Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Usipate shida Qur'an yenyewe inakupa challenge...

Qur'an 2:


2_23.gif


23. Na ikiwa mna shaka kwa hayo tuliyo mteremshia mja wetu basi leteni sura moja ya mfano wake, na muwaite mashahidi wenu badala ya Mwenyezi Mungu, ikiwa mnasema kweli. 23


2_24.gif

24. Na mkitofanya - na wala hamtofanya kamwe - basi uogopeni moto ambao kuni zake ni watu na mawe walio andaliwa hao wanao kanusha. 24


Haya tunasubiri utimize hiyo "challenge". Miaka zaidi ya 1400 imetolewa , mpaka.leo hajatokea hata mmoja aliyeweza, jaribu bahati yako tena washirikishe na makafiri wenzako wote.

Hahaha unaongelea "spider"? Kuna sura nzima ndani ya Qur'an inabeba jina Hilo, imeshushwa zaidi ya miaka 1400 nyuma. Kwi kwi kwi teh teh teh, wewe ndio leo unamjuwa? Ulilala usingizi mzito sana.
Hujajibu awali

Unajuaje kua kuran imesema ukweli?



It's Scars
 
Matatizo gani?

Matatizo ya akili ambayo umekiri kua wataalamu wamethibitisha au matatizo ya kufikirika (mapepo)?

It's Scars
Hayo hayo matatizo ya akili kama wasemavyo wataalamu,unakubali kweli yapo?
 
Mimi natarajia wewe unatumia akili yako vizuri, au kuna mahali umesoma mawazo ya mtu mwengine aliye kuteka fikara zako?
 
Nacheka sana, kushindwa hoja kuzuri sana, yaani hata kuelezea jambo unashindwa.

Post namba 13 inaelezea upande wa Allah, post ile ya 120 inaelezea hasa upande wetu.

Haya mambo yanahitaji elimu na utulivu wa hali ya juu. Ndio maana nilipo rudi jana au juzi nikawa najiuliza hii mada mbona ishaisha inakuwaje inakimbia mpaka leo hii, nilipoingia naona unadai hujajibiwa.

Nakupa miala kumi uonyeshe hukumu ninayo jihukumu katika post namba 13 dhidi ya zile nyingine. Ukiweza kuonyesha hilo naacha kutumia hii "Id" nilikwambia hili na nakariri tena na tena.

Ahsante.

We umejuaje kua upande wa allah anajua vile ulivyo andika wewe?



It's Scars
 
Shabaha ya hiyo hoja umeielewa kweli?

Hilo ni swali ambalo nimekuuliza kwa lengo la kuku-challenge katika kile ambacho unakisimamia.



Swala la spiderman lingekua linaishia kwenye movie tu basi hapa lisingeweza kujadilika.

Habari za yesu/mungu zipo katika movies lakini zinajadilika katika mazingira yeyote ambayo watu wataamua kujadili.

Kama movies huelezea kile kisicho halisia na habari zake huishia kwenye movies tu. Unataka kusema hata habari za mungu nazo si halisia kwasababu kuna movies ambazo zimezungumzia habari za mungu??


Kama habari za mungu zitakua ni halisia hata kama zimejadiliwa kwenye movies, basi hata spiderman vile vile ni halisia.


Kama mungu yupo kihalisia kama wewe unavyodai kwanini mpaka leo uwepo wake uwe ni jambo lenye utata kiasi kwamba mpaka leo liwe linajadiliwa bila kufikia hitimisho??

Unajuaje kwamba spiderman amebuniwa kwenye movies?

na kwanini movies zinazoelezea habari za mungu zisithibitishe mungu amebuniwa na hao waliotengeneza movie??



It's Scars
Aisee!

Una umri gani?
 
Bara bara
Kumbe unajuwa kuwa Udhaifu ni wa Kiumbe , na Ukamilifu ni MUumba sio?
Na mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hawezi.kuimba kiumbe dhaifu

Kwaiyo udhaifu wa watu unaonesha mungu hayupo

It's Scars
 
Elewa basi
Mungu ana hali mbili kwa viumbe.
Akitaka anawafanyia mambo kimiujiza kwa Dua tuu ,jambo ambalo ni nadra sana.
Na hali ya pili Ni kuunga mkono juhudi zao kwa kuwapa maarifa chanya kutafuta suluhisho ,baada ya kujihangaisha na kutumia akili.
Njia hii ya Pili ndio hasa halisi kwa maisha ya Duniani.
Wanaotarajia mafanikio kwa maombi tuu ,hawaja mfahamu Mungu mpango wake.
Haya maelezo ndio umenijibu mimi au? Maana sioni uhusiano wowote ulichokijibu na nilichouliza. Au niendelee kusubiri jibu bado maana hayo maelezo yametolewa bila mtu yeyote kuwa quoted.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hawezi.kuimba kiumbe dhaifu

Kwaiyo udhaifu wa watu unaonesha mungu hayupo

It's Scars
Wapi huyo Mungu kasema kuwa ameumba kiumbe mkamilifu asiyekuwa na udhaifu ?

Ama unamsemea wewe kuwa hawezi kuumba kiumbe dhaifu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali halijauliza neno "athari" kwa kingereza linaitwaje

Umeona vyenyewe sikosei kukuita mjinga?

Kijana hapa lazima utoke damu,kwanza sijavunja misingi ya utoaji maana ya tamko husika. Hili weka akilini. Pili, nimefanya hivyo ili uelewe kwa wepesi, lakini kama hukielewa mfano huo mwepesi,utaona ya kuwa ni kwa namna gani ulivyo zwa zwa na hii ni haki yako.

Lakini, haikutosha nikakupa na mfano.
Ukiulizwa swali maana yake muulizaje hajui jibu la hilo swali??

Kwa mara nyingine nakuita mjinga

Hiyo huitwa kawaida na kawaida inahukumu kijana, elimu ya lugha tamu sana kwani inakupa uwanja mzuri sana wa kutoa maana na kucheza na maneno. Tunasema kawaida anae uliza huwa hajui, kujua kwake hulzingatiwa na hali, na wewe umedhihirisha hujui kwa kule kuhoji kwako baada ya kuuliza maana ya tamko "Athari".

Nacheka sana, japokuwa nimekupa maana ya athari ila nina uhakika nikikuuliza tena utakosea kutoa maana, hiyo, kisha ujiweke hapo ambapo sio kila anae uliza basi hajui.

Kijana hatulei ujinga na hili unalijua.
Umeulizwa kuhusu maana ya athari hujaambiwa utoe mfano kuhusu athari. Ulitakiwa utoe mfano baada ya kutoa maana ili kukazia hoja yako

Round hii nakuita mpumbavu

Halafu bado unataka kujadiliana na mimi, mti ambae hujui hata maana ya maana. Nakufundisha sasa, kuna njia takribani nne za kutoa maana ya jambo fulani,kauli au hali au kitendo fulani,na kutoa mfano ni katika njia ua kutoa maana.

Kwahiyo hap nimetoa maana ya tamko athari kwa mfano, na hii inakubalika na ni usahihi.

Kijana usijaribu kuruka wakati huna mbawa.

Naendelea......
 
Ukisoma paragraph yangu ya mwisho utajua

It's Scars
Kwani wewe ni msemaji wa Mungu ?

Wapi Mungu kajisifu kwa kusema kuwa kaumba kiumbe aliyekamilika?

Kama kuna sehemu kasema hivyo maana yake itatusaidia kujua ya kuwa viumbe hivyo havipo,pengine kma havipo unaweza kuwa sahihi ukiweka hoja ya kuwa hata yeye hatokuwepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatatizo katika kuelewa

Mtu anaweza kujua kua mungu hayupo na dini ni wizi tu lakini bado akawa muumini katika dini kwa kuogopa jamii itamchukulia vibaya.

Bila dini ni ngumu kuoa/kuolewa kwasababu jamii iko katika zama za ujinga kuamini kua ndoa inafungwa kwa viapo vya dini mbele za mungu. Kwaiyo mtu anaamua kua na dini lakini akielewa kabisa kua worshiping god is bullshit

Hii ni kwasababu ukitaka kuishi na mjinga jifanye nawe mjinga ili alidhike lakini hiyo haimaanishi kua wewe ni mjinga

Na ndio maana hao wanasayansi ambao wanadini wamekua wakitafuta suluhu kupitia maabara za kisayansi na sio kusugua magoti madhabahuni kwa kuomba mungu, kwasababu walishajua kua habari za mungu ni changa la macho



Mbona hao watu nimewataja sana huko mwanzo kua wameathirika na ujinga?

Tangu wameanza kufanya maombi wamepewa dawa gani kutoka kwa mungu ambayo itawaponya wagonjwa wenye corona??

Hao wanaosali kuomba muujiza kwa mungu awape dawa, asilimia kubwa milangoni kwenye majumba yao ya ibada kuna maji ya kunawa kwa ajili ya kuepuka virusi vya corona, unafikiri kwanini wahangaike kuchukua tahadhari wakati wakiomba wanajibiwa?

Ukimwi unazaidi ya miaka 30, niambie maombi yao miaka yote hiyo yamesaidia nini katika process za kuutokomeza?


It's Scars
Yani tunaenda mbele na kurudi nyuma.

Yani unataka uone mwanasayansi aache sayansi na kuomba dua ili ndio ukubali ni mwanadini ila hutaki mkulima,mfanyabiashara,mfanyakazi waache shughuli zao na kuomba dua tu ili ukubali kuwa ni wanadini!!!!
 
Kama hakuumbwa allipatikanaje?
Ni nani awezaye kuumba ngalau kidole kikikatika,ili kiwe spare?
Hata hilo hujui?
Mwambie ajiongeze kima chake hata centrimeter moja kupitia hiyo sayansi, Kila kitu kina mipaka yake ndo kitu jamaa hajui,

Anasahau hata hao Wana science Wana maswali kibao hawana majibu nayo
 
Back
Top Bottom