua tahadhari kwa kufuata angalizo lililotolewa na mamlaka ya afya Corona haidhibitiwi kwa maombi bali kwa kuepuka makatazo ambayo yameainishwa na shirika la afya
Umeamua ukufuru tu ili ujithibitishie side yako... bon voyage "

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza nakushukuru, huyo uliyemtaja hapo siyo yule tunaye Mwabudu.

Sisi tunayeMwabudu anaitwa Mungu ambaye ni Muweza wa Yote.

Huyo wako aitwaye mungu siyo Muweza wayote.

Kila Jambo, Kila ugonjwa Kila kitu Mungu wetu anakileta duniani kwa dhamira yake.

Jambo uliloliandika kwa ukweli ni lile ambalo "Mkiwa na imani " Basi haya unayoyaona ni mahangaiko ya kizazi chetu kwa kukosa Imani.

Mungu hatendi kazi zake Kama tunavyofikiria sisi. Tuko kwenye shida na dhiki kubwa Tumkimbilie yy naye atatuponya.

Majaribu haya yasikufanye ukakufuru, maonyo na maelekezo ya serikali na wataalamu wa afya vyote hivyo ni ufahamu wa akili toka kwa Mungu siyo fahari yao.

Kudharau sauti ya serikali Mungu atakuadhibu na utalia ukisema amekuacha.

Virusi vimeumbwa na Mungu, tiba na tahadhali Mungu amewapa wanadamu.
Capital letter zisikuchanganye, shabaha yangu iko pale pale

Kwanza inabidi uelezee ni Mungu gani ambaye unamkusudia.

Sifa ya uwezo wote ni dhana inayotumiwa na kila dini kuelezea Mungu wao. Niambie wewe ni Mungu yupi ambaye unayemkusudia hapa?

Waislamu wana amini Allah ni muweza wa yote, wayahudi wakiwa na Mungu Yahwe, huku wakristo wakiwa na Mungu watatu mfululizo Mungu Mwana, Mungu Baba, na Mungu roho mtakatifu. Na dini zingine nyingi nazo zikiwa na Mungu wao

Sasa wewe umemkusudia Mungu gani hapo?



It's Scars
 
Mapepo ni nini?

Wenye matatizo ya ugonjwa wa akili mbona wako milembe kwanini hawakupelekwa misikitini au makanisani kama unachokisema wewe ni kweli?

It's Scars
Sio mie nayesema hivyo bali wataalamu wa magonjwa ya akili ndio huweka hayo matatizo ya majini/mapepo kwenye kundi la matatizo ya akili. Ndiyo nakwambia wenye matatizo hayo hatuoni kupelekwa hospitali ili kupata tiba ila tunaona wanatibiwa kwa dua na wanapona.
 
Hao madaktari wameumbwa na Mungu,,,
Je si ni vema kuwatumia hawa madaktari kuliko kusubiri muujiza?
Mungu ametupa akili ili tuzitumie ,,lakini bado unadoubt uwezo wake.
Look at the patterns of your body , akili yako ikuonyeshe kuwa zimedizainiwa.
Na Mungu akusamehe.[emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao madaktari wameumbwa na Mungu,,,
Je si ni vema kuwatumia hawa madaktari kuliko kusubiri muujiza?
Mungu ametupa akili ili tuzitumie ,,lakini bado unadoubt uwezo wake.
Look at the patterns of your body , akili yako ikuonyeshe kuwa zimedizainiwa.
Na Mungu akusamehe.[emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app

Usipotoshe

Madaktari wamezaliwa kwa uchungu waliopata mama zao baada ya kubebwa miezi tisa na sio mungu

Kama mungu amekupa akili ya kuitumia kwanini unashindwa kuitumia kujibu maswali yangu hapo juu?

Mungu amekupa akili halafu huitumii ipasavyo kufanya reason za msingi katika mambo yamhusuyo yeye ili umuelewe vizuri. Huoni kwamba hayo ni matumizi mabaya ya akili?

It's Scars
 
Sio mie nayesema hivyo bali wataalamu wa magonjwa ya akili ndio huweka hayo matatizo ya majini/mapepo kwenye kundi la matatizo ya akili. Ndiyo nakwambia wenye matatizo hayo hatuoni kupelekwa hospitali ili kupata tiba ila tunaona wanatibiwa kwa dua na wanapona.
Nimekuuliza swali

Kama kweli matatizo ya akili yanatibiwa kwa maombi kwanini mpaka muda huu tuna hospitali za watu wenye matatizo ya akili ambao wako chini ya uangalizi ya madaktari wakati inafahamika maombi ndio njia madhubuti ya kuponya watu hao?

It's Scars
 
Poleni na majukumu ya hapa na pale sasa na kale yanayowafanya msilale, niende moja kwa moja kwenye mada husika.

Kama kweli maombi yanafanya kazi kwa namna ambayo tunaaminishwa, kwanini viongozi wa dini wameungana kutekeleza agizo la kuvunja mirundamano ikiwemo mijumuiko ya kiibada ili kuikwepa korona?

Kama walifanya maombi kwa lengo la kuizuia corona isiingie nchini, lakini tunaona corona imeingia, nini kinachokufanya uwaamini kua maombi ya sasa wanayojipanga kuyafanya yataitokomeza corona mazima?

Haya mambo probably si magumu ila ugumu tunauweka sisi kwa kuweka mizaha kwa kutumia kivuli cha dini.

Hivi mfano hawa madaktari wetu na sekta ya afya kiujumla wangejumuika kwenye maombi kwa kuamini kwamba maombi ni njia madhubuti ya kutatua matatizo kama haya katika kila janga la ugonjwa. Kama ambavyo watu wa dini wamekua wakituhimiza kufanya, je tungefanikisha kutibu gonjwa lipi kwa maombi?

Ngoma inaingia tanzania wabongo tulijitia wachamungu sana kua tumepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na n'ge hivyo ukimwi kwetu sio tishio.

Lakini tunachokiona mpaka saizi mapasta na masheikh wanachukua vidonge kwa siri sana. Lakini pamoja na hayo hatuwaoni wakijisalimisha kua wameshindwa kudhibiti ukimwi kwa maombi yao.

Mungu ambaye tunamtolea sadaka kila siku halafu katika matatizo kama haya kajichimbia tu wala hatuoni juhudi zake, huyu si mungu wakuabudiwa. Ni sawa na rafiki mnafki ambaye kwenye matanuzi mkiwa viwanja mnakua naye karibu sana halafu ikatokea siku umeishiwa anakukimbia.

Wahubiri wanahubiri huku wamevaa face mask at the same time wanasema damu ya yesu ni tiba ya kila kitu. What a joke but i ain't laughing?

Tunaambiwa ukiwa na imani waweza kuamisha hadi milima lakini sikutegemea kuona vatican, mekka ziwe kipaumbele kukataza watu wasiende kwao kwa hofu ya korona.

Mungu muweza wa yote yuko wapi mbona kawasusia msala madaktari wetu halafu yeye amesizi tu eti mpaka aamshwe kwa maombi?

Kwanini mungu mjuzi wa yote na muweza wa yote ahitaji maombi?

Mbona kwenye zile hadithi za gharika na sodoma na gomora huyu mungu ali-respond haraka sana kwanini asifanye hivyo kwenye janga hili linalomaliza ndugu zetu na kudhoofisha hali ya uchumi wetu?

Hivi kweli mungu huyu yupo kweli? Maana viongozi wetu wa dini nao wanaathirika mpaka inafikia hatua italy makanisa yameshehena maiti inamaana yeye haoni?

Kwanini Mungu ahitaji maombi yetu ili aweze ku-solve matatizo yetu, ilihali anaelewa hitaji la moyo wetu hata kabla hatujasema?

====

Chukua tahadhari kwa kufuata angalizo lililotolewa na mamlaka ya afya Corona haidhibitiwi kwa maombi bali kwa kuepuka makatazo ambayo yameainishwa na shirika la afya

IMG_1520.JPG
 
Saudis already banned pilgrimage to mecca and Catholics have already banned use of holy water in their churches in Italy. Seems all eyes are on science for solution to corona virus, not on God

People slowly realizing that real problems can't be solved by imaginary solutions

It's Scars
 
Nimekuuliza swali

Kama kweli matatizo ya akili yanatibiwa kwa maombi kwanini mpaka muda huu tuna hospitali za watu wenye matatizo ya akili ambao wako chini ya uangalizi ya madaktari wakati inafahamika maombi ndio njia madhubuti ya kuponya watu hao?

It's Scars
Matatizo ya akili yapo ya aina nyingi hata wewe unaweza kuwa na matatizo ya akili bila kujua japokuwa unajiona mzima na unafanya shughuli zako kama kawaida,sasa mimi nimezungumzia matatizo ya majini/mapepo kama ambavyo wengi tunaamini hivyo ila wataalamu wa magonjwa ya akili wanatuambia hayo matatizo ni magonjwa tu ya akili hivyo ni kinyume na sie tunaoamini kuwa matatizo husababishwa na majini.

Ndiyo nasema hayo matatizo ya akili(majini/mapepo) tunaona hutibiwa kwa dua na watu hupona au kupata nafuu hapelekwi hospitali.

Kuna siku kwenye daladala binti mmoja alipatwa na hilo tatizo na kuanza kufanya fujo akanikosa ngumi ya uso,ikabidi wanaume tumshike kumzuia maana angeumiza watu na hata yeye pia angeweza kujiumiza na alikuwa na nguvu kwa hali ya kawaida asingekuwa na nguvu kiasi kile.

Hayo ndiyo matatizo nayozungumzia ambayo hayapelekwi milembe wala hospitali zetu hizi.
 
Capital letter zisikuchanganye, shabaha yangu iko pale pale

Kwanza inabidi uelezee ni Mungu gani ambaye unamkusudia.

Sifa ya uwezo wote ni dhana inayotumiwa na kila dini kuelezea Mungu wao. Niambie wewe ni Mungu yupi ambaye unayemkusudia hapa?

Waislamu wana amini Allah ni muweza wa yote, wayahudi wakiwa na Mungu Yahwe, huku wakristo wakiwa na Mungu watatu mfululizo Mungu Mwana, Mungu Baba, na Mungu roho mtakatifu. Na dini zingine nyingi nazo zikiwa na Mungu wao

Sasa wewe umemkusudia Mungu gani hapo?



It's Scars
Unahitaji, uvuvio wa roho Mtakatifu kulijua fumbo la utatu Mtakatifu vinginevyo utaambulia hewa Kama ulivyo Sasa.

Nakupongeza Sasa kwa kuanza Kumtambua Mungu wa kweli.

Waislam, Wakristo na Wayahudi hawa wanamuabudi Mungu Mmoja Muweza wa Yote.

Ambaye hata ww unamuabudu pia.
 
Back
Top Bottom