Kwa kiingereza ni "Effect".
Swali halijauliza neno "athari" kwa kingereza linaitwaje
Umeona vyenyewe sikosei kukuita mjinga?
Ona ulivyo kuwa mjinga, umeonyesha ya kuwa hujui maana ya athari kisha una hoji tena kuhusu hiyo athari, lazima ukosee aisee, inabidi tuanze kufundishana namna ya kuhoji, halafu ndio nyinyi huwa mnajifaragua na Elimu ya Logic mara Philosophy. Ulitakiwa uambiwe kwanza nini maana ya "Athari" kisha ndio uhoji.
Ukiulizwa swali maana yake muulizaje hajui jibu la hilo swali??
Kwa mara nyingine nakuita mjinga
Nakupa mfano sasa, kuwepo kwako ni athari ya wazazi wako kujamiiana. Haya hoji sasa kulingana na hiyo maana. Kijana ulitakiwa urudi kwanza ukasome na ukubali kujifunza, ila ukienda kwa mtindo huu, aisee utaonekana kituko sana mbele ya watu wajuzi wa kujenga na hoja na kuzidadavua.
Umeulizwa kuhusu maana ya athari hujaambiwa utoe mfano kuhusu athari. Ulitakiwa utoe mfano baada ya kutoa maana ili kukazia hoja yako
Round hii nakuita mpumbavu
Hii ni athari mbaya ya namna fulani ya kufikiri mambo, huwa mnahisi ktindo huu wa kuhoji na kufikiri mambo, ndio unaweza kuwapa majibu sahihi juu ya mwanadamu na yale yote yanayo mzunguka.
Ungekua unajua kufikiri kwa weledi kama ambavyo unavyobwata hapa, ungekua tayari umetuthibitishia mungu yupo na ubishi huu usingekuwepo.
Ubishi huu unaweza kufanywa na watu wasioweza kufikiri pekee ila kwa wanaoweza ni kinyume chake
Nakukumbusha tu ya kuwa akili pekee haina uwezo wa kumfanya mja kujua jema au baya kwa dhati yake na kwanini, bali haiwezi kumuongoza juu ya hatima yake, kwanini naandika haya ? Umeagalia jambo la kujitoa muhanga kwa juu juu sana, na si kwa hukumu yake, hivi ndio mnavyofundishwa na wakubwa zenu,rejea zile "Ten Categories" (Maaqulaat Ashar) za Aristotld hivi ndivyo wana wafundisha.
We umetumia nini kujua kua akili haiwezi kujua jema wala baya? Na kipi ni mbadala wake?
thibitisha hayo madai yako?
Swali ni Mola gani huyo amewaruhusu watu wajitoe muhanga au mtume gani au nabii gani au mja gani mwema aliye waambia watu wajitoe muhanga ? Huwa nasema kila siku akili salama, kamwe haiwezi kukanusha juu ya Uwepo wa Allah. Ukifikiria mambo basi fikiria kweli kweli.
Huyo huyo wakufikirika ambaye unamuabudu wewe
Maana ha maneno, ni jambo muhimu sana katika kuifikia maana halisi ya jambo fulani. Elimu hii najua huna..
Naendelea kumaliza hili, kisha urudi tena useme hakijaisha.
Uhalisia ameuweka yeye na kufanya uwepo, halafu unakuja kuhoji juu ya uhalisia ?
Angekua ameuweka na ni jambo ambalo linathibitishika basi kusingekua na mjadala huu mpaka sasa
Thibitisha
Uwepo wa Allah aliye juu, unaonekana kupitia milango ya fahamu, kupitia akili na ufunuo. Niliwahi kukuuliza swali moja au mawili hukuwahi kujibu swali hilo wala usipate shida bali hata wakubwa zako katka huu ujinga hawakuwahi kujibu maswali haya : "Je mmetokana pasi na chochote au mmejiumba wenyewe" ? Majibu ya maswali haya huthibitisha uwepo wa Allah aliye juu.
Hayo maswali yanathibitisha allah hayupo hayathibitishi allah yupo, otherwise uivuruge hiyo kanuni
Na ukiivuruga hiyo kanuni ujue jibu utalopata kupitia kanuni hiyo ni la kugushi
Kama chochote kilichopo kitahitaji creator basi allah naye hapaswi kuwepo na akiwepo awe kama mdogo wa mungu au mtoto wa mungu. Hapaswi kusimama yeye kama yeye bila kua na creator kwasababu sheria inasema kila kilichopo kina creator, hivyo basi hata baba yake allah naye inatakiwa awe na baba yake hivyo hivyo mpaka kieleweke
Kama haiwezekani kuwepo kwa creator ili kitu kiwepo, basi hata ulimwengu tunaweza ku-define kua hauna chanzo na ikaleta mantiki
Wewe ulivyomjinga utasema allah kaweza kuwepo bila chanzo katika mazingira ambayo hakuna kitu kinaweza ku exist bila chanzo. Wakati kwa kanuni hiyo unaweza kuuelezea ulimwengu pia na ikaleta maana nzuri tu
Swali ambalo halijibiki kwenu ni hili
"Kila kilichopo ni lazima kiwe ma chanzo?"
It's Scars